Mkasa wa kweli: Nilifanywa boya kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu akidai ana mtoto wangu

Mkasa wa kweli: Nilifanywa boya kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu akidai ana mtoto wangu

Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na familia hivyo tukawa na mahusiano ya Siri kubwa Sana.

Sasa mwaka 2017 katika mahusiano akasema anahitaji mtoto tukakutana akasema ana ujauzito wangu nikawa namhudumia kwa ukaribu zaidi, kila nikimwambia mbona huendi clinic akawa ananiambia atakwenda. Kuna siku akanipigia simu kuwa Yuko clinic anahitaji taarifa zangu zote nikampatia, siku za kujifungua zilipokaribia akaenda Muhimbili na dadayake na ndugu zake.

Akafanyiwa operation na kupoteza fahamu siku tatu kabla ya hapo alinitumia message kuwa akifa mtoto yupo na dadayake wa masaki. Kwa Neema yake Mungu akazinduka tukaongea na dadayake na mama yake na yeye mwenyewe. Hivyo akawa anaishi kwa dadayake wa huko masaki na shemeji yake, nikawa nawasiliana nao Mara kwa Mara hasa kwa njia ya message nikitumia simu ya mzazi mwenzangu.

Miaka ikawa inasonga kila nikitaka kumwona mtoto vizingizio kibao Mara Yuko busy Mara mtoto hayupo n.k. Alipotimiza miaka miwili nilimwambia anitumie picha kwa njia ya WhatsApp, alituma hiyo picha ya mtoto wa kiume. Alipofikisha miaka mitatu akasema amempeleka shule huko huko Masaki wanakosoma watoto wa dadayake na gharama zake milioni mbili kwa mwaka na usafiri Mimi nichangie.

Nilimkatalia kuwa hukunishirikisha kwanza, pili gharama kubwa kwa chekechea. Mimi kipindi hicho hicho hali yangu ya kifedha ilikuwa sio nzuri. Akawa anasomesha mwenyewe Mimi nachangia vitu vidogo tu, Shule ikifunga namwambia nakuja huko huko masaki kumwona mtoto anasema ameshamsafirisha Singida kwa bibi yake na likizo nyingine kwa kaka yake Dodoma eti kwa vile sichangii gharama za shule.

Mara akaniambia kahamishwa kwenda Mtwara kikazi Mara kasema kahamishwa Mtwara kwenda Morogoro Mara kahamishwa Yuko Iringa kikazi kumbuka Mimi ninatoa mshahara wa Binti wa kazi wa kumlea mtoto wangu. Mara ya mwisho kasema kampuni yake inampeleka kusoma Canada kwa miaka mitatu na mtoto atamwacha kwa dadayake wa masaki.

Tukawa tunawasiliana na dadayake na shemeji yake kwa mahitaji madogo yakijitokeza. Naye tulikuwa tukiwasiliana Mara kwa mara akiwa huko chuoni Canada. Kwa miaka miwili alikuwa anarudi December tunakutana wakati wowote ule nikimhitaji na wakati wa usiku Kama bi mkubwa wangu hayupo tunapigiana WhatsApp call. Sasa mwaka wa pili mwishoni karudi December mwaka huu 2022 mwishoni na tarehe 31 December akanipigia simu kuwa nisipokee simu yake ikipigwa akajichanganya akasema simu ameidondosha.

Na Mimi nikajisemea kimoyo moyo nitapokea ikipigwa. Kweli ikipigwa nikapokea akajitambulisha kuwa yeye ndiye mume wa huyo mke tangu mwaka 2010 na wamezaa watoto wawili wa kwanza miaka kumi na WA pili miaka minane. Nami nikamwambia kuwa huyo nimekuwa na mahusiano miaka kumi na tatu hadi Sasa na nimezaa naye mtoto wa kiume kwa Sasa ana miaka mine.

Akaniuliza ulisha wahi kumwona huyo mtoto, nikasema hapana kwa Sasa anaishi masaki kwa sababu huyo Yuko masomoni Canada. Akaniambia Hana dadayake masaki hajawahi hata kupanda ndege hajawi kufanya kazi Mtwara, Morogoro Wala Iringa.

