Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Mkuu hapa nafeel safe sana yaani sijui kwanini eti maana sehemu zingine utakuta watoto wanashambuliwa sana na wanga ukikaa kidogo unatibu familia nzima yaani..
Tofauti na nilipohamia hapa..
Imekuwa tofauti sana
Siuguliwi hovyo kihivyo yaani.
So kwangu naiona ina advantage kibao.

Wanawake wetu ni nadra sana kutuelewa kwenye baadhi ya mazingira maana anaweza hata kuhisi unajuana na walioyafanya haya..
Mwanzo alikuwa na presha lakini baadae akaonesha kama ashazoea sasa sijui kama ilikuwa ni zuga tu?
Mkuu, we siunesema mke aliondoka sa hyo familia imetoka wap
 
EPS 16

Baada ya Maisha kunipiga kweli kweli, nilifanya jitihada za kina sana kumtafuta Judy mwanzoni alikuwa hataki kabisa kusikia habari ya Kurudiana na wala hata kuonana tu.

Ila mtoto alikuwa anapiga video Call namuona, mtoto alishakua mkubwa kabisa ana miaka mitano

Nilimtafuta rafiki yake aende akaongee nae ila, nilimwambia anipe Muda niongee nae tu uso kwa uso naamini hata kama hataki turudiane angalau tunaweza kuzungumzia hatma ya mtoto na maisha mengine yaendelee.

Nilijua tu nikikaa nae kwa dakika thelathini tu lazima anielewe maana nilikuwa nimeshajipanga kisawa sawa

Rafiki yake alinirudishia majbu ya kunikatisha tama kweli kweli alisema hataki kabisa Kuongea na mimi kwa jambo lolote kama nina shida na mtoto ampe mtu amlete nimuone nikae nae nikichoka Nimrudishe.

Judy aliwahi kumwambia Huyo rafiki yake niwatafute wale Malaya zangu niendelee nao, na hali ninayoipitia anamuomba Mungu ikibidi hadi nitembee barabarani naongea mwenyewe kabisa.

Siku moja alinitumia sms akaniambia uko nyumbani nikamwmabia ndio leo sijatoka siku nzima, akaniambia hata Malaya zako hawajaja kukutembelea au walishavuna wanasubiri msimu tena msimu mwingine wa mavuno.

Alikuwa ananiumiza sana na muda huo sina kazi, sina hela nawaza hata kodi ikiisha nitalipa vipi.

Nilifikiria niuze kiwanja changu kimoja ambacho kilibaki nijipange kwenye biashara ila nikaona kwa maisha yalivyo sitaweza kununua tena kingine.

Baada ya jitihada nyingi sana kufeli niliamua sasa niende mimi mwenyewe kwa Judy nyumbani niaksema hata akinifukuza Poa ila siwezi kutulia kiboya japo aliniambia siku nikikanyaga kwake au kwneye biashara yake ataniitia mwizi au ataniaibisha sana.

Nilisema liwe liwalo nikaenda kibabe asee alivyoniona nilivyokuwa nimebadilika aliishia kunione Huruma maana hakuamini kama hali ilikuwa mbaya hivyo.

Nilienda sikutaka kupoteza muda wala nilimwambia moja kwa moja ila nilijikaza sana "Judy, naomba msamaha kwa moyo wangu wote kwa maumivu niliyokusababishia. Nimejutia sana na natamani kurekebisha mambo. Tafadhali nipe nafasi ya kuzungumza nawe.nahitaji muda wako mfupi tu unisikilize kisha utafanya maamuzi wewe mwenyewe”

Alinicheki bila kusema kitu kabisa nikarudia tena hayo maneno kwa hisia kali sana zile hisia za ndani kabisa.

Akaniambi haya sema hapa kwani unataka kusemaje nikusikilize nikamjibu

Asante sana kwa kujibu, Judy. Naendelea kukuomba msamaha tena kwa jinsi nilivyokukosea na jinsi hii imetuathiri sisi na mtoto . natamani zaidi tujadili hili pamoja, kwa nia ya kujenga upya na kuhakikisha tunaweka familia yetu mbele. Maana ni jambo sasa la kujenga makosa yameshatokea lakini Mungu ametupa nafasi tena tuongee haya mamb.

Nilijieleza kwa unyenyekevu sana na upole ule wa kumaanisha japo baadae nilikuja Kuona kama nimejidhalilisha sana kujieleza sana mbele ya mwanamke.

Nikamwmabia mimi ni hayo tu nimeona nikueleze naye nikampa muda ili aongee

Alinishangaa sana hakuamini kama ningeweza kujishusha hivyo.

Alianza kuongea alianza kunikumbusha matukio ya nyuma jinsi nilivyokuwa kiburi, dharau vile nilikuwa nafuja hela na watoto wazuri bar alifungua faili moja moja hadi mwisho akaanza kutoa machozi, namimi sikuwa mbali nikamsogelea nikaanza kumfuta machozi huku nambembeleza na vimaneno maneno vya Hapa na pale vitamu.

