Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Updates: Tarehe 03 May 2023
Mwili wa ndugu yetu leadermoe utaletwa Arusha baada ya siku 21. His children wanted him to be sent to his agrarian at Rovaniemi first, after he was idolized there, then he will be brought to Tanzania for burial.

Nimezungumza na mtoto wa marehemu. Kanieleza kuwa baba yao ingawa aliandika story yake na kuweka taarifa zake za faragha jamvini hii inaweza kuwaathiri wanafamilia. Hata hivyo leadermoe hakutaka kutoa taarifa za wanafamilia zaidi ya taarifa zake. Hivyo kulinda faragha za wanafamilia basi taarifa zinazowahusu wanafamilia hazitajadiliwa hapa JF (zaidi ya taarifa zake marehemu).

Kwa wale wachache watakaohitaji kuhudhuria msiba huu. Basi kutakuwa na taratibu za kuandikisha ambazo zitatolewa na familia. Ndugu zangu naomba tuwe watulivu na wavumilivu huu ni msiba wetu wote nitawajulisha zaidi kadri familia itakavyopanga.

Wenu, Gilbert. .
Nipo Arusha naomba kama kutakuwa na utaratibu wa kuweza kushiriki tupewe tushiriki
 
Part Fourteen A: Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

[emoji253]As you know, all flowers depend upon bees to pollinate.

Sweden 2012 - 2015

Flashback

Ikiwa imebaki miezi miwili visa yangu iishe, nikiwa nafanya taratibu wa kurudi Tanzania nikasimamie biashara zangu. Yakatoka majina ya watu wanaohamishwa, na langu likawepo.

Pale kwetu yalitoka majina mawili, wote tukahamishiwa Sweden, kuna watu walitoka Sweden wakaja Ujerumani. Tulibadilishwa tu vituo vya kazi.

Niliamua nirudi kwanza Tanzania, kuangalia biashara inaendeleaje. Muda wote huo Rose alikuwaa anakuja kila baada ya miezi mitatu. Sikutaka kurudi, nilitaka na yeye apate nafasi ya kusafiri mara kwa mara.

Flashforward.

* **
Nilihakikisha baada ya kusoma barua ya Isabella, nikazichukua hizo chupi zake, nikaziflash chooni, baada ya kunusa harufu yake kama alivyotamani. Ile ya jana yake hakuwa ameifua, ilikuwa na harufu ya uchi wake kabisa.

Nilichukua ile barua nikai scan, kisha nikaiweka kwenye email yangu, ile karasasi nikaflash. Lengo hapa nilitaka kujiepusha na cha ukorofi Violet, yeye akija anakagua mpaka mifuko ya nguo zilizokabatini. Ana wivu wa ajabu sana dada wa watu.

** **
Nilikuja kujua sababu ya mimi na mwenzangu wa kike kuhamishwa siku ya kutuaga. Aliekuwa boss wetu ni mwanamke, alikuwa anatembea na supervisor wetu. Huyu mwanamke ameolewa na supervisor kaoa pia. Nilikua nakutana nao mara kwa mara Sehemu za starehe, mume wa yule boss alikuwa anafanya kazi ya serikali mji mwingine, muda mwingi mkewe yuko peke yake.

Baada ya mimi kujua ni wapenzi, walianza kujishtukia maana hawakutaka watu wajue pale ofisini, kumbe supervisor anamla receptionist wa boss pamoja na boss mwenyewe. Katika harakati zao, yule receptionist akafuma awasiliano ya supervisor na boss, akakiwasha kwa supervisor.

Boss akakuta ugonvi, akamuita supervisor kujieleza, supervisor akasema kuna habari za uongo zimesambaa ofisini kuwa anatoka na boss. Mleta habari hajulikani, ikabidi moja kwa moja wajue ni mimi, kwa vile nafahamu na nimewakuta mara nyingi.

Boss akaona bora niondoke chini yake (hana uwezo wa kunifukuza, lazima atoe sababu na ushahidi kwa wakubwa wake.) Akaona bora atuombee kubadili kituo cha kazi kwa sababu anazojua yeye. Hatiame tukahama, akabaki na supervisor wake, na siri yao.