Hana mtoto wa kiume wa miaka hiyo minne Wala Hana mashamba Singida ekari thelathini Wala Hana nyumba Morogoro wala Hana gari Wala Hana kazi ni mama wa nyumbani Wala Hana nyumba Pugu Wala Hana nyumba Chanika. Hayo yote alikuwa aliniambia kuwa anavyo vitu hivyo kumbe ni mwongo wa kutupwa ni mafia wa kimataifa.

Alisema anafanya kazi maeneo ya Mtava katika kampuni inayoshughilika na furniture. Niliongea Sana na mume wake kuwa wazazi wake wanamjua na mama yake mzazi yupo Dar maeneo ya Zingiziwa Wala sio huko Singida pia baba yake mzazi hajazikwa Singida ila kazikwa hapa Dar kwangu alisema walisafirisha. Kwangu alisema dadayake wa kwanza yeye wa pili na dadayake alizaa akiwa form two na wadogo zake watatu kumbe mwongo yeye wa kwanza na mdogo wake mmoja tu na mdogo wake wa kike ni mmoja ambao hai wote walikuwa wanaishi kwa shemeji Yao na huyu mdogo kamaliza form four mwaka Jana.

Kuna mengi Sana aliyokuwa akinidanganya kuwa kavamiwa Mtwara, kavamiwa Morogoro kavamiwa Chanika kapewa sumu na mtoto alipewa sumu n.k. Ila za mwizi arobaini zimeshatimia nawashauri wengine kuchukua tahadhari Kama hizi mimi nimepigiwa nilifanywa boya kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu tunashare mke mmoja na wanaume wawili bila kujulikana.

Ila siku aliyopigiwa simu kuwa tumekutana na Mimi mke nasikia alizimia kwa ufupi ndio mwisho wa mawasiliano yake na yangu uamuzi atabakiwa kwa mume wake. Ila nilimshauri kuwa asimwache kwa vile kazaa naye naye alinishauri niende kwa mama yake mzazi wa mke tukaongee issue hii nilikataa.

Kuna mengi Sana sijaandika ila kwa ufupi mume wake aliniambia mke wake anahusudu Sana waganga wa kienyeji sijui aliniloga Mimi na akamloga mume wake pia. Mungu ndiye mweza wa kila jambo na wakati wake. Tafakari chukua hatua uanze kumtukana maana huu mkasa wa kweli utawasaidia na wengine kwa wanawake wa tabia Kama hizi za kupenda huku na huku.

Mungu awabariki wote mtakaosoma ujumbe huu najua hata mhusika ambaye anaanzia herufi R na mume wake anaanzia herefi H watausima ujumbe huu. Nimefunga mwaka kwa haya nadhani na mume wake amefunga mwaka kwa hivyo Amina.
Ulimgeuza mkeo boya nawe ukageuzwa boya mchezo kwisha ngoma droo. Huna haja ya kulalamika wala kulaani. Jilaani na kujilaumu mwenyewe
 
Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na familia hivyo tukawa na mahusiano ya Siri kubwa Sana.

Sasa mwaka 2017 katika mahusiano akasema anahitaji mtoto tukakutana akasema ana ujauzito wangu nikawa namhudumia kwa ukaribu zaidi, kila nikimwambia mbona huendi clinic akawa ananiambia atakwenda. Kuna siku akanipigia simu kuwa Yuko clinic anahitaji taarifa zangu zote nikampatia, siku za kujifungua zilipokaribia akaenda Muhimbili na dadayake na ndugu zake.

Akafanyiwa operation na kupoteza fahamu siku tatu kabla ya hapo alinitumia message kuwa akifa mtoto yupo na dadayake wa masaki. Kwa Neema yake Mungu akazinduka tukaongea na dadayake na mama yake na yeye mwenyewe. Hivyo akawa anaishi kwa dadayake wa huko masaki na shemeji yake, nikawa nawasiliana nao Mara kwa Mara hasa kwa njia ya message nikitumia simu ya mzazi mwenzangu.

Miaka ikawa inasonga kila nikitaka kumwona mtoto vizingizio kibao Mara Yuko busy Mara mtoto hayupo n.k. Alipotimiza miaka miwili nilimwambia anitumie picha kwa njia ya WhatsApp, alituma hiyo picha ya mtoto wa kiume. Alipofikisha miaka mitatu akasema amempeleka shule huko huko Masaki wanakosoma watoto wa dadayake na gharama zake milioni mbili kwa mwaka na usafiri Mimi nichangie.