Akaniambia basi ondoka tu tutaongea kwenye simu, Tuliendelea kuongea kwa simu kama wiki hivi tukajikuta kama tumeshaanza kurudiana tena akanaimbia kama nataka turudiane akanipa mashart mawili.

Moja tukapime afya, na sharti la pili hatarudipale home hadi niende kwao na tumalize mambo ya Harusi.

Ilibidi nikubaliane nae maana yeye ndio aliyekuwa amebaki peke yake.

Tulikuja kurudiana japo hadi sasa hatuishi pamoja maana tunafanya mchakato wa kwenda kwao ila kama nilivyowahi kusema sehemu mimi home nilitoka nasitaki kuonana na ndugu zangu ndio kipengele japo nimepanga niende home nimeamua kuwasamhe ndugu zangu ili Turudishe umoja na masuala ya ndoa yafanyike. Siku nikienda homenitawaletea Mrejesho.

Kuhusu masuala ya kazi Mwezi wanne mwaka Huu nilipata kazi sehemu nipo hapo maisha yameanza tena kuleta mwanga, nashukuru mshahara nao sio haba.

Nimeona nishee haya machache kwenu Uandishi ndio unaniangusha. Sifa kuu ya watu wa IT kuandika hatujui wala kusimulia.
Unajifanya kitombile usiludie kumuacha Judy🤣🤣
 
Wahenga walisema choose wisely your enermy hawakukosea kusema hivyo..
Utajikuta unaanza kupigana vita na LUCIFER mwenyewe wakati huo huo kuna mambo ya riziki tunachukua usaidizi kwake.
I hope hiyo code utaielewa vyema mkuu..
EPS 13 UTAPELI, WIZI NA USHIRIKINA KATIKA KAZI YA UDALALI

Visa vingine kwenye kazi ya Udalali ambavyo nilikutana navyo ni Baadhi yetu Kuwa matapeli.

Utapeli ambao madalali wanafanya ni utapeli wa Kushirikiana ukiona dalali amekutapeli uwe na uhakika kuwa ameshirikiana na dalali mwingine.

Visa vingi vya utapeli vinafanywa na madalali njaa na wengi ndio wameharibu hiyo kazi.

Mfano wa utapeli wa kawaida ni dalali anaweza kuwa na Picha nzuri ya nyumba au chumba anaipost hata kama hiyo nyumba imeshapata mpangaji yeye anachokifanya anapest na kuweka namba zake ili apate wateja au watu angalu afaidi ile hela ya usumbufu.

Kuna dalali mmoja Kijiweni alikuwa anpost hata nyumba ambayo haiapngishwi labda ya mtu binafsi mteja ukipiga simu Anakuelekeza njoo sehemu Fulani nyumba ilipo ukifika anakuambia Asee huna bahati kuna mteja mwingine amekuja kulipia sasa hivi mumepishana tu hapo, lakini kuna nyumba nyingine sehemu Fulani twende ukaione.

Atakupelaka atakuzungusha mitaa unacheki ukikosa yenye sifa unazohitaji basi inabidi umpe hela yake ya Usumbu na kama hamjakubaliana ni kwamba kila nyumb aliyokupeleka anahesabu ni elf Kumi, na huwa hakudai huko huko atarudi na wewe hadi kijiweni Ili madalali wenzie wampe support. Unaweza kushangaa unadaiwa Elf hamsini kwa sababu umetembezwa Nyumba tano na ukibisha tu madalali wanakuzungushia ringi fasta. Huo ni utapeli wa kaiada ambao nafikiri wengi wanaufahamu.

Kupelekwa kwenye nyumba zilizotelekezwa, nyumba za watu wanaoishi mbali na mji n.k huo ni wizi wa kawaida kabisa ambao wengi munaujua.

Kuna wizi wa Kuibia wenye nyumba wanaojenga mjini kisha labda wanahamishwa kikazi kwenda Mikoa mingine.

Kuna jamaa yangu huyu Tumwite Steve, Steve alikabidhiwa nyumba na boss Fulani hivi ambaye alikuwa alijenga Tegeta A huko baadae akahamishiwa Iringa. Hivyo akamkabidhi steve nyumba yake ambayo ndio ilikuwa imekamilika amtafutie wateja.

Steve alipambana kweli akatushirikisha Kijiweni kwamba kuna Nyumba ina sifa Fulani ipo Tegeta A hivyo kama kuna mtu anahitaji tumuunganishe nae Kodi ilikuwa 150k, zilikuwa tatu.

Masai akapata mteja akamuunganisha na steve, steve akamwambia Yupo mbali mpeleke nyumba iko sehemu Fulani akampa ramani yote na akamwambia anamtuma mtu wa bodaboda ampelekee funguo.

Masai akaenda mteja akaicheki akaipenda maana ilikuwa an sifa anzohitaji, wakakubaliana ila akamwmabia mwenye nyumba yupo mkoani mteja akaomba namba yake mwneye nyumba ili waongee.