** ** ** **

Nilipofika Tanzania,nilikuta biashara inaendelea vizuri, Rosemary alikuwa msimamizi mzuri sana. Aliwamudu watu wake. Niliamua kuwapa shemaji zangu ajira ya kudumu, yule wa tours akaenda Mweka kuongeza ujuzi upande huo, akawa boss kamili akichukua nafasi yangu.

Nilinunua land cruiser nne kwa ajili ya wageni, na min bus moja. Bishara ilikuwa imechangamka, nikaamua kuiongezea thamani, Violet alinunua mbili na mimi mbili na min bus.

Yule wa biashara ya maduka, akawa msimamizi wa maduka yote na ule mgahawa, baadhi ya maamuzi anafanya yeye, akishindwa ndio anamjulisha dada yake.

Nilimweleza Rosemary kuwa nina mkataba mwingine wa kwenda kufanya kazi Sweden. Mikaomba ruhusa yake kama anaridhi. Hakuwa na neno, nae alishanogewa na safari.

Rosemary: "Nakuruhusu nenda mume wangu, huu ndio wakati wa kuiandalia familia yako maisha mazuri kabla hujazeeka."

Edson: "Asante sana mke wangu, ndio maana nakupenda sana, ni mwelewa."

Baada ya mapumziko ya mwisho wa mwaka, nilianza mipango ya safari ya kwenda kusaka pesa. Nilitakiwa kwenda mji wa malmo uko kusini mwa sweden.

Nikatafuta hotel nzuri hapo malmo, nikapata Elite hotel, Ilikuwa jirani na ofisi nitakayofanyia kazi.

Baada ya kukamilisha taratibu zote, hatimae nilienda kigamboni kumuaga kaka na familia yake.

Edwin: "Karibu sana baba mfini."

Edson: "Duuu mmenibatiza jina jipya sio baba mngoni tena."

Edwin: "Ha ha haaaa, hulipendi?"

Edson: "Mimi ni nani hata nichukie jina la kupewa na kaka."

Edwin: "Yule mzungu ni hatari sana, shemeji yangu akilegeza kamba atanyang'anywa."

Edson: "Haitawezekana bro, Rosemary ndie mmiliki halali, Mfini ni mpangaji tu."

Edith: "Karibu shemeji langu, roho yangu."

Edson: "Mmmmmh usiniponze huyu jamaa hakosi bastola."

Tukacheka wote, brother akainuka kutaka kwenda chumbani huku anacheka

Edson: "Si unaona sasa, ameshapata wivu tayari"

Edith: "Acha asuse, niko na baba Purple hapa, tutaenda zetu ufin, abaki na hiyo bastola yake."

Edwin: "Kwa hiyo penzi limehamia kwa baba mfini ha ha haaaaa, nitaleta mjapana hapa."

Kaka aliongea na kufunga mlango

Edson "Shikamoo shemeji yangu, nimekumisi sana."

Edith: "Marahaba mume, tena usiku tulikuongelea na kaka yako, kumbe na wewe umeamua kuja."

Edson: "kumbe niliongelewa, basi nina maisha marefu sana."

Edith: " hakika,ulee wajukuu kwanza."

Tulipiga soga, kaka akajiunga pia, mchana tukala chakula pamoja, kisha nikaawaga ili nikajiandae na safari.

Edson: Nilisikia Catherine yuko Namibia, kuna siku alinitafuta."

Edith: " alipata nafasi ya kuajiliwa huko, lengo letu maishani ni pesa ili zitusaidie kuendesha maisha yetu. Walimpa ofa nzuri kuliko hapa, akachagua huko. "

Edson:" visuri, kikubwa ni kupambana tukiwa bado na nguvu.

Edith: " Mwanao Careen yeye alipenda gwanda za baba yake, yuko hapo ngome.

Edson:" Sasa itabidi Charles aende ujerumani, nina rafiki yangu kule, nilimuomba anitafutie nafasi kwa ajili yake. Amepata nafasi kwenye kampuni ya vipodozi, ila malipo ni mazuri sana kwa vile ni kampuni kubwa na huyo rafiki yangu ana cheo pale."

