Mkasa wa Nabii Ann Wanyoro na vifo vya ajabu vya watu watano kutoka familia moja

Mkasa wa Nabii Ann Wanyoro na vifo vya ajabu vya watu watano kutoka familia moja

Kilichowatokea hao wote kilianza na Baba wa familia alipojazwa mapepo ya kuzim na huyo nabii wa kike!!

Alipojazwa mapepo akawa yes man kwa Kila kitu!

Mhusika alianza kujazwa na kitu kama upepo kwenye moyo wake yaani ujazo wa roho was mapepo unaosababisha msukumo wa damu wa mawimbi ya ghafula ndani ya moyo na pumzi!!

Anajazwa na hayo madudu mhusika anakua controlled na roho ya huyo nabii,mchawi,mganga n.k,mara nyingi wanachukua majina ya mama na Babu wa mhusika Ili kumpiga pin kumloga kupitia jina la mama na Babu yake!!

Mhusika ataanza kufuata maelekezo kwa njia ya sms au kupigiwa sim mara Kwa mara na akili ya mhusika inakufa au haifanyi kazi tena Bali inategemea nabii mkuu,mchawi au mganga anaemuendesha kupitia roho wa mapepo!!

Mhusika ataelekezwa kutuma pesa,kumilikisha mali hasta kuua mtu ili kutimiza matakwa ya nabii ,mchawi au mganga huyo na Wala hatajua zaidi ya kufuata maelekezo na akili yake haitofanya kazi!!

mambo haya yanatokea sana hata hapa Bongo na huo uchawi au ulozi ni WA Hali ya juu hata baadhi ya watu wazito wa kwenye mfumo wa usalama wa nchi wanao ili kuwapumbaza na kuvuna Wanachotaka Toka kwa wahalifu au wanaowapeleleza!!!

Ulozi huu unatumika kuwafilisi watu ambao ni threat Kwa mfumo wa utawala au hata kuwaua Kwa mhusika kujiua mwenyewe Kwa kujazwa maroho machafu!!

itoshe kusema kwamba ujasusi na uchawi plus secret societies plus mashirika ya kijasusi duniani no wamoja !Hakuna Mfumo wa kimbingu kwa watu wa mfumo zaidi ya kuwa walozi wa kijasusi ndani ya secret societies!!

Refer mapesa meengi wanayotumia wanasiasa Ili washinde uchaguzi na hawashindi Huwa Wana. Be blackmailed kiakili na kiroho kuaminishwa mambo yasiyoaminika mwishowe hupata hasara na anguko la kiuchumi Hadi hupata kiharusi na kufa!!

RIP nywele nyeupe Hadi ikulu!!

Watch out mkojani team!

Kama akiukosa huo anaoupigania anaweza PATA kiharusi au kuparalyse na Sasa kajazwa maroho anajazwa upepo kuwa naweza kumbe hawezi kifupi analogwa kiakili na hey hajui kama anachezewa shere!!
Ulichoongea ni kweli ila hapo mwisho UT wa Tanzania na hao unaosema secrete services hamna icho kitu ni wananchi mnakuza mambo tuu.
 
Ulichoongea ni kweli ila hapo mwisho UT wa Tanzania na hao unaosema secrete services hamna icho kitu ni wananchi mnakuza mambo tuu.
Hujawahi kutana nao!!

Huo ujinga wa hao uvccm usichanganye na real dudes mkuu!!

Sector zote zipo Hadi wachawi wa kweli kabisa yaani walozi nao no sehem ya system!achana na wapiga makelele wanaovaa kaundasuit wakijidai Kuna wenyewe hai wengine ni mapambo tu!!
 
Infropreneur karibu mkuu tupe mawazo yako, ni kifo cha kawaida kwa hawa wanafamilia au mambo ya imani yanaingia hapa?
Haya ni mambo ya imani.

Hayana tofauti na lile tukio la mchungaji Paul Mackenzie kule Msituni Shakahola aliye waaminisha waumini wake wafunge mpaka kufa wakamuone Yesu.

Faith hijacks the mind and gives it an illusion to stop thinking critically.

Huyo jamaa alichofanyiwa ni kuwa indoctrinated na kuwa brainwashed na mafundisho hayo yaliyoharibu uwezo wake wa kufikiri na hivyo kupelekea kutekeleza chochote mafundisho hayo yanavyo sema au jinsi anavyo amriwa na huyo mchungaji wake Ann Wanyoro.

Faith is the training of the mind to ignore facts, evidences, logic and reasoning.
 
Haya ni mambo ya imani.