Masai akarudi kwa steve akamwambia wewe malizana nae mkataba atatumiwa mwenye nyumba amesafiri hayupo karibu kama shida ni mkataba utatumwa, na atapewa namba ataongea naye. Masai akashtuka akajua ni mchezo huu ila kwake sio geni akawa ameshapata akili ya kwenda na huo mchezo.

Mteja alipewa namba ya dalali mwingine akajifanya yeye ndio mwenye nyumba akamwambi mkataba unatumwa Hapo ila unatakiwa ulipie miezi sita na umeme na mambo mengine atakuwa anlipia mwenyewe.

Masai alimpanga mteja lipia haraka hii maana watu wengi sana wanaulizia hii nyumba, fanya haraka ili uhamie.

Mteja akataka namba ya Account ya Benk ili afanye malipo, wakamzuga pale wakampanga akakubali kulipia Kwa njia ya TIGOPESA shida jina aliloambiwa na la usajili ni tofauti ila pia ila hakujali sana mteja akaahidi Jioni atafanya malipo.

KMuda huo steve hataki kuonekana kabisa wala uhusika wake hakutaka ufahamike.

Na masai ili kujitenga na hilo sakata akamwambia ampe chake yeye atamalizana na mwenye nyumba na mwenye nyumba ndio atatuma Funguo, wanachokifanya wanatumia sabuni kwenda Kutoa Copy funguo wanakupa funguo Feki.

Masai akajitoa Mteja akakabidhiwa kwa mtu mwingine kabisa ambaye yeye ndio alidanganywa ni ndugu wa mwenye nyumba.

Masai baada ya hilo zoezi akamtafuta steve ili wakaubaliane vile wanamaliza huo mchongo maana mwenye nyumba Yupo mbali na sio rahisi kushtuka kwamba nyumba yake imepata mteja.

Makubaliano ilikuwa mteja ahamie kabisa bila kufanyiwa usumbufu na baada ya muda Kidogo ndio apigwe tukio.

Mteja alifanya malipo akamjulisha masai na akamwmabia Angehamia wikiend usiku masai akamwambia mimi sihusiki tena Funguo utakabidhiwa na ndugu yake aliyekupa mkataba na kusainisha huko mutamalizana mimi kazi yangu ilikuwa ni kukupeleka tu.

Mteja baada ya Process zote alihamia kama kawaida na pale alikuwa anakaa yeye na familia yake tu nyumba nyingine ilikuwa bado hajapata mteja. Mteja alilipia laki tisa steve akagawana na wenzie mwenye nyumba hakutumiwa hata Mia.

Waliendelea kutafuta mteja mwingine lakini wengi waliokuja walikuwa wanachomoa maana nyumba ilikuwa mbali sana kutoka ile barabara kuu ya mbezi baada ya kama Mwezi hivi mwenye nyumba alipata safari ya dar a akaja kimya kimya bila taarifa. Alipofika Dar akamjulisha steve kwamba amekuja dar hivyo atapitia pia kwenye nyumba yake akacheki mazingira.

Steeve akamwambia pia akifika amjulishe ili naye aende maana funguo anazo japo jamaa alimwambia anazo za akiba . Jioni muda wa saa mbili hivi wakaongozana kwenda kwenye nyumba steve hana wasiwasi wowote, mara wakaona Kama ndani taa zinawaka ikiashiria kuna mtu. Jamaa akamuuliza wkani ilishapata mpangaji steve akasema hapana nay eye akajifanya kushtuka na kushangaa sana.

Wakabisha hodi wakafungulia na Kitoto kidogo kina kama Miaka Kumi hivi akaulizwa upo na nani akasema nipo na mama, walimwita mam yake,jamaa akajitambulisha kwamba yeey ndio mwenye nyumba hivyo hana taarifa za uwepo wake pale.

Unaambiwa Yule mama alishtuka sana huendaalifikiri ni majambazi. Steve akamkaziaa uso akamuuliza nani alikuleta hapa na nani alikupangishia hii nyumba.

Maza akaelezea tukio zima, akaambiwa wapigie hao walliokupangishia akasema aliyenileta hapa baada ya kumaliza nae namba yake siku save lakini kwenye mkataba kuna namba ya Mwenye nyumba.

Kuicheki ni tofauti kabisa naya mwenye nyumba alafu zilkuwa namba kumi na moja nay eye alizopigiwa anzo hakusave hata moja. Kizaa zaa kilianzia hapo na mktaba wake fake.

Funzo Ukiwa unataka kufanya biashara au unafanya makubaliano na mtu yeyote jifunze kuhifadhi sms ambazo mumewasiliana ni muhimu sana hata namba za watu zihifadhi utapata tatizo utamhitaji tena.