Nilimkatalia kuwa hukunishirikisha kwanza, pili gharama kubwa kwa chekechea. Mimi kipindi hicho hicho hali yangu ya kifedha ilikuwa sio nzuri. Akawa anasomesha mwenyewe Mimi nachangia vitu vidogo tu, Shule ikifunga namwambia nakuja huko huko masaki kumwona mtoto anasema ameshamsafirisha Singida kwa bibi yake na likizo nyingine kwa kaka yake Dodoma eti kwa vile sichangii gharama za shule.

Mara akaniambia kahamishwa kwenda Mtwara kikazi Mara kasema kahamishwa Mtwara kwenda Morogoro Mara kahamishwa Yuko Iringa kikazi kumbuka Mimi ninatoa mshahara wa Binti wa kazi wa kumlea mtoto wangu. Mara ya mwisho kasema kampuni yake inampeleka kusoma Canada kwa miaka mitatu na mtoto atamwacha kwa dadayake wa masaki.

Tukawa tunawasiliana na dadayake na shemeji yake kwa mahitaji madogo yakijitokeza. Naye tulikuwa tukiwasiliana Mara kwa mara akiwa huko chuoni Canada. Kwa miaka miwili alikuwa anarudi December tunakutana wakati wowote ule nikimhitaji na wakati wa usiku Kama bi mkubwa wangu hayupo tunapigiana WhatsApp call. Sasa mwaka wa pili mwishoni karudi December mwaka huu 2022 mwishoni na tarehe 31 December akanipigia simu kuwa nisipokee simu yake ikipigwa akajichanganya akasema simu ameidondosha.

Na Mimi nikajisemea kimoyo moyo nitapokea ikipigwa. Kweli ikipigwa nikapokea akajitambulisha kuwa yeye ndiye mume wa huyo mke tangu mwaka 2010 na wamezaa watoto wawili wa kwanza miaka kumi na WA pili miaka minane. Nami nikamwambia kuwa huyo nimekuwa na mahusiano miaka kumi na tatu hadi Sasa na nimezaa naye mtoto wa kiume kwa Sasa ana miaka mine.

Akaniuliza ulisha wahi kumwona huyo mtoto, nikasema hapana kwa Sasa anaishi masaki kwa sababu huyo Yuko masomoni Canada. Akaniambia Hana dadayake masaki hajawahi hata kupanda ndege hajawi kufanya kazi Mtwara, Morogoro Wala Iringa.

Hana mtoto wa kiume wa miaka hiyo minne Wala Hana mashamba Singida ekari thelathini Wala Hana nyumba Morogoro wala Hana gari Wala Hana kazi ni mama wa nyumbani Wala Hana nyumba Pugu Wala Hana nyumba Chanika. Hayo yote alikuwa aliniambia kuwa anavyo vitu hivyo kumbe ni mwongo wa kutupwa ni mafia wa kimataifa.

Alisema anafanya kazi maeneo ya Mtava katika kampuni inayoshughilika na furniture. Niliongea Sana na mume wake kuwa wazazi wake wanamjua na mama yake mzazi yupo Dar maeneo ya Zingiziwa Wala sio huko Singida pia baba yake mzazi hajazikwa Singida ila kazikwa hapa Dar kwangu alisema walisafirisha. Kwangu alisema dadayake wa kwanza yeye wa pili na dadayake alizaa akiwa form two na wadogo zake watatu kumbe mwongo yeye wa kwanza na mdogo wake mmoja tu na mdogo wake wa kike ni mmoja ambao hai wote walikuwa wanaishi kwa shemeji Yao na huyu mdogo kamaliza form four mwaka Jana.

Kuna mengi Sana aliyokuwa akinidanganya kuwa kavamiwa Mtwara, kavamiwa Morogoro kavamiwa Chanika kapewa sumu na mtoto alipewa sumu n.k. Ila za mwizi arobaini zimeshatimia nawashauri wengine kuchukua tahadhari Kama hizi mimi nimepigiwa nilifanywa boya kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu tunashare mke mmoja na wanaume wawili bila kujulikana.

Ila siku aliyopigiwa simu kuwa tumekutana na Mimi mke nasikia alizimia kwa ufupi ndio mwisho wa mawasiliano yake na yangu uamuzi atabakiwa kwa mume wake. Ila nilimshauri kuwa asimwache kwa vile kazaa naye naye alinishauri niende kwa mama yake mzazi wa mke tukaongee issue hii nilikataa.

