Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Kituo kifuatacho ni mdada wa kijerumani..can't wait!
Mkuu leadermoe umetuwakilisha vyedi sana kimataifa.
Hapana mkuu, sijawakikisha nchi, ni mazara ya kuruka stage katika ukuaji hayo
Mwamba Ninoumaaaaa!!
Anazichakata kuliko kawaidaaa!!☺️😂! Mwanzo avosema ye ni mpole watu walikua wanamchukulia poaaa Alooooooohh
Hadi wewe?
 
Hapana mkuu, sijawakikisha nchi, ni mazara ya kuruka stage katika ukuaji hayo

Hadi wewe?
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🤭
 
Nimekuelewa sana kuwa unapunguza ukali wa maneno,iko poa sana,salute kwako
 
Mkuu naona unanitag kwa username tofauti ila hamna shaka kanyaga twende.

Halafu Antonnia alipokuwa ananukuu baadhi ya sehemu ndio kanishtua najiuliza huyu anazungumzia part gani?

Nimescrow ndio nakuta episode mpya muda wote nakomenti episode kabla ya hii [emoji28][emoji28]

Tag za JF miyeyusho.

Story nzuri, hongera kwa kumkazia Violet, ningekuwa mimi sidhani kama ningeweza.
 
Pole kwa kila kitu, karibu tena[emoji120]leadermoe
 
Duh! Hatari sana salute mkuu leadermoe
 
mkuu kweli songea unaijua vp boys form1 ulisoma mwaka gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…