Swali likabaki funguo alizipata wapi na wakati funguo zote wao ndio wanao, kwa kifupi ilikuwa kizaa zaa sana lakini mwisho wa siku Yule jamaa alimkubalia aendelee kusihi kwa makubaliano ambayo waliyafanya na akamsihi sana awe makini.

Jamaa akampa steve kazi ya kuwasaka ikiwemo kumtafuta huyo mama waende kwa wakala aliyewafanya miamala kama wataikuta namba na akamuonyeshe huyo dalali alimpata wapi.

Ubaya mmoja aliyekabidhiwa akzi ndio mwizi, Mwizi akajichunguze mwneyewe sakata lilikuja kuisha kwa shida sana na jamaa akahisi steve amamchezea mchezo akamkabidhi Yule mama majukumu kama akija mtu yeyote pale awasiliana nae.

Huyu mama alifanikwia kuhamia wengine wanazuia tu pale wanapoleta mizigo yao unaambiwa kwamba hii nyumba haipangishwi, aua tayari kuna mtu mwingine alishalipia

Huo ni aina ya utapeli mwingine unaofanywa na madalali hivyo ukitaka kupanga ulizia hata kwa majirani wa eneo husika lakini usikubali kusainishwa mkataba mtaani au bar, nenda na majirani waone.

Na huu ndio utapeli mkubwa wengi sana wamelizwa wengine wanalipia ukitaka funguo wanakuzungusha hadi mwneyewe unakuja kushtuka umepigwa namba zinakuwa hazipatikani tena.

Visa kama hivi ndio vilinifanya nikaachana na kazi za nyumba na viwanja kama nilivyoandika huko juu nikawa na dili na biashara zaidi na mambo mengine.

Utapeli mwingine kuongeza be ya kiwango husika.

Hii ndio niliwahi Kuifanya na nilifundishwa na masai.

Niliwahi kupata boss mwenye nyumba Salasala bei ilikuwa ni laki nne Apartment nzuri sana nikamwambia Boss nimepata mteja atatoa laki tano na ameshaiona ameridhika kwa hiyo atatoa laki tano hizo laki ni za kwangu boss akakubaliana na mimi, ila yeye pia alikwua ahishi Tz, alikuwa nje.

Mteja akalipa jamaa kweli hakuwa na shida akanitumia Kmaisheni yangu kama kawaida, hivyo ilitakiwa kila baada ya miezi minne mteja akitoa hela mimi naenda kuchukua laki zangu nne kama mshahara kwa kazi ambayo sijaifanya.

Hii michezo niliifanya sana na ilinipa sana hela lakini dhuluma au wizi fedha yake inaishia kwenye mambo ya Hovyo tu wala haisaidii.

Wenye nyumba wanashirikiana sana na madalali kuweka cha Juu japo kuna wengine hawataki kabisa hiyo michezo.

Na madalali tulikuwa tunafundishana sana hiyo Michezo na kujisiffu nayo ndio nikajua wkanini madalali wengi wanapiga sana hela. Wakati mwanzoni nashirikishwa huo mchongo nilishangaa sana lakini dhambi ukishaizoea inakuwa tamu sana.

Visa ni vingi sana vya Utapeli ambavyo nilivishuhudia lakini kwenye wizi na utapeli hayo ni kwa Uchache tu ila hivyo ndio visa vikuu

Unapotaka kupanga au kununua nyumba au kiwanja hakikisha unafuata Process zote ni afadhali ukalipia Benki ni vigumu sana kutapeliwa maana detail za mteja zinabaki na zinakuwa ni za kweli tofauti na njia za simu.

Hakikisha unaulizia majirani hasa wale uliowakuta pale kama nyumba ni ya wapangaji wengi, ukishakubaliana na dalali rudi tena kajiridhishe kwa kutafuta taarifa zaidi.

Madali si waharibii biashara ni afadhali kumuokoa mtu mmoja ambaye humjui maana wengine hawana fedha ya akiba na ndio wanaanza maisha ukimtapeli tu hata laki mbili unaumiza sana moyo wake.

Wenye nyumba pia tafuta dalali mwaminifu na usikubali aongezee hela kwenye nyumba yako maana anakula jasho lako bila kufanya kazi.



BAADAE NITARUDI NA VISA VYA USHIRIKIANA, USHIRIKINA UNATUMIKA VIPI KWENYE UDALALI AU VINA MAHUSIANO GANI.

Nimepunguza yale matukio mengine wakuu naelezea visa tu moja kwa moja. Wanaosema mimi sijui kusimulia ni kweli kabisa sijui, hapa niliamua kushea tu mikasa hiyo japo ni ya kweli kabisa lakini tupate burudani tu. mm sio fundi mwandiko wala msimuliaji
Niliwahi kupigwa mikocheni kulanina,jamaa walinipeleka kwenye nyumba na mwenye nyumba yupo hapohapo ila waliingia,wakafungua mlango ulikuwa wazi wakanionesha,halafu mwenye nyumba wakasema yupo bagamoyo sijui,bwana weee,nikatuma hela,nikatega channel kwa kumtumia wife, nami nikiwa sichezi mbali,wakastuka,siku inayofuata nikaenda zangu Ludewa kulilia makaburini,hakupona mtu after a month
 
EPS 16

Baada ya Maisha kunipiga kweli kweli, nilifanya jitihada za kina sana kumtafuta Judy mwanzoni alikuwa hataki kabisa kusikia habari ya Kurudiana na wala hata kuonana tu.