Kuna mengi Sana sijaandika ila kwa ufupi mume wake aliniambia mke wake anahusudu Sana waganga wa kienyeji sijui aliniloga Mimi na akamloga mume wake pia. Mungu ndiye mweza wa kila jambo na wakati wake. Tafakari chukua hatua uanze kumtukana maana huu mkasa wa kweli utawasaidia na wengine kwa wanawake wa tabia Kama hizi za kupenda huku na huku.

Mungu awabariki wote mtakaosoma ujumbe huu najua hata mhusika ambaye anaanzia herufi R na mume wake anaanzia herefi H watausima ujumbe huu. Nimefunga mwaka kwa haya nadhani na mume wake amefunga mwaka kwa hivyo Amina.

Unapolala na mwamke tu you exchange vitu vya ndani sana na hapo unakuwa desperate kiroho na kinafsi sana.

Kama huyo mwanamke atakuwa mtu wa waganga au uchawi lazima atakuzibiti tu na utaingia kwenye shida kweli kweli..

Kuna sababu kwa nini vitabu vyote vya dini na ustaatabu wa kawaida unakataa zinaa, na unakaa haswa kabisa.

Kataa zinaa.
 
Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na familia hivyo tukawa na mahusiano ya Siri kubwa Sana.

Sasa mwaka 2017 katika mahusiano akasema anahitaji mtoto tukakutana akasema ana ujauzito wangu nikawa namhudumia kwa ukaribu zaidi, kila nikimwambia mbona huendi clinic akawa ananiambia atakwenda. Kuna siku akanipigia simu kuwa Yuko clinic anahitaji taarifa zangu zote nikampatia, siku za kujifungua zilipokaribia akaenda Muhimbili na dadayake na ndugu zake.

Akafanyiwa operation na kupoteza fahamu siku tatu kabla ya hapo alinitumia message kuwa akifa mtoto yupo na dadayake wa masaki. Kwa Neema yake Mungu akazinduka tukaongea na dadayake na mama yake na yeye mwenyewe. Hivyo akawa anaishi kwa dadayake wa huko masaki na shemeji yake, nikawa nawasiliana nao Mara kwa Mara hasa kwa njia ya message nikitumia simu ya mzazi mwenzangu.

Miaka ikawa inasonga kila nikitaka kumwona mtoto vizingizio kibao Mara Yuko busy Mara mtoto hayupo n.k. Alipotimiza miaka miwili nilimwambia anitumie picha kwa njia ya WhatsApp, alituma hiyo picha ya mtoto wa kiume. Alipofikisha miaka mitatu akasema amempeleka shule huko huko Masaki wanakosoma watoto wa dadayake na gharama zake milioni mbili kwa mwaka na usafiri Mimi nichangie.

Nilimkatalia kuwa hukunishirikisha kwanza, pili gharama kubwa kwa chekechea. Mimi kipindi hicho hicho hali yangu ya kifedha ilikuwa sio nzuri. Akawa anasomesha mwenyewe Mimi nachangia vitu vidogo tu, Shule ikifunga namwambia nakuja huko huko masaki kumwona mtoto anasema ameshamsafirisha Singida kwa bibi yake na likizo nyingine kwa kaka yake Dodoma eti kwa vile sichangii gharama za shule.

Mara akaniambia kahamishwa kwenda Mtwara kikazi Mara kasema kahamishwa Mtwara kwenda Morogoro Mara kahamishwa Yuko Iringa kikazi kumbuka Mimi ninatoa mshahara wa Binti wa kazi wa kumlea mtoto wangu. Mara ya mwisho kasema kampuni yake inampeleka kusoma Canada kwa miaka mitatu na mtoto atamwacha kwa dadayake wa masaki.

Tukawa tunawasiliana na dadayake na shemeji yake kwa mahitaji madogo yakijitokeza. Naye tulikuwa tukiwasiliana Mara kwa mara akiwa huko chuoni Canada. Kwa miaka miwili alikuwa anarudi December tunakutana wakati wowote ule nikimhitaji na wakati wa usiku Kama bi mkubwa wangu hayupo tunapigiana WhatsApp call. Sasa mwaka wa pili mwishoni karudi December mwaka huu 2022 mwishoni na tarehe 31 December akanipigia simu kuwa nisipokee simu yake ikipigwa akajichanganya akasema simu ameidondosha.