Edith : " Asante sana mume, mwanao atafurahi sana, toka amemaliza chuo anafanya tu na NGO's ila hataki kubaki hapa nchini. "

Edson:" Caressa naondoka nae, Violet amemtafutia nafasi, atakuwa chini ya uangalizi wake kwa kuwa ni binti mdogo bado."

* *

Malmo is a seaside town of southern Sweden. It is located at the east end of the Oresund Bridge, along highway and rail bridge that leads to Copenhagen, Denmark..

Then I booked the hotel, it is called Elite Hotel Savoy, this hotel is situated in a historic building, directly opposite Malmö Central Station and the airport bus stop. Free Wi-Fi, a sauna and a buffet breakfast are provided.

Nilichagua Superior Double Room, kutoka kwenye category zao, kilijumuisha ukubwa wa 15 m², a large double bed, City view, Inner courtyard view, Ensuite bathroom, Flat-screen TV, Tea/Coffee maker, Electric kettle, Iron Free and WiFi.

Maisha ya Sweden hayakua ya uhuru sana kwangu kama ilivyokuwa ujerumani, Violet alitumia vyema nafasi ya kuwa karibu nae, ni mwendo wa masaa 7 tu kutoka Rovaniemi mpaka Malmo. Akawa anakuja mara kwa mara, Ijumaa anaondoka jumatatu, weekend yote ananifungia room nisiwaone wa Swedish.

{The distance between Malmo and Rovaniemi is 1385 km, the best way to get from Rovaniemi to Malmo is to fly which takes 7h 8m.}

Pia na mimi nilitumia huo Ukaribu kutengeneza bond na vijana wangu, tukawa tunapeana zamu na Purple, anakuja Malmo na mimi naende Rovaniemi kuongea na vijana.

** ** **
Hapo kazini nilikutana na binti mmoja mzuri sana, alikuwa ni receptionist wa boss wetu, alikuwa mcheshi sana.

{Kila mwanamke ni mzuri, lakini wapo wazuri zaidi, kasoro pekee unayoweza mtoa labda ni tabia na mengineyo ya sirini, lakini mwonekano, unaweza kumeza mate mpaka ushibe. }

Tukawa na mazoea ya kawaida tu, ile kama co-workers, alikuwa na tabia ya kuniangalia sana kwa kuibia sehemu ya tango harafu ana tabasamu yanaisha, nilianza kumsoma ila sikutaka kuendekeza uhuni, isitoshe kwa uzuri wake lazima ana mtu, nisije pata matatizo bure nikiwa bado mgeni wa mji.

Baada ya kugundua najua kuwa anainiangalia tango, na hakuona kama kuna reaction yoyote kutoka kwangu, siku moja akanipa note tukiwa tunatoka.

** **
Hello handsome.

Why don't you appreciate the town's flowers?
As you know, all flowers depend upon bees to pollinate.

Have a wonderful time.

Livia

** **

Nilisoma ule ujumbe, nikajua ni uchokozi unaanza, maana mimi sikuwa napatikana weekends kwa vile nafungiwa room na Purple. Nikaamua kujifanya mshamba, asie na makuu wala maajabu, kumbe Livia amevutiwa na mwinuko wa cadet maeneo ya zipu.

{ Sijui wadada wana enjoy nini kuangali eneo la zipu, ila na sisi macho ni kwenye chuchu na kalio, acha kila mmoja ashinde mechi zake. }

I always like to wear a classic look while I'm at the office. More precisely, in an office, a business meeting, or in any official presentation, I prefer to wear a classic style. Examples include simple trousers, and shirts.

I also like the laid-back style when I'm in the street. In fact, when I wear something that has no specific design, but is cosy to wear even for long hours, it is known as "casual style for me. Since then, it doesn't have a specific combination, design, or colour; therefore, I prefer wearing at home, walking, shopping, or while doing this unofficial job,

Nilikuwa mpenzi wa perfumes, napenda kunukia, napenda kuwa smart, chaguo langu la kwanza ni Acqua di Gio Pour Homme for men. Longevity is also strong with it lasting about 6 hours. Hapa Purple hataki kusikia harufu nyingine, mpaka aipende yeye ndipo niruhusiwe kutumia.

