Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Jombaa usijali wewe twanga ngeli, mbona ya kawaida ni vile sie tuliozoea kusoma machapisho kwa kiswahili ikifikia kwenye kibritishi kasi inapungua.

Kanyaga twende Chief wala usiwaze.
 
Jombaa usijali wewe twanga ngeli, mbona ya kawaida ni vile sie tuliozoea kusoma machapisho kwa kiswahili ikifikia kwenye kibritishi kasi inapungua.

Kanyaga twende Chief wala usiwaze.
Asante mkuu. 👍
 
Dada anajua kuhangaika huyu....nitapata wapi mkaka wa kunihonga niache kazi nifanye kazi ya kumpenda yeye tu[emoji2960][emoji2960]
Sio bongo hiii!!!

Maisha ya kuhongwa lazima udharauliwe inafika wakati mtu anakunyanyasa kiroho hadi kiakili kisa pesaaa!!
Acha niendelee kuwa masikini ila sio kudharauliwa asee!!
 
Kuna scene nasoma huku nimeshikilia kwenye zip kama naangalia X pro max, Antonnia wewe hua unakua nomo eti...

[emoji23][emoji23]
 
[emoji519][emoji534][emoji534][emoji534]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…