Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Mkuu, we siunesema mke aliondoka sa hyo familia imetoka wap
 
Unajifanya kitombile usiludie kumuacha Judy🤣🤣
 
Wahenga walisema choose wisely your enermy hawakukosea kusema hivyo..
Utajikuta unaanza kupigana vita na LUCIFER mwenyewe wakati huo huo kuna mambo ya riziki tunachukua usaidizi kwake.
I hope hiyo code utaielewa vyema mkuu..
Niliwahi kupigwa mikocheni kulanina,jamaa walinipeleka kwenye nyumba na mwenye nyumba yupo hapohapo ila waliingia,wakafungua mlango ulikuwa wazi wakanionesha,halafu mwenye nyumba wakasema yupo bagamoyo sijui,bwana weee,nikatuma hela,nikatega channel kwa kumtumia wife, nami nikiwa sichezi mbali,wakastuka,siku inayofuata nikaenda zangu Ludewa kulilia makaburini,hakupona mtu after a month
 
Kula nina,nilijua tu kumtenda Judy lazima litakukuta jambo huko mbele kima mlevi wewe,mwanamke anakuwezesha wewe unaleta udalali mpaka kwenye ngono,fakeni kabisa,utulize komwe now
 
Ahhh mbena vhaangu
 
Nina mastori kama elfu 10 hivi lakini sijui kuandika hivi
Huwa mnatumia nini kuandika ni simu au lazima uwe na pc

Now watu wanatumia CHATGBT , yan hyo kama robot, unafungua data then unaibonyeza upande wa mic [emoji441], then unakua unaongea kama unasimulia story huku yenyewe inaandika kwa maneno, ukishamaliza unacopy then unapaste popote utakapohitaji
 
Nimekawia sana kuijua hii thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…