Ila mtoto alikuwa anapiga video Call namuona, mtoto alishakua mkubwa kabisa ana miaka mitano

Nilimtafuta rafiki yake aende akaongee nae ila, nilimwambia anipe Muda niongee nae tu uso kwa uso naamini hata kama hataki turudiane angalau tunaweza kuzungumzia hatma ya mtoto na maisha mengine yaendelee.

Nilijua tu nikikaa nae kwa dakika thelathini tu lazima anielewe maana nilikuwa nimeshajipanga kisawa sawa

Rafiki yake alinirudishia majbu ya kunikatisha tama kweli kweli alisema hataki kabisa Kuongea na mimi kwa jambo lolote kama nina shida na mtoto ampe mtu amlete nimuone nikae nae nikichoka Nimrudishe.

Judy aliwahi kumwambia Huyo rafiki yake niwatafute wale Malaya zangu niendelee nao, na hali ninayoipitia anamuomba Mungu ikibidi hadi nitembee barabarani naongea mwenyewe kabisa.

Siku moja alinitumia sms akaniambia uko nyumbani nikamwmabia ndio leo sijatoka siku nzima, akaniambia hata Malaya zako hawajaja kukutembelea au walishavuna wanasubiri msimu tena msimu mwingine wa mavuno.

Alikuwa ananiumiza sana na muda huo sina kazi, sina hela nawaza hata kodi ikiisha nitalipa vipi.

Nilifikiria niuze kiwanja changu kimoja ambacho kilibaki nijipange kwenye biashara ila nikaona kwa maisha yalivyo sitaweza kununua tena kingine.

Baada ya jitihada nyingi sana kufeli niliamua sasa niende mimi mwenyewe kwa Judy nyumbani niaksema hata akinifukuza Poa ila siwezi kutulia kiboya japo aliniambia siku nikikanyaga kwake au kwneye biashara yake ataniitia mwizi au ataniaibisha sana.

Nilisema liwe liwalo nikaenda kibabe asee alivyoniona nilivyokuwa nimebadilika aliishia kunione Huruma maana hakuamini kama hali ilikuwa mbaya hivyo.

Nilienda sikutaka kupoteza muda wala nilimwambia moja kwa moja ila nilijikaza sana "Judy, naomba msamaha kwa moyo wangu wote kwa maumivu niliyokusababishia. Nimejutia sana na natamani kurekebisha mambo. Tafadhali nipe nafasi ya kuzungumza nawe.nahitaji muda wako mfupi tu unisikilize kisha utafanya maamuzi wewe mwenyewe”

Alinicheki bila kusema kitu kabisa nikarudia tena hayo maneno kwa hisia kali sana zile hisia za ndani kabisa.

Akaniambi haya sema hapa kwani unataka kusemaje nikusikilize nikamjibu

Asante sana kwa kujibu, Judy. Naendelea kukuomba msamaha tena kwa jinsi nilivyokukosea na jinsi hii imetuathiri sisi na mtoto . natamani zaidi tujadili hili pamoja, kwa nia ya kujenga upya na kuhakikisha tunaweka familia yetu mbele. Maana ni jambo sasa la kujenga makosa yameshatokea lakini Mungu ametupa nafasi tena tuongee haya mamb.

Nilijieleza kwa unyenyekevu sana na upole ule wa kumaanisha japo baadae nilikuja Kuona kama nimejidhalilisha sana kujieleza sana mbele ya mwanamke.

Nikamwmabia mimi ni hayo tu nimeona nikueleze naye nikampa muda ili aongee

Alinishangaa sana hakuamini kama ningeweza kujishusha hivyo.

Alianza kuongea alianza kunikumbusha matukio ya nyuma jinsi nilivyokuwa kiburi, dharau vile nilikuwa nafuja hela na watoto wazuri bar alifungua faili moja moja hadi mwisho akaanza kutoa machozi, namimi sikuwa mbali nikamsogelea nikaanza kumfuta machozi huku nambembeleza na vimaneno maneno vya Hapa na pale vitamu.

Akaniambia basi ondoka tu tutaongea kwenye simu, Tuliendelea kuongea kwa simu kama wiki hivi tukajikuta kama tumeshaanza kurudiana tena akanaimbia kama nataka turudiane akanipa mashart mawili.

Moja tukapime afya, na sharti la pili hatarudipale home hadi niende kwao na tumalize mambo ya Harusi.

Ilibidi nikubaliane nae maana yeye ndio aliyekuwa amebaki peke yake.

