Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Nisameheni bure, mkasa mzima uko kwa lugha ya malkia, wakati mwingine nachoka kutafsiri maneno yote.

Huki mbele conversation nyingi ni Kiingereza, pia napunguza ukali wa maneno ya kiswahili.

Ila kama mnapenda Kiswahili tu, hakuna shida niambieni tu, ila mtakosa mengi sana kwa kiswahili.
Jombaa usijali wewe twanga ngeli, mbona ya kawaida ni vile sie tuliozoea kusoma machapisho kwa kiswahili ikifikia kwenye kibritishi kasi inapungua.

Kanyaga twende Chief wala usiwaze.
 
Jombaa usijali wewe twanga ngeli, mbona ya kawaida ni vile sie tuliozoea kusoma machapisho kwa kiswahili ikifikia kwenye kibritishi kasi inapungua.

Kanyaga twende Chief wala usiwaze.
Asante mkuu. 👍
 
Dada anajua kuhangaika huyu....nitapata wapi mkaka wa kunihonga niache kazi nifanye kazi ya kumpenda yeye tu[emoji2960][emoji2960]
Sio bongo hiii!!!

Maisha ya kuhongwa lazima udharauliwe inafika wakati mtu anakunyanyasa kiroho hadi kiakili kisa pesaaa!!
Acha niendelee kuwa masikini ila sio kudharauliwa asee!!
 
"Mkitaka mfurahie mapenzi, na dawasa ipatikane, hakikisha mwanamke anafika kileleni kabla hujaingia ndai, hapo anakuwa tayari yuko kwenye high level. Dawasa haiangalii tango wala karoti, maandalizi na juhudi ya mfunguliaji tu.}"

[emoji115]Kungwi nyakanga katika ubora wako

Naendelea kusoma [emoji144]
Kuna scene nasoma huku nimeshikilia kwenye zip kama naangalia X pro max, Antonnia wewe hua unakua nomo eti...

[emoji23][emoji23]
 
Aweee mapenzi ni matamu jaman ukimpata akupendae,leadermoe na rose mna maneno matamu yakuamsha hisia,,ila nawe baada ya maneno yote yale aliyokuambia rose na msamaha ukaomba bado tu hukuacha kucheat woiii[emoji114],,ila kupitia huu mkasa lazima nijue kithungu bana
[emoji519][emoji534][emoji534][emoji534]
 
Back
Top Bottom