Hayana tofauti na lile tukio la mchungaji Paul Mackenzie kule Msituni Shakahola aliye waaminisha waumini wake wafunge mpaka kufa wakamuone Yesu.

Faith hijacks the mind and gives it an illusion to stop thinking critically.

Huyo jamaa alichofanyiwa ni kuwa indoctrinated na kuwa brainwashed na mafundisho hayo yaliyoharibu uwezo wake wa kufikiri na hivyo kupelekea kutekeleza chochote mafundisho hayo yanavyo sema au jinsi anavyo amriwa na huyo mchungaji wake Ann Wanyoro.

Faith is the training of the mind to ignore facts, evidences, logic and reasoning.
Hiyo aya ya mwisho umeutoa ukweli mchungu mno aisee.
 
Hizi dini za mitume na manabii ni za kuwa nazo makini sana, Paul Magu alishindwa kumsikiliza hata mama ake mzazi aliyemtambulisha kwenye hiyo dini.

Inauma sana hasa kwa wazazi wake, ndugu na jamaa aliowaacha.

Ukipata mda soma kitabu kinaitwa Church Mafia kinaushuhuda mzuri lakini pia kinaelezea kiundani zaidi namna haya makanisa ya kileo ya manabii na mitume yanavyoangamiza jamii badala ya kuisaidia.
 
Kuna kibali cha pekee wanakuwaga nacho hawa mabwana.
Wanakuwa na nguvu za giza na wanazipata kwa ibilisi. Ni nguvu ya shetani inawaendelesha na wametoa nafsi zao kwa shetani kama wakristo wa kweli wanapotoa nafsi yao kwa Yesu. So tuwe makini na manabii wa mchango. Pia nabii anatakiwa kuwa chini ya mchungaji sasa leo hìi nabii anakuwa mwenyewe. Unless nabii huyo huyo awe ana huduma ya mchungaji hapo ndo mambo yatabalance. Lakini manabii vichupa, vibaba chumvi, keki upako, etc ni wahuni na mawakala wa ibilisi.
 
Hizi dini za mitume na manabii ni za kuwa nazo makini sana, Paul Magu alishindwa kumsikiliza hata mama ake mzazi aliyemtambulisha kwenye hiyo dini.

Inauma sana hasa kwa wazazi wake, ndugu na jamaa aliowaacha.

Ukipata mda soma kitabu kinaitwa Church Mafia kinaushuhuda mzuri lakini pia kinaelezea kiundani zaidi namna haya makanisa ya kileo ya manabii na mitume yanavyoangamiza jamii badala ya kuisaidia.
Nakipatia wapi hiki kitabu mkuu? Una hardcopy?
 
Wanakuwa na nguvu za giza na wanazipata kwa ibilisi. Ni nguvu ya shetani inawaendelesha na wametoa nafsi zao kwa shetani kama wakristo wa kweli wanapotoa nafsi yao kwa Yesu. So tuwe makini na manabii wa mchango. Pia nabii anatakiwa kuwa chini ya mchungaji sasa leo hìi nabii anakuwa mwenyewe. Unless nabii huyo huyo awe ana huduma ya mchungaji hapo ndo mambo yatabalance. Lakini manabii vichupa, vibaba chumvi, keki upako, etc ni wahuni na mawakala wa ibilisi.
Na kuna wale wanaotumia sadaka kutakasia pesa maana sadaka hazina regulation ya mapato. Huwezi sema zimetokea wapi? Hapa ndo unawakuta wakina Uebert na wenziwe.
 
Haya ni mambo ya imani.

Hayana tofauti na lile tukio la mchungaji Paul Mackenzie kule Msituni Shakahola aliye waaminisha waumini wake wafunge mpaka kufa wakamuone Yesu.

Faith hijacks the mind and gives it an illusion to stop thinking critically.

Huyo jamaa alichofanyiwa ni kuwa indoctrinated na kuwa brainwashed na mafundisho hayo yaliyoharibu uwezo wake wa kufikiri na hivyo kupelekea kutekeleza chochote mafundisho hayo yanavyo sema au jinsi anavyo amriwa na huyo mchungaji wake Ann Wanyoro.

Faith is the training of the mind to ignore facts, evidences, logic and reasoning.
Nakubali mzee, umejibu vyema sana kwamba kilichotokea kinaelezeka vyema hakuna cha uchawi wala nguvu za giza

mafundisho ya kitabu ndio yameleta matokeo yote, ubongo umevurugwa kwa hayo mafundisho na kusababisha disaster, hakuna cha shetani wala jini maimuna kamuingia kichwani
 
Back
Top Bottom