Na Mimi nikajisemea kimoyo moyo nitapokea ikipigwa. Kweli ikipigwa nikapokea akajitambulisha kuwa yeye ndiye mume wa huyo mke tangu mwaka 2010 na wamezaa watoto wawili wa kwanza miaka kumi na WA pili miaka minane. Nami nikamwambia kuwa huyo nimekuwa na mahusiano miaka kumi na tatu hadi Sasa na nimezaa naye mtoto wa kiume kwa Sasa ana miaka mine.

Akaniuliza ulisha wahi kumwona huyo mtoto, nikasema hapana kwa Sasa anaishi masaki kwa sababu huyo Yuko masomoni Canada. Akaniambia Hana dadayake masaki hajawahi hata kupanda ndege hajawi kufanya kazi Mtwara, Morogoro Wala Iringa.

Hana mtoto wa kiume wa miaka hiyo minne Wala Hana mashamba Singida ekari thelathini Wala Hana nyumba Morogoro wala Hana gari Wala Hana kazi ni mama wa nyumbani Wala Hana nyumba Pugu Wala Hana nyumba Chanika. Hayo yote alikuwa aliniambia kuwa anavyo vitu hivyo kumbe ni mwongo wa kutupwa ni mafia wa kimataifa.

Alisema anafanya kazi maeneo ya Mtava katika kampuni inayoshughilika na furniture. Niliongea Sana na mume wake kuwa wazazi wake wanamjua na mama yake mzazi yupo Dar maeneo ya Zingiziwa Wala sio huko Singida pia baba yake mzazi hajazikwa Singida ila kazikwa hapa Dar kwangu alisema walisafirisha. Kwangu alisema dadayake wa kwanza yeye wa pili na dadayake alizaa akiwa form two na wadogo zake watatu kumbe mwongo yeye wa kwanza na mdogo wake mmoja tu na mdogo wake wa kike ni mmoja ambao hai wote walikuwa wanaishi kwa shemeji Yao na huyu mdogo kamaliza form four mwaka Jana.

Kuna mengi Sana aliyokuwa akinidanganya kuwa kavamiwa Mtwara, kavamiwa Morogoro kavamiwa Chanika kapewa sumu na mtoto alipewa sumu n.k. Ila za mwizi arobaini zimeshatimia nawashauri wengine kuchukua tahadhari Kama hizi mimi nimepigiwa nilifanywa boya kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu tunashare mke mmoja na wanaume wawili bila kujulikana.

Ila siku aliyopigiwa simu kuwa tumekutana na Mimi mke nasikia alizimia kwa ufupi ndio mwisho wa mawasiliano yake na yangu uamuzi atabakiwa kwa mume wake. Ila nilimshauri kuwa asimwache kwa vile kazaa naye naye alinishauri niende kwa mama yake mzazi wa mke tukaongee issue hii nilikataa.

Kuna mengi Sana sijaandika ila kwa ufupi mume wake aliniambia mke wake anahusudu Sana waganga wa kienyeji sijui aliniloga Mimi na akamloga mume wake pia. Mungu ndiye mweza wa kila jambo na wakati wake. Tafakari chukua hatua uanze kumtukana maana huu mkasa wa kweli utawasaidia na wengine kwa wanawake wa tabia Kama hizi za kupenda huku na huku.

Mungu awabariki wote mtakaosoma ujumbe huu najua hata mhusika ambaye anaanzia herufi R na mume wake anaanzia herefi H watausima ujumbe huu. Nimefunga mwaka kwa haya nadhani na mume wake amefunga mwaka kwa hivyo Amina.
Pole sana kwa masahibu yaliyokukuta, ila nikuhakikishie jambo moja. Ni kwamba, hakuna aliyekufanya boya bali ulikua boya.
 
Afu mbona akina Nico mnakuwaga maboya sana kwann

Miaka 3 huhamwona mtoto alafu upo comfortable [emoji23]
 
Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na familia hivyo tukawa na mahusiano ya Siri kubwa Sana.

Sasa mwaka 2017 katika mahusiano akasema anahitaji mtoto tukakutana akasema ana ujauzito wangu nikawa namhudumia kwa ukaribu zaidi, kila nikimwambia mbona huendi clinic akawa ananiambia atakwenda. Kuna siku akanipigia simu kuwa Yuko clinic anahitaji taarifa zangu zote nikampatia, siku za kujifungua zilipokaribia akaenda Muhimbili na dadayake na ndugu zake.

