Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa


Mkuu kwanza asante sana kwa kupoteza muda wako kushea hii story na sisi,bila shaka tumejifunza vitu kibao na vya muhimu sana tena sana..Ila kando na hayo nina ombi kwako,nalo ni juu ya uandishi wako,mkuu naomba ujitahidi kuweka aya au paragraph kwenye maandishi yako coz unaandika story ndefu sana(which is good).

Story ikiwa ndefu bila aya inakuwa inaumiza sana macho,na kuna matukio unaweza ukaruka,naomba sana uweke aya,kwa sababu unajua sana kuwasilisha story ila shida kubwa nimeona ni aya tu.

Samahani kama nitakuwa nimekuudhi kwa namna yoyote ,asante tena kwa story [emoji1488]
 
Nashukuru sana ndugu kwa maoni yako,nina changamoto ya kuweka aya nakubaliana nawe ila niwie radhi kwani mimi ni mgeni ktk fani ya uandishi na ndio najaribu jaribu ila pia natumia simu ktk kufanya uandishi wangu,ubarikiwe
 

natia nukta ntarud
 
Nashukuru sana ndugu kwa maoni yako,nina changamoto ya kuweka aya nakubaliana nawe ila niwie radhi kwani mimi ni mgeni ktk fani ya uandishi na ndio najaribu jaribu ila pia natumia simu ktk kufanya uandishi wangu,ubarikiwe
Kwahiyo mkuu unasikiliza ndo unaandika,aisee umefanya kazi kubwa sana tena sanaa.

Hongera kuwa na huo moyo aisee
 
Nimesoma episode zoote kwa taratibu sana., kuna mambo mengi sana yanayofundisha nimeyapata kutoka kwenye hii simulizi yako., nasema ahsante sana ndugu. Nimkweli siri katika maisha yetu ni muhimuj sana, pesa hubadilisha mwenendo wa mtu ila watu hubadilisha mwenendo wa mtu zaidi.
 
Leo hii nimefanimiwa juimaliza hii story. Episode ya kwanza ninetumia week moja kuimaliza ila jana nilijikaza sana mpaka sasa ndio nimemaliza Story nzuri ya kusisimua na mafundisho mengi Shukrani sana ndugu shikamkono01 kutuletea story hii. .


Kichwa kinauma sana kusoma story kutokana na uandishi wako. Hapa nimemeza paradox yan kichw kinagonga kila nikimaliza episode namaliza kwa shida sana. Please usichukie hebu pita kwenye nyuzi za leadermore au JBourne59 ujifinze mpangilio. .

Aina ya upangiliaji wako na uandishi unarudia maneno unaumiza sana. .

Mungu akubariki sana sana sana na shukrani za dhoti kutuletea story hii. I am looking forward for your upcoming story. Kama nimezungumza jambo likakukera nisamehe sio dhumuni langu kwani MIMI NI MTU MWEMA SANA. Ukitazama macho yangu utajua kuwa mimi ni mtu Mwema sana. .
 

daaah pooole sana kuna kitu cha kujifunza hapa nakiona
 
moneytalk beb ushapita hapa
 
Pole ndugu yangu na wala usijisikie vibaya kwa maoni yako,ni ya kujenga sana ndugu yangu ila ule mzgo wangu haujanitumia 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…