Tulikuja kurudiana japo hadi sasa hatuishi pamoja maana tunafanya mchakato wa kwenda kwao ila kama nilivyowahi kusema sehemu mimi home nilitoka nasitaki kuonana na ndugu zangu ndio kipengele japo nimepanga niende home nimeamua kuwasamhe ndugu zangu ili Turudishe umoja na masuala ya ndoa yafanyike. Siku nikienda homenitawaletea Mrejesho.

Kuhusu masuala ya kazi Mwezi wanne mwaka Huu nilipata kazi sehemu nipo hapo maisha yameanza tena kuleta mwanga, nashukuru mshahara nao sio haba.

Nimeona nishee haya machache kwenu Uandishi ndio unaniangusha. Sifa kuu ya watu wa IT kuandika hatujui wala kusimulia.
Kula nina,nilijua tu kumtenda Judy lazima litakukuta jambo huko mbele kima mlevi wewe,mwanamke anakuwezesha wewe unaleta udalali mpaka kwenye ngono,fakeni kabisa,utulize komwe now
 
Niliwahi kupigwa mikocheni kulanina,jamaa walinipeleka kwenye nyumba na mwenye nyumba yupo hapohapo ila waliingia,wakafungua mlango ulikuwa wazi wakanionesha,halafu mwenye nyumba wakasema yupo bagamoyo sijui,bwana weee,nikatuma hela,nikatega channel kwa kumtumia wife, nami nikiwa sichezi mbali,wakastuka,siku inayofuata nikaenda zangu Ludewa kulilia makaburini,hakupona mtu after a month
Ahhh mbena vhaangu
 
Nina mastori kama elfu 10 hivi lakini sijui kuandika hivi
Huwa mnatumia nini kuandika ni simu au lazima uwe na pc

Now watu wanatumia CHATGBT , yan hyo kama robot, unafungua data then unaibonyeza upande wa mic [emoji441], then unakua unaongea kama unasimulia story huku yenyewe inaandika kwa maneno, ukishamaliza unacopy then unapaste popote utakapohitaji
 
EPS 13 UTAPELI, WIZI NA USHIRIKINA KATIKA KAZI YA UDALALI

Visa vingine kwenye kazi ya Udalali ambavyo nilikutana navyo ni Baadhi yetu Kuwa matapeli.

Utapeli ambao madalali wanafanya ni utapeli wa Kushirikiana ukiona dalali amekutapeli uwe na uhakika kuwa ameshirikiana na dalali mwingine.

Visa vingi vya utapeli vinafanywa na madalali njaa na wengi ndio wameharibu hiyo kazi.

Mfano wa utapeli wa kawaida ni dalali anaweza kuwa na Picha nzuri ya nyumba au chumba anaipost hata kama hiyo nyumba imeshapata mpangaji yeye anachokifanya anapest na kuweka namba zake ili apate wateja au watu angalu afaidi ile hela ya usumbufu.

Kuna dalali mmoja Kijiweni alikuwa anpost hata nyumba ambayo haiapngishwi labda ya mtu binafsi mteja ukipiga simu Anakuelekeza njoo sehemu Fulani nyumba ilipo ukifika anakuambia Asee huna bahati kuna mteja mwingine amekuja kulipia sasa hivi mumepishana tu hapo, lakini kuna nyumba nyingine sehemu Fulani twende ukaione.

Atakupelaka atakuzungusha mitaa unacheki ukikosa yenye sifa unazohitaji basi inabidi umpe hela yake ya Usumbu na kama hamjakubaliana ni kwamba kila nyumb aliyokupeleka anahesabu ni elf Kumi, na huwa hakudai huko huko atarudi na wewe hadi kijiweni Ili madalali wenzie wampe support. Unaweza kushangaa unadaiwa Elf hamsini kwa sababu umetembezwa Nyumba tano na ukibisha tu madalali wanakuzungushia ringi fasta. Huo ni utapeli wa kaiada ambao nafikiri wengi wanaufahamu.

Kupelekwa kwenye nyumba zilizotelekezwa, nyumba za watu wanaoishi mbali na mji n.k huo ni wizi wa kawaida kabisa ambao wengi munaujua.

Kuna wizi wa Kuibia wenye nyumba wanaojenga mjini kisha labda wanahamishwa kikazi kwenda Mikoa mingine.

Kuna jamaa yangu huyu Tumwite Steve, Steve alikabidhiwa nyumba na boss Fulani hivi ambaye alikuwa alijenga Tegeta A huko baadae akahamishiwa Iringa. Hivyo akamkabidhi steve nyumba yake ambayo ndio ilikuwa imekamilika amtafutie wateja.

Steve alipambana kweli akatushirikisha Kijiweni kwamba kuna Nyumba ina sifa Fulani ipo Tegeta A hivyo kama kuna mtu anahitaji tumuunganishe nae Kodi ilikuwa 150k, zilikuwa tatu.