Akafanyiwa operation na kupoteza fahamu siku tatu kabla ya hapo alinitumia message kuwa akifa mtoto yupo na dadayake wa masaki. Kwa Neema yake Mungu akazinduka tukaongea na dadayake na mama yake na yeye mwenyewe. Hivyo akawa anaishi kwa dadayake wa huko masaki na shemeji yake, nikawa nawasiliana nao Mara kwa Mara hasa kwa njia ya message nikitumia simu ya mzazi mwenzangu.

Miaka ikawa inasonga kila nikitaka kumwona mtoto vizingizio kibao Mara Yuko busy Mara mtoto hayupo n.k. Alipotimiza miaka miwili nilimwambia anitumie picha kwa njia ya WhatsApp, alituma hiyo picha ya mtoto wa kiume. Alipofikisha miaka mitatu akasema amempeleka shule huko huko Masaki wanakosoma watoto wa dadayake na gharama zake milioni mbili kwa mwaka na usafiri Mimi nichangie.

Nilimkatalia kuwa hukunishirikisha kwanza, pili gharama kubwa kwa chekechea. Mimi kipindi hicho hicho hali yangu ya kifedha ilikuwa sio nzuri. Akawa anasomesha mwenyewe Mimi nachangia vitu vidogo tu, Shule ikifunga namwambia nakuja huko huko masaki kumwona mtoto anasema ameshamsafirisha Singida kwa bibi yake na likizo nyingine kwa kaka yake Dodoma eti kwa vile sichangii gharama za shule.

Mara akaniambia kahamishwa kwenda Mtwara kikazi Mara kasema kahamishwa Mtwara kwenda Morogoro Mara kahamishwa Yuko Iringa kikazi kumbuka Mimi ninatoa mshahara wa Binti wa kazi wa kumlea mtoto wangu. Mara ya mwisho kasema kampuni yake inampeleka kusoma Canada kwa miaka mitatu na mtoto atamwacha kwa dadayake wa masaki.

Tukawa tunawasiliana na dadayake na shemeji yake kwa mahitaji madogo yakijitokeza. Naye tulikuwa tukiwasiliana Mara kwa mara akiwa huko chuoni Canada. Kwa miaka miwili alikuwa anarudi December tunakutana wakati wowote ule nikimhitaji na wakati wa usiku Kama bi mkubwa wangu hayupo tunapigiana WhatsApp call. Sasa mwaka wa pili mwishoni karudi December mwaka huu 2022 mwishoni na tarehe 31 December akanipigia simu kuwa nisipokee simu yake ikipigwa akajichanganya akasema simu ameidondosha.

Na Mimi nikajisemea kimoyo moyo nitapokea ikipigwa. Kweli ikipigwa nikapokea akajitambulisha kuwa yeye ndiye mume wa huyo mke tangu mwaka 2010 na wamezaa watoto wawili wa kwanza miaka kumi na WA pili miaka minane. Nami nikamwambia kuwa huyo nimekuwa na mahusiano miaka kumi na tatu hadi Sasa na nimezaa naye mtoto wa kiume kwa Sasa ana miaka mine.

Akaniuliza ulisha wahi kumwona huyo mtoto, nikasema hapana kwa Sasa anaishi masaki kwa sababu huyo Yuko masomoni Canada. Akaniambia Hana dadayake masaki hajawahi hata kupanda ndege hajawi kufanya kazi Mtwara, Morogoro Wala Iringa.

Hana mtoto wa kiume wa miaka hiyo minne Wala Hana mashamba Singida ekari thelathini Wala Hana nyumba Morogoro wala Hana gari Wala Hana kazi ni mama wa nyumbani Wala Hana nyumba Pugu Wala Hana nyumba Chanika. Hayo yote alikuwa aliniambia kuwa anavyo vitu hivyo kumbe ni mwongo wa kutupwa ni mafia wa kimataifa.

