Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

[emoji38]na utavimbishwa kwel kwel
I tend to joke a lot when I am sad. .

Kuna msela huwa anakuja home kwangu ananisaidia kuosha vyombo vya kuku na kufanya usafi mazingira ya kuku. Pia hung'oa majani na kusafisha mazingifa. Aisee amepigwa sinza kafa na maiti iko Muhimbili. Miezi hii miwili hakuwa sawa kabisa anatukana ovyo aiseee baba John kichaa wangu nitakukumbuka Daima. .

Huko sinza nasikia kaenda kwa mtu kuanua nguo wamempiga wamemuua. Ila alivyokuwa anapanda kwenye defender alikuwa anaongea nadhani kafia polisi. Kaniomba sana kazi ila nilikuwa busy mke wangu yuko hospital. Mungu amlaze pema Peponi. .

Juzi jumanne nimetoka pia kumzika jirani aliyepigwa sinza na kufa kwa kuiba viatu. Ila huyu mfanyakazi wangu inanimate sana na jinsi miezi hii miwili nilivyomuasia aache kugombana na watu ila hakunisikia amekuwa mtu wa hasira na atakuwa amefanya ukorofi wakaendelea kumpiga. .

Just feeling out space. Wanadamu kweli maisha yetu ni hadithi. Tupende sana kusimuliwa vizuri. .
 
Leo umeamkaje? Bado una akili za jana😁😁👍👍 usiwe unakunywa mbege asubuhi. moneytalk Gily
 
Daah pole Gily ila alipigwa kwakutuhumiwa mwizi
 
Thank You ila hapo kwenye dawasa hapo[emoji39]
 
moneytalk
Anziia sehemu ya 28 jamaa kamwita mwenzake darling
 
Pole yake Rose, maskini tango linaliwa tu huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…