Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

Bandua bandika kamkubwa
 
Maisha ni fumbo kubwa sana,imagine jamaa alitakiwa aende jela ili akakutane na jamaa wa kumpa utajiri..so far nimejifunza yafuatayo..

1.maisha ni fumbo,kufanikiwa au kufeli ni siri.
2.Uaminifu ni silaha kubwa sana maishani.
3 Mungu akitaka kukupa lazima upitie shida,kiasi unaweza kuhisi kakuacha,kumbe yupo hapo hapo ulipo.
4.Wema ni akiba.
5.Mungu yupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…