Masai akapata mteja akamuunganisha na steve, steve akamwambia Yupo mbali mpeleke nyumba iko sehemu Fulani akampa ramani yote na akamwambia anamtuma mtu wa bodaboda ampelekee funguo.

Masai akaenda mteja akaicheki akaipenda maana ilikuwa an sifa anzohitaji, wakakubaliana ila akamwmabia mwenye nyumba yupo mkoani mteja akaomba namba yake mwneye nyumba ili waongee.

Masai akarudi kwa steve akamwambia wewe malizana nae mkataba atatumiwa mwenye nyumba amesafiri hayupo karibu kama shida ni mkataba utatumwa, na atapewa namba ataongea naye. Masai akashtuka akajua ni mchezo huu ila kwake sio geni akawa ameshapata akili ya kwenda na huo mchezo.

Mteja alipewa namba ya dalali mwingine akajifanya yeye ndio mwenye nyumba akamwambi mkataba unatumwa Hapo ila unatakiwa ulipie miezi sita na umeme na mambo mengine atakuwa anlipia mwenyewe.

Masai alimpanga mteja lipia haraka hii maana watu wengi sana wanaulizia hii nyumba, fanya haraka ili uhamie.

Mteja akataka namba ya Account ya Benk ili afanye malipo, wakamzuga pale wakampanga akakubali kulipia Kwa njia ya TIGOPESA shida jina aliloambiwa na la usajili ni tofauti ila pia ila hakujali sana mteja akaahidi Jioni atafanya malipo.

KMuda huo steve hataki kuonekana kabisa wala uhusika wake hakutaka ufahamike.

Na masai ili kujitenga na hilo sakata akamwambia ampe chake yeye atamalizana na mwenye nyumba na mwenye nyumba ndio atatuma Funguo, wanachokifanya wanatumia sabuni kwenda Kutoa Copy funguo wanakupa funguo Feki.

Masai akajitoa Mteja akakabidhiwa kwa mtu mwingine kabisa ambaye yeye ndio alidanganywa ni ndugu wa mwenye nyumba.

Masai baada ya hilo zoezi akamtafuta steve ili wakaubaliane vile wanamaliza huo mchongo maana mwenye nyumba Yupo mbali na sio rahisi kushtuka kwamba nyumba yake imepata mteja.

Makubaliano ilikuwa mteja ahamie kabisa bila kufanyiwa usumbufu na baada ya muda Kidogo ndio apigwe tukio.

Mteja alifanya malipo akamjulisha masai na akamwmabia Angehamia wikiend usiku masai akamwambia mimi sihusiki tena Funguo utakabidhiwa na ndugu yake aliyekupa mkataba na kusainisha huko mutamalizana mimi kazi yangu ilikuwa ni kukupeleka tu.

Mteja baada ya Process zote alihamia kama kawaida na pale alikuwa anakaa yeye na familia yake tu nyumba nyingine ilikuwa bado hajapata mteja. Mteja alilipia laki tisa steve akagawana na wenzie mwenye nyumba hakutumiwa hata Mia.

Waliendelea kutafuta mteja mwingine lakini wengi waliokuja walikuwa wanachomoa maana nyumba ilikuwa mbali sana kutoka ile barabara kuu ya mbezi baada ya kama Mwezi hivi mwenye nyumba alipata safari ya dar a akaja kimya kimya bila taarifa. Alipofika Dar akamjulisha steve kwamba amekuja dar hivyo atapitia pia kwenye nyumba yake akacheki mazingira.

Steeve akamwambia pia akifika amjulishe ili naye aende maana funguo anazo japo jamaa alimwambia anazo za akiba . Jioni muda wa saa mbili hivi wakaongozana kwenda kwenye nyumba steve hana wasiwasi wowote, mara wakaona Kama ndani taa zinawaka ikiashiria kuna mtu. Jamaa akamuuliza wkani ilishapata mpangaji steve akasema hapana nay eye akajifanya kushtuka na kushangaa sana.

Wakabisha hodi wakafungulia na Kitoto kidogo kina kama Miaka Kumi hivi akaulizwa upo na nani akasema nipo na mama, walimwita mam yake,jamaa akajitambulisha kwamba yeey ndio mwenye nyumba hivyo hana taarifa za uwepo wake pale.

Unaambiwa Yule mama alishtuka sana huendaalifikiri ni majambazi. Steve akamkaziaa uso akamuuliza nani alikuleta hapa na nani alikupangishia hii nyumba.

Maza akaelezea tukio zima, akaambiwa wapigie hao walliokupangishia akasema aliyenileta hapa baada ya kumaliza nae namba yake siku save lakini kwenye mkataba kuna namba ya Mwenye nyumba.

Kuicheki ni tofauti kabisa naya mwenye nyumba alafu zilkuwa namba kumi na moja nay eye alizopigiwa anzo hakusave hata moja. Kizaa zaa kilianzia hapo na mktaba wake fake.

