Njoo nikupeNini weweee story yako ulininyima
Ntumie basiiiNjoo nikupe
Cheki pmNtumie basiii
Haipoo hujatumaCheki pm
Mods watakuwa wameishikilia 😎Haipoo hujatuma
Kwani ule uzi haujaisha?Afadhali uchangamshe kidogo jukwaa. Insider akiwa likizo kama hivi wewe uwe unatuchangamsha kidg..
.
By the way Story ni nzuri lkn jitaidi kuongeza nyama nyama kidg usiandike kwa juu juu sana
Madalali nao wanakutanaga na visanga sio poaaa
Inaonekana hujawai kupenda wewe, huwa unatamani 🤣🤣Kinyume cha Judi yani nimkopee mwanaume hela tena hawara tu ambae hajawekeza chochote kwangu😀😀😀 ngumu sana, msema kweli mpenzi wa Mungu hiyo roho sina hata wazo tu halijawahi kukatiza kichwani kwangu kwanza nitawehuka nitakimbia kawe nikakanyage mafuta