Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Nipo Arusha naomba kama kutakuwa na utaratibu wa kuweza kushiriki tupewe tushiriki
 
Marehem alifanikiwa kula maisha kiasi chake,mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
 
Hakuna haja ya ya kucomplain issue ndogo,naimani humu kuna watu wake wa karibu ambao watatuwakilisha msibani,cha muhimu picha zitatusaidia kututoa gizani
 
Jamani nini kinaendelea[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Duuh asalale! Mm tu nimeumia hiv sijui hao watoto wako katika hali gani sasa hiv. Mungu awatie nguvu
 
Hapana gily hapana bhanaaaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Yesu wangu jamani
 
Jessusssss[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]!!
Kifo chake kimetokana na mshtuko wa kifo cha mumewe??????[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]!
Eeehh Yesu wangu!!!!!
Mbona mnazidi kunichanganya jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Natamani iwe hivi kweli. Mana naumia aiseee
 
Sikuingia Jf ,nilikuwa naondoa tu notification mwanangu alikuwa amelazwa kafanyiwa op kwa hiyo nilikuwa namtizamia zaidi leo ndio nasema na mimi niingie Jf nisome yalojiri na kujua mdau anaendeleaje nakutana na habari kama hii dah
Pole sana natumaini afya ya kijana imeimarika,wewe kama mie tu mwanangu alikuwa anaumwa akalazwa kawekea drip hapo nishavurugwa na mwanangu presha juu Gily anatuma meseji kunipa habari ya msiba nilishtuka kama nimemwagiwa maji ya barafu nikatoka ward bila kujua na kwenda nje napigia Gily namwambia unatania hajafa akaniambia siwezi tania nikisikia uchungu nililia namwambia mume wangu yule rafiki yangu nilokuambia yuko ICU kafariki kwa kweli mpaka leo huwa siamini naona ipo siku nitaamka nione email yake au meseji au simu May His Soul Rest In Peace 🕊️
 
May his soul rest well.
Amenifanya mpaka nimejoin officially JF,siku zote nilikuwa naingia km guest.
Mungu awawezeshe watoto wasimamie kile baba yao alikiishi. UPENDO WA KWELI.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…