Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ila naamini ni kwa asilimia ndogo sana sio kama sie wabongo!!Ngoja niamini hivyo mkuu
Fanya unikonektie mmoko nitoe nukse miei walai 😂☺️!! Ila awe mzungu black🤣!Sema wako free sana, wengi wao hawapendi kuzinguliwa
Unajishusha sana mkuu. Tofauti iliyopo ni kipato. Umasikini unasababisha tuwe ving'ang'anizi. Wale wana pesa ndio maana hawapendi kuzinguliwa.Hata kama ila naamini ni kwa asilimia ndogo sana sio kama sie wabongo!!
Kukumbuka shopping 🤣🤣🤣🤣! Asee mi niko tofauti sana nadhani yani eti mwanaume uninyanyase kisa una pesa aloooooo nakuacha na pesa zako vilevileee yanii huwa nakubali sana na kujiamini nahuu umasikini Sipendagi sarau za pesa kabisaaa!!Unajishusha sana mkuu. Tofauti iliyopo ni kipato. Umasikini unasababisha tuwe ving'ang'anizi. Wale wana pesa ndio maana hawapendi kuzinguliwa.
Ikizingua anaondoka maana pesa ipo ila sisi hata ule kipigo ukakumbuka ka shopping flani, unasamehe bila kuombwa.
Eendiwoooooooo cousin !☺️!!Mzungu black[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ndio uzungu huo mama.Kukumbuka shopping [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Asee mi niko tofauti sana nadhani yani eti uninyanyase kisa una pesa alooo nakuacha na pesa zako vilevileee yanii huwa nakubali sana na kujiamini nahuu umasikini Sipendagi sarau za pesa kabisaaa!!
Yaniii Sipendagi dharau za rejareja kabisa cousin!! Sasa mwingine anadhani anavokupa pesa na kukuhudumia ndio utamshobokeaaaa anajizima data waziwaziiii umchekee tu never!!Ndio uzungu huo mama.
Wametuzidi vingi hata hilo pia.Hata kama ila naamini ni kwa asilimia ndogo sana sio kama sie wabongo!!
Cheka tu maana hakuna namna🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mazuri uwiiiii!!!
Kabisa mkuu acha nitanue mapafu mara moja moja!Cheka tu maana hakuna namna
😂 mwenye ndoa ndie muasisi wa kampeni za kataa ndoa.Kabisa mkuu acha nitanue mapafu mara moja moja!
kiuwarazaaa 😄!Wapo wanasatimia ila kwa kweli acha nibaki na shida zangu tu😀😀😀
Ila kuna mshikaji alinambia nilivyo white nikiweka rasta tu nizunguke Beach huko nitapata bibi la kidhungu😀 tatizo huwezi weka easta na kiuwaraza🤣🤣
Wee kumbe !!?? Hatare sana !! Ila ndoa tamu bana shetani asipoingilia kati utanenepaa tuu kwaraha zakoo😂 mwenye ndoa ndie muasisi wa kampeni za kataa ndoa.
Sure cousinLove is blind
Shetani tunamsingizia tu, ni mtu mwenyewe kufanya ya ushetaniWee kumbe !!?? Hatare sana !! Ila ndoa tamu bana shetani asipoingilia kati utanenepaa tuu kwaraha zakoo