Alisema anafanya kazi maeneo ya Mtava katika kampuni inayoshughilika na furniture. Niliongea Sana na mume wake kuwa wazazi wake wanamjua na mama yake mzazi yupo Dar maeneo ya Zingiziwa Wala sio huko Singida pia baba yake mzazi hajazikwa Singida ila kazikwa hapa Dar kwangu alisema walisafirisha. Kwangu alisema dadayake wa kwanza yeye wa pili na dadayake alizaa akiwa form two na wadogo zake watatu kumbe mwongo yeye wa kwanza na mdogo wake mmoja tu na mdogo wake wa kike ni mmoja ambao hai wote walikuwa wanaishi kwa shemeji Yao na huyu mdogo kamaliza form four mwaka Jana.

Kuna mengi Sana aliyokuwa akinidanganya kuwa kavamiwa Mtwara, kavamiwa Morogoro kavamiwa Chanika kapewa sumu na mtoto alipewa sumu n.k. Ila za mwizi arobaini zimeshatimia nawashauri wengine kuchukua tahadhari Kama hizi mimi nimepigiwa nilifanywa boya kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu tunashare mke mmoja na wanaume wawili bila kujulikana.

Ila siku aliyopigiwa simu kuwa tumekutana na Mimi mke nasikia alizimia kwa ufupi ndio mwisho wa mawasiliano yake na yangu uamuzi atabakiwa kwa mume wake. Ila nilimshauri kuwa asimwache kwa vile kazaa naye naye alinishauri niende kwa mama yake mzazi wa mke tukaongee issue hii nilikataa.

Kuna mengi Sana sijaandika ila kwa ufupi mume wake aliniambia mke wake anahusudu Sana waganga wa kienyeji sijui aliniloga Mimi na akamloga mume wake pia. Mungu ndiye mweza wa kila jambo na wakati wake. Tafakari chukua hatua uanze kumtukana maana huu mkasa wa kweli utawasaidia na wengine kwa wanawake wa tabia Kama hizi za kupenda huku na huku.

Mungu awabariki wote mtakaosoma ujumbe huu najua hata mhusika ambaye anaanzia herufi R na mume wake anaanzia herefi H watausima ujumbe huu. Nimefunga mwaka kwa haya nadhani na mume wake amefunga mwaka kwa hivyo Amina.
duh pole sana
 
Wanaume huwa mnadhani mna ujuzi wa kutupiga matukio na mnatuonaga wajinga ila siku mwanamke akiamua akupige tukio hadi shetani anakaa pembeni kuchukua notes.

Ndo mtuliege na wake zenu majumbani

Ukubwa dawa

Alafu aliekwambia kuna shule ya milioni mbili masaki nani?
Mkuu hilo ni bwege lenye ndoa tupige matukio sisi wakata ndoa uone kama shetani na mungu hawajashirikiana kuchukua notes
 
Mkuu hilo ni bwege lenye ndoa tupige matukio sisi wakata ndoa uone kama shetani na mungu hawajashirikiana kuchukua notes
Si ndo nyie ambao mnaambiwa nna mimba yako, na hivyo hamtaki ndoa unampa hela akatoe😂 mnachunwa kama watu sita hivi akikaa akihesabu ana milioni. Hapo hakuna mimba wala ute😂
 
Si ndo nyie ambao mnaambiwa nna mimba yako, na hivyo hamtaki ndoa unampa hela akatoe[emoji23] mnachunwa kama watu sita hivi akikaa akihesabu ana milioni. Hapo hakuna mimba wala ute[emoji23]
Mkuu kuchunwa sio kupigwa tukio , mbona ninawapa bila hata kuniomba tu au mkuu ulitaka nile papuchi bure ebu kuwa seriously [emoji52]
 
Mkuu kuchunwa sio kupigwa tukio , mbona ninawapa bila hata kuniomba tu au mkuu ulitaka nile papuchi bure ebu kuwa seriously [emoji52]
Hujakutana na vitasa. Wanaume wenzio wanaliaga. Omba Mungu akuepushe na uishi katika misingo inayofaa ili kikombe kikuepuke. Usiombe
 
Uandishi mbovu
Akili mbovu
Unasomeshaje mtoto usie mjua.
Unamlipa house girl usiyemjua.
Dunia haitaisha mabwege.
 
Kwa jinsi ulivyo eleza inatoa picha kamili kwamba wewe ni boya..yaani haukufanywa boya..ila wewe ni boya.

Kuna mambo mengi ambayo ungeweza kufanya na kugundua mbivu na mbichi mapema kabisa.

Yaani kweli unashindwa kujua mtu yuko canada au mazense kwa miaka 2?
 
Back
Top Bottom