Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The effect of dawasa seems to affect both girls, but let's reward you for representing the nation well....by the way am a big fan of Rosemary...she is busy minding her own business [emoji1786][emoji1786]Explain with vivid examples pls[emoji28][emoji28]
Dada anajua kuhangaika huyu....nitapata wapi mkaka wa kunihonga niache kazi nifanye kazi ya kumpenda yeye tu[emoji2960][emoji2960]love in the air[emoji175]!
Finally nimemaliza!!
Naona Viol anafanya kila kitu just for
the sake of love!!!!
Ishaisha hioooo!!! Ulijua kuwakamata sio kidogo!!Wewe huyo? Umalize ya leo? 🤯🤯🤯
Jombaa usijali wewe twanga ngeli, mbona ya kawaida ni vile sie tuliozoea kusoma machapisho kwa kiswahili ikifikia kwenye kibritishi kasi inapungua.Nisameheni bure, mkasa mzima uko kwa lugha ya malkia, wakati mwingine nachoka kutafsiri maneno yote.
Huki mbele conversation nyingi ni Kiingereza, pia napunguza ukali wa maneno ya kiswahili.
Ila kama mnapenda Kiswahili tu, hakuna shida niambieni tu, ila mtakosa mengi sana kwa kiswahili.
Sio bongo hiii!!!Dada anajua kuhangaika huyu....nitapata wapi mkaka wa kunihonga niache kazi nifanye kazi ya kumpenda yeye tu[emoji2960][emoji2960]
Kuna scene nasoma huku nimeshikilia kwenye zip kama naangalia X pro max, Antonnia wewe hua unakua nomo eti..."Mkitaka mfurahie mapenzi, na dawasa ipatikane, hakikisha mwanamke anafika kileleni kabla hujaingia ndai, hapo anakuwa tayari yuko kwenye high level. Dawasa haiangalii tango wala karoti, maandalizi na juhudi ya mfunguliaji tu.}"
[emoji115]Kungwi nyakanga katika ubora wako
Naendelea kusoma [emoji144]
Hamna mwache aweke vile vile ili stim zikozeSie wabongo bana uzungu usiwe mwingi!
Hapo kwenye pa scene za kushikilia zipu sasa akiandika kiswahili ndio itakua balaa nanusu!!Hamna mwache aweke vile vile ili stim zikoze
[emoji519][emoji534][emoji534][emoji534]Aweee mapenzi ni matamu jaman ukimpata akupendae,leadermoe na rose mna maneno matamu yakuamsha hisia,,ila nawe baada ya maneno yote yale aliyokuambia rose na msamaha ukaomba bado tu hukuacha kucheat woiii[emoji114],,ila kupitia huu mkasa lazima nijue kithungu bana
Dah[emoji238][emoji238]Ndio nataka nianze kuisoma hapaa nasikia ni ndefuuu balaaa afu full dawasaaa!!
Mwamba Ninoumaaaaa!!Dah[emoji238][emoji238]
goat kama goat 🐐😂!! Hivi ile yako ushaimaliza???Dah[emoji238][emoji238]