Chaguo la pili nikiichoka hiyo ya kwanza, aliniruhusu Bleu de Chanel. is described as a woody aromatic fragrance, which is identified by the combination of "aromatic herbs" and an "opulent center and base."

Pia Aventus Creed Eau De Parfum Spray iko poa sana. .

Kwa kweli nilipokuwa Sweden, nilijitambua zaidi, niliamua kufanya anachopenda Rosemary na Purple ili nisiwakwaze, nimeshakula raha sana sasa napunguza ili niangalie familia na wapendwa wangu. Pi sababu ya pili ni watoto wamekuwa wakubwa, hawatakiwi kuona ugonvi na mama zao, wala tabia mbaya. Ni wakati wa kujichunga zaidi.

Sikuwa hata na muda wa kununua nguo, Violet alihakikisha kila akiona nguo nimeivaa sana, ana replace, hataki mpaka ianze kupauka. Alikuwa anapenda sana cheni, ila zikanishinda, sio mpenzi wa mapambo. I am simple, intelligent, my jewels are watch, belt, ring and spectacles..

Katika mazingira hayo, Livia akanizimikia sana, ila sikumpa nafasi ya mazoea hayo. Mara kadhaa alinialika club na kwenye live bands, stand up comedy nk, sikuwa natokea, nilimwambia weekends nakuwa Finland akajua namtania tu.

Akazidisha mitego, kiasi flani nilishawazoea wanawake warembo , lakini nikashindwa kumzoea Livia, alikuwa mzuri sana yule dada. Hatimae baada ya mitego mingi, akagundua uzaifu wangu, akautumia vizuri. Nilipenda sana kuangalia chuchu zake zilizochomoza juu ya Blauzi anazovaa, sikuwahi muona na bra.

Akaanza kuniongelesha kwa madeko, kama vile binti anajifunza kutamka maneno, akazidi nitesa, akagundua akifanya hivyo huwa naondoka haraka, maana mzee anashtuka na nimechomekea, nikaanza kumkwepa huku namwangalia kwa kuibia.

Akajiongeza akaomba awe ananipa lift tukitoka kazini mpaka hotel, kwa kuwa nilipata distinction masomo ya Cuba, nikamkubalia ila akawa ananishusha hotel tofauti na ninayokaa, akiondoka nachukua taxi kwenda hotelin kwangu.

Nilifanikiwa kumaliza miezi saba, bila kuingia mtegoni mwake, akanza ku lose confidence kwangu, nikaanza mtesa kihisia. Siku moja Ijumaa, akaniomba kama sitasafiri, anipe lunch, tupate na muda wa kufahamiana. Nikakubali, tukakutana Jumamosi.

Edson: "Are you married?"

Livia: "No, I'm single."

Edson: "Who are you staying with?"

Livia: "I'm staying with my parents, I'm not leaving before I get married.

Edson:" How old are you. "

Livia: "Stop asking too much, a woman doesn't like to be asked how old she is."

Edson: "Really, but why."

Livia: "There are men who love young women and there are others who love older women. Better not bother asking for a woman's age, you will only be deceived."

Edson: "Thanks for the advice, I didn't know this before.

Livia: "What country do you belong to?"

Edson: "Tanzanian, you know it, or have heard about it."

Livia: "No, I don't know, but one of my friends went to Serengeti, Kenya, and she said there were tall people there and they were wearing sheets."

Edson: "Ha ha hahahaaa, the Serengeti is not in Kenya, it is a park in Tanzania, and these people who wear linens are Masai."

Livia: "Really?"

Edson: "Indeed."

Edson: "But I do remember her telling me the Serengeti is in Kenya."

Edson: "Ask her for your benefit, but the truth is that in the land of Tanzania there is a park bordering the areas of Mara and Arusha called Serengeti. There are masai living with wildlife in Ngorongoro. If you don't believe me, get me a present and I'll take you on vacation.

Livia: "Ha ha ha, which present is suitable for you now pretty boy, I really want to see for myself because my friend says it is very nice. Are you a masai?."

Edson: "Right, or because I'm not wearing sheets like you heard?"

Livia: "She told me that the Maasai are black and tall, you have fair skin, that you are unlike them."

Edson: "You'll believe one day, prepare a gift for me and I'll fulfill the promise.

Livia:" Now, tell me what gift you want, otherwise I'll bring you a very nice flower, let it feel in your room all the time."

Edson: "Ha ha, so the bees come for pollination."

Livia: "By the way, you understood my mystery in that note, why haven't you responded to me yet?"

Hapa akabadili sauti, akawa anadeka, nikajua ameshaijua hiyo zawadi ninayoomba.

{ Kawaida yangu situmiagi nguvu kutongoza, nacheza na hisia na mazingira husika, maana sio mkali wa rhymes wakati wa kutongoza. Natongoza kama natania hivi, sijawahi kuwa serious kama vile naomba kazi}

Kutokama na vimazoe na mitego ya muda mrefu, nikampenda kweli huyu binti, hakuna majaribio katika kupenda, ukiuzoesha moyo utapenda tu.

Edson: "Look, Livia, I'm not staying at this hotel, I'm still lying to you, I live elsewhere, I did it because my wife is very rude."

Livia: "Do you have a wife? The woman is Swedish or Masai."

Edson: "Yes, I'm married, my wife is Finn, which is why I always go there."

Livia: "She's pretty, isn't she? Don't worry, I won't let her know me."

Edson: "Pretty as yourself."

Livia: "pick one."

Edson: "She's my wife, you're my friend, you're my pretty."

Akatabasamu, akanywa wine yake, nikawa nimemaliza kazi. Alianza kulimezea mate tango langu, na leo nimekubali aniletee ua ili nyuki wafanye uchavushaji, asali ipatikae.

Edson: "When will you give me this Livia flower?"

Livia : "When do you need it?"

Edson: "Even now, I am very interested in the perfume of the flower."

Livia: "Ha ha haaa, maybe tomorrow night, now I haven't bought yet."

Edson: "Okay, but tomorrow I have an appointment someplace, please, let's formalize this next Saturday, okay, Livia"

Livia: "Don't worry, keep your word, you have to take me to the Serengeti."

Tualiagana, na mrembo yule. Nikachukua taxi kurudi hotelini kwangu, akaenda kwa wazazi wake.

Kuanzia juamatatu mpaka ijumaa ya wiki ya ahadi, Livia alikuwa na furaha sana, akazidi kuliangalia tango langu, akawa anaacha sehemu kubwa ya kifua wazi akiniona, nikaendelea kumkwepa tukiwa kazini, alisababisha tango lisikae kwa kutulia, na huku tumechomekea.

Nilihakikisha namfanya Violet asisafiri, ilikuwa zamu yangu kwenda, nikamjulisha usiku wa ijumaa kuwa sitaenda nina dharura kazini, akaelewa. Lengo langu nipate wakati mtulivu na Livia


** ** **
Jumamosi mapema nikaenda kuchukua hotel mtaa wa tatu, sikutaka ajue ninakaa wapi, sikutaka akutane na Purple.

Kabla ya muda wa lunch, Livia akanitafuta, nikampa location, akashtuka na kuikataa, akasema niende hotel nyingine akanitajia. Sikujua sababu ya yeye kushtuka na kuikataa hiyo, nikaona sio kesi, kama nilipoteza hela za wiki nzima ujerumani na sikukaa hapo hotelini, sembuse huyu ni siku moja. Nikaondoka.

Nilipofika kwenye hiyo hotel, nikakuta ujumbe wangu mapokezi, niende chumba flani. Kufika nikamkuta Livia ananisubiri, tukasalimiana na kukumbatiana, kisha chakula kikaletwa tukala, maongezi yakaanza huku tunakunywa wine isiyo na kilevi.

Edson: "What made you reject the hotel?"

Livia: "I don't love it, they lack good service."

Edson: "You slept in it before."

Livia: "No, I was getting a room for my friend, they were giving him a hard time, I hated it."

Edson: "Sorry. I thought it was an excellent hotel."

Livia: "Thank you, what you said to your wife till she gave you permission."

Edson: "She's not here today, she went to Finland last morning to take care of the kids."

Livia: "Today we're enjoying ourselves."

Edson: "Indeed."

** **


View attachment 2595979View attachment 2595980View attachment 2595983View attachment 2595981View attachment 2595982
Marehem alifanikiwa kula maisha kiasi chake,mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
 
Anayoyaongea nshomile kama ni ya kweli basi tutafurahi kwa muhusika bado yuko hi,lakini vile vile atakuwa ametupatia funzo jipya..

Ila kwa upande mwingine hata kama ni kwel staged wewe umepungukiwa nini? Hajakuomba mchango,hajakutapeli kwani kakukosea mini?

Ni vyema kuwaza nje ya box lakini hakuna ubaya kuendelea na mdundo uliopo kundini kwani,kwani hakuna madhara kwako,wala kwa muhusika

R.I.P kamanda hakika umevipigana vyema
Hakuna haja ya ya kucomplain issue ndogo,naimani humu kuna watu wake wa karibu ambao watatuwakilisha msibani,cha muhimu picha zitatusaidia kututoa gizani
 
Duuh asalale! Mm tu nimeumia hiv sijui hao watoto wako katika hali gani sasa hiv. Mungu awatie nguvu
 
Our friend Mr leadermoe left us [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hapana gily hapana bhanaaaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Yesu wangu jamani
 
Jessusssss[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]!!
Kifo chake kimetokana na mshtuko wa kifo cha mumewe??????[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]!
Eeehh Yesu wangu!!!!!
Mbona mnazidi kunichanganya jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Daaah, samahanini wanajukwaa....ila nimesoma kisa alichokua anaandika nimekuja kukutana na habari za umauti wake. Naomba nitoe maoni yangu, na kama yuko atakayekwazika anisamehe. Kifo kinauma sana tena sana wala hakijawahi kuzoeleka. Ila....hakuna aliyefariki hapa...my guts tells me so. Narudia tena....naamini hajafariki.
Natamani iwe hivi kweli. Mana naumia aiseee
 
Sikuingia Jf ,nilikuwa naondoa tu notification mwanangu alikuwa amelazwa kafanyiwa op kwa hiyo nilikuwa namtizamia zaidi leo ndio nasema na mimi niingie Jf nisome yalojiri na kujua mdau anaendeleaje nakutana na habari kama hii dah
Pole sana natumaini afya ya kijana imeimarika,wewe kama mie tu mwanangu alikuwa anaumwa akalazwa kawekea drip hapo nishavurugwa na mwanangu presha juu Gily anatuma meseji kunipa habari ya msiba nilishtuka kama nimemwagiwa maji ya barafu nikatoka ward bila kujua na kwenda nje napigia Gily namwambia unatania hajafa akaniambia siwezi tania nikisikia uchungu nililia namwambia mume wangu yule rafiki yangu nilokuambia yuko ICU kafariki kwa kweli mpaka leo huwa siamini naona ipo siku nitaamka nione email yake au meseji au simu May His Soul Rest In Peace 🕊️
 
May his soul rest well.
Amenifanya mpaka nimejoin officially JF,siku zote nilikuwa naingia km guest.
Mungu awawezeshe watoto wasimamie kile baba yao alikiishi. UPENDO WA KWELI.
 
Pole sana natumaini afya ya kijana imeimarika,wewe kama mie tu mwanangu alikuwa anaumwa akalazwa kawekea drip hapo nishavurugwa na mwanangu presha juu Gily anatuma meseji kunipa habari ya msiba nilishtuka kama nimemwagiwa maji ya barafu nikatoka ward bila kujua na kwenda nje napigia Gily namwambia unatania hajafa akaniambia siwezi tania nikisikia uchungu nililia namwambia mume wangu yule rafiki yangu nilokuambia yuko ICU kafariki kwa kweli mpaka leo huwa siamini naona ipo siku nitaamka nione email yake au meseji au simu May His Soul Rest In Peace [emoji2731]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom