Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nasikia hivyo pia ila pia wakiacha wameacha hawapendi kona kona wenye experience nao wataeleza kama ni kweliKweli Kabisa ni bahati tu ya mtu kama uvosema ilimuangukia mwamba mpaka kufikia kumtotolesha mapacha! Nasikia wazungu wana true love kweli kweli!! Akikupenda utaienjoy
Wazungu waliokiwepo huko ni ma albino😀Hakuna wazungu huko Kwani au
Wazungu wenye mioyo dizainn ya Mr Collins walishakufa kwenye Corona 😄!
Yeah!Nasikia hivyo pia ila pia wakiacha wameacha hawapendi kona kona wenye experience nao wataeleza kama ni kweli
Albino tena lol ! Nasikia hao mnawatumia sana kwenye kusaka utajiri mnawakata sana viungo na kuwaua viumbe wawatu ☺️☺️Wazungu waliokiwepo huko ni ma albino😀
🤣🤣🤣🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🙌🙌🙌🙌! Wacha nimcheki thimbaaa kwanza cousin hukuKumtotolesha? Seriously?
Mzungu ni binadamu kama mwafrika tu.Nasikia hivyo pia ila pia wakiacha wameacha hawapendi kona kona wenye experience nao wataeleza kama ni kweli
Karibu vip A hapa. 3-0[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]! Wacha nimcheki thimbaaa kwanza cousin huku
[emoji445]Mletee mdhunguuuuu [emoji443][emoji445][emoji1787]
Labda nnaokutana nao ni tofauti, watu weusi sisi ni ving'ang'anizi sanaMzungu ni binadamu kama mwafrika tu.
Kuacha na kutorudia tena ni tabia ya mtu.
Kila mtu hapendi kona kona kwenye mapenzi. Hata waafrika wapo akiacha ameacha.
Wapo wanasatimia ila kwa kweli acha nibaki na shida zangu tu😀😀😀Albino tena lol ! Nasikia hao mnawatumia sana kwenye kusaka utajiri mnawakata sana viungo na kuwaua viumbe wawatu ☺️☺️
Waafrika kona kona tunaziendekeza wenyew ausio Half american ???Mzungu ni binadamu kama mwafrika tu.
Kuacha na kutorudia tena ni tabia ya mtu.
Kila mtu hapendi kona kona kwenye mapenzi. Hata waafrika wapo akiacha ameacha.
Ngoja tuone cuzoo boli 90'🙇🙇Karibu vip A hapa. 3-0
Vaa wigi mkuu usokote[emoji1787][emoji1787]Wapo wanasatimia ila kwa kweli acha nibaki na shida zangu tu[emoji3][emoji3][emoji3]
Ila kuna mshikaji alinambia nilivyo white nikiweka rasta tu nizunguke Beach huko nitapata bibi la kidhungu[emoji3] tatizo huwezi weka easta na kiuwaraza[emoji1787][emoji1787]
Mpaka mtu akuloge ndio umuache au mpaka muwe maadui kabisa ndio mtu anaona sasa yupo tayari kumove onWaafrika kona kona tunaziendekeza wenyew ausio Half american ???
Mtu mmeachana anakutafuta unamuendekeza🤣🤣🤣😂😂😂
Wee kumbe 🤔🤔!!Hapana mkuu. Hata wazungu wapo ving'ang'anizi trust me.
Ngoja niamini hivyo mkuuHapana mkuu. Hata wazungu wapo ving'ang'anizi trust me.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mazuri uwiiiii!!!Mpaka mtu akuloge ndio umuache au mpaka muwe maadui kabisa ndio mtu anaona sasa yupo tayari kumove on
Wee kumbe ngoma droo doh!Wahuni sana. Nenda clubs zao uone, waafrika tuna aibu mkuu[emoji3]