Funzo Ukiwa unataka kufanya biashara au unafanya makubaliano na mtu yeyote jifunze kuhifadhi sms ambazo mumewasiliana ni muhimu sana hata namba za watu zihifadhi utapata tatizo utamhitaji tena.

Swali likabaki funguo alizipata wapi na wakati funguo zote wao ndio wanao, kwa kifupi ilikuwa kizaa zaa sana lakini mwisho wa siku Yule jamaa alimkubalia aendelee kusihi kwa makubaliano ambayo waliyafanya na akamsihi sana awe makini.

Jamaa akampa steve kazi ya kuwasaka ikiwemo kumtafuta huyo mama waende kwa wakala aliyewafanya miamala kama wataikuta namba na akamuonyeshe huyo dalali alimpata wapi.

Ubaya mmoja aliyekabidhiwa akzi ndio mwizi, Mwizi akajichunguze mwneyewe sakata lilikuja kuisha kwa shida sana na jamaa akahisi steve amamchezea mchezo akamkabidhi Yule mama majukumu kama akija mtu yeyote pale awasiliana nae.

Huyu mama alifanikwia kuhamia wengine wanazuia tu pale wanapoleta mizigo yao unaambiwa kwamba hii nyumba haipangishwi, aua tayari kuna mtu mwingine alishalipia

Huo ni aina ya utapeli mwingine unaofanywa na madalali hivyo ukitaka kupanga ulizia hata kwa majirani wa eneo husika lakini usikubali kusainishwa mkataba mtaani au bar, nenda na majirani waone.

Na huu ndio utapeli mkubwa wengi sana wamelizwa wengine wanalipia ukitaka funguo wanakuzungusha hadi mwneyewe unakuja kushtuka umepigwa namba zinakuwa hazipatikani tena.

Visa kama hivi ndio vilinifanya nikaachana na kazi za nyumba na viwanja kama nilivyoandika huko juu nikawa na dili na biashara zaidi na mambo mengine.

Utapeli mwingine kuongeza be ya kiwango husika.

Hii ndio niliwahi Kuifanya na nilifundishwa na masai.

Niliwahi kupata boss mwenye nyumba Salasala bei ilikuwa ni laki nne Apartment nzuri sana nikamwambia Boss nimepata mteja atatoa laki tano na ameshaiona ameridhika kwa hiyo atatoa laki tano hizo laki ni za kwangu boss akakubaliana na mimi, ila yeye pia alikwua ahishi Tz, alikuwa nje.

Mteja akalipa jamaa kweli hakuwa na shida akanitumia Kmaisheni yangu kama kawaida, hivyo ilitakiwa kila baada ya miezi minne mteja akitoa hela mimi naenda kuchukua laki zangu nne kama mshahara kwa kazi ambayo sijaifanya.

Hii michezo niliifanya sana na ilinipa sana hela lakini dhuluma au wizi fedha yake inaishia kwenye mambo ya Hovyo tu wala haisaidii.

Wenye nyumba wanashirikiana sana na madalali kuweka cha Juu japo kuna wengine hawataki kabisa hiyo michezo.

Na madalali tulikuwa tunafundishana sana hiyo Michezo na kujisiffu nayo ndio nikajua wkanini madalali wengi wanapiga sana hela. Wakati mwanzoni nashirikishwa huo mchongo nilishangaa sana lakini dhambi ukishaizoea inakuwa tamu sana.

Visa ni vingi sana vya Utapeli ambavyo nilivishuhudia lakini kwenye wizi na utapeli hayo ni kwa Uchache tu ila hivyo ndio visa vikuu

Unapotaka kupanga au kununua nyumba au kiwanja hakikisha unafuata Process zote ni afadhali ukalipia Benki ni vigumu sana kutapeliwa maana detail za mteja zinabaki na zinakuwa ni za kweli tofauti na njia za simu.

Hakikisha unaulizia majirani hasa wale uliowakuta pale kama nyumba ni ya wapangaji wengi, ukishakubaliana na dalali rudi tena kajiridhishe kwa kutafuta taarifa zaidi.

Madali si waharibii biashara ni afadhali kumuokoa mtu mmoja ambaye humjui maana wengine hawana fedha ya akiba na ndio wanaanza maisha ukimtapeli tu hata laki mbili unaumiza sana moyo wake.

Wenye nyumba pia tafuta dalali mwaminifu na usikubali aongezee hela kwenye nyumba yako maana anakula jasho lako bila kufanya kazi.



BAADAE NITARUDI NA VISA VYA USHIRIKIANA, USHIRIKINA UNATUMIKA VIPI KWENYE UDALALI AU VINA MAHUSIANO GANI.

Nimepunguza yale matukio mengine wakuu naelezea visa tu moja kwa moja. Wanaosema mimi sijui kusimulia ni kweli kabisa sijui, hapa niliamua kushea tu mikasa hiyo japo ni ya kweli kabisa lakini tupate burudani tu. mm sio fundi mwandiko wala msimuliaji
Nimekawia sana kuijua hii thread
 
Back
Top Bottom