Rose mzunguuuu...nimempenda bureee hataki kufa kwa preshaaa kama Violet....Ila Rosemary ni mwanamke mvumilivu sana Ana pepo yake yenye AC na free WI-FI
Ingekuwa sikukuu yetu ningekalika hii sikukuu ya yenyewe cuzoo...tuendelee kusubiri Maria ajifungue tutambe na sieKabesaa dearr fanya kunipasia mwaliko mmoja wee cuzoo akee Lidamoo jamanee!![emoji4]
Ana akili sana na utulivu...mwanaume kama bahari tu unamchugia coco Beach kumbe yupo kigamboniiiRose mzunguuuu...nimempenda bureee hataki kufa kwa preshaaa kama Violet....
Mwanaume hachungwiiii anajichunga mwenyewe Rose hataki ugomvi wa rejarejaaaa big up kwakee[emoji3577][emoji3577][emoji3577]!!
Boraa walaiii!!Nakupa mialiko mitatu ccy.
msiwe mkanakodoa sana, angalia kwa kuibia basi, sio unakodoa mpaka nahisi zip imeachia😂😂Umetisha sana binamu
Mtuno wa zip tunapima kujua ukubwa wa mua[emoji56]
Tunaangaliaga vingi hadi kidole cha kati tujue kabisa kabla hatujajichanganya
Kwenye perfume umenikosha sana udugu...mambo yangu hayo [emoji846][emoji846]
Mwanamke akikuamlia ni ngumu sana kumkwepa, hasa mnaeonana kila siku"Kutokama na vimazoe na mitego ya muda mrefu, nikampenda kweli huyu binti, hakuna majaribio katika kupenda, ukiuzoesha moyo utapenda tu."
Weee kumbe tusipochoka kuwatega mnaingia linee auweeehhh!!😊!
Uliwakaribisha Pasaka hao waislamu?🙂Nipate wapiii cuzooo 😁😁😂😂! Nipo nimedoda tuu hapaa ntajipeleka mwenyewe bila kuitwa mbona waislamu wasintanieee😁!
Ndoiivooo shougaaaaa ni kumwacha tuuuu awatembezeee runguu mpaka akili ziwakae sawaa !😊 Akichoka atatulia mwenyewe ! Nae ajingalie asizoezoe tu kila anaekuja mbele yakeAna akili sana na utulivu...mwanaume kama bahari tu unamchugia coco Beach kumbe yupo kigamboniii
Nishapasiwa mitatu toka kwa sis akee soon naenda kujiparaaa ndio midaaa hii!!Vuta subra, wakitoka msikitini watakucheki.
Kuna ambavyo havijifichi jamani ila wengine ht ukodoe vp huoni kitu flat kabisa hadi unatamani kumwambia hebu fungua nione [emoji1786]Umsiwe mkanakodoa sana, angalia kwa kuibia basi, sio unakodoa mpaka nahisi zip imeachia[emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Sasa mbona kama 50 kwa 50 inagoma kutokana na jibu lako."Nilifanikiwa kumaliza miezi saba, bila kuingia mtegoni mwake, akanza ku lose confidence kwangu, nikaanza mtesa kihisia. Siku moja Ijumaa, akaniomba kama sitasafiri, anipe lunch, tupate na muda wa kufahamiana. Nikakubali, tukakutana Jumamosi."
Ila hata kama ni hisia mwanamke kumuanza mwanaume binafsi naona haikuji haipendezi kabesssa... kabesaaa yanii kwanza atakunyanyasaaa kisisia mpaka ukomee
Raha ya mapenzi mwanaume akuanzee buanaa akupende yeyeee akutongozee yeyee umsumbueeee ucheze na hisiaa zakee kwanzaaa hadii akili imkae sawaaaa!!!
Kabisaa cousin hata awe mbali wanaume wa kuchomoa wawili kati ya miaaaa!Mwanamke akikuamlia ni ngumu sana kumkwepa, hasa mnaeonana kila siku
😂😂😂😂 Sasa mbona kama 50 kwa 50 inagoma kutokana na jibu lako."Nilifanikiwa kumaliza miezi saba, bila kuingia mtegoni mwake, akanza ku lose confidence kwangu, nikaanza mtesa kihisia. Siku moja Ijumaa, akaniomba kama sitasafiri, anipe lunch, tupate na muda wa kufahamiana. Nikakubali, tukakutana Jumamosi."
Ila hata kama ni hisia mwanamke kumuanza mwanaume binafsi naona haikuji haipendezi kabesssa... kabesaaa yanii kwanza atakunyanyasaaa kisisia mpaka ukomee
Raha ya mapenzi mwanaume akuanzee buanaa akupende yeyeee akutongozee yeyee umsumbueeee ucheze na hisiaa zakee kwanzaaa hadii akili imkae sawaaaa!!!
Kumbe mkikosa mwaliko mnavurugwa hivi daah😂😂😂Ingekuwa sikukuu yetu ningekalika hii sikukuu ya yenyewe cuzoo...tuendelee kusubiri Maria ajifungue tutambe na sie
Kwa nilipofikia binamu viatu vyake vinanitoshaa.....watoto anao, pesa ipo,safari za hapa na pale, rungu anapewa bila kubaniwa sasa stress za nini kingine kinachomsaidia huyu amesoma kwahyo yupo exposed kidogoVaa viatu vyake ulete ushuhuda hapa
Tena hao wazungu ndio kabisaaa akikutana na mbongo afu mwanamke uanze kumpenda atapatuliwaaaa mali zake mpaka akome!!!😂😂😂😂 Sasa mbona kama 50 kwa 50 inagoma kutokana na jibu lako.
Mwanamke wa kizungu anatongoza vizuri sana, tena ni wakali mistari balaa. Akipenda hasubiri
🤣😂😂😂😂😂😂😂! Hutaki stress kabisa ukipata hivo unatuliaaa tuliiiiii🤣🤣🤣😂😂!!Kwa nilipofikia binamu viatu vyake vinanitoshaa.....watoto anao, pesa ipo,safari za hapa na pale, rungu anapewa bila kubaniwa sasa stress za nini kingine kinachomsaidia huyu amesoma kwahyo yupo exposed kidogo
Halafu uzuri huyu binamu Lidamooo alