Kilichowatokea hao wote kilianza na Baba wa familia alipojazwa mapepo ya kuzim na huyo nabii wa kike!!
Alipojazwa mapepo akawa yes man kwa Kila kitu!
Mhusika alianza kujazwa na kitu kama upepo kwenye moyo wake yaani ujazo wa roho was mapepo unaosababisha msukumo wa damu wa mawimbi ya ghafula ndani ya moyo na pumzi!!
Anajazwa na hayo madudu mhusika anakua controlled na roho ya huyo nabii,mchawi,mganga n.k,mara nyingi wanachukua majina ya mama na Babu wa mhusika Ili kumpiga pin kumloga kupitia jina la mama na Babu yake!!
Mhusika ataanza kufuata maelekezo kwa njia ya sms au kupigiwa sim mara Kwa mara na akili ya mhusika inakufa au haifanyi kazi tena Bali inategemea nabii mkuu,mchawi au mganga anaemuendesha kupitia roho wa mapepo!!
Mhusika ataelekezwa kutuma pesa,kumilikisha mali hasta kuua mtu ili kutimiza matakwa ya nabii ,mchawi au mganga huyo na Wala hatajua zaidi ya kufuata maelekezo na akili yake haitofanya kazi!!
mambo haya yanatokea sana hata hapa Bongo na huo uchawi au ulozi ni WA Hali ya juu hata baadhi ya watu wazito wa kwenye mfumo wa usalama wa nchi wanao ili kuwapumbaza na kuvuna Wanachotaka Toka kwa wahalifu au wanaowapeleleza!!!
Ulozi huu unatumika kuwafilisi watu ambao ni threat Kwa mfumo wa utawala au hata kuwaua Kwa mhusika kujiua mwenyewe Kwa kujazwa maroho machafu!!
itoshe kusema kwamba ujasusi na uchawi plus secret societies plus mashirika ya kijasusi duniani no wamoja !Hakuna Mfumo wa kimbingu kwa watu wa mfumo zaidi ya kuwa walozi wa kijasusi ndani ya secret societies!!
Refer mapesa meengi wanayotumia wanasiasa Ili washinde uchaguzi na hawashindi Huwa Wana. Be blackmailed kiakili na kiroho kuaminishwa mambo yasiyoaminika mwishowe hupata hasara na anguko la kiuchumi Hadi hupata kiharusi na kufa!!
RIP nywele nyeupe Hadi ikulu!!
Watch out mkojani team!
Kama akiukosa huo anaoupigania anaweza PATA kiharusi au kuparalyse na Sasa kajazwa maroho anajazwa upepo kuwa naweza kumbe hawezi kifupi analogwa kiakili na hey hajui kama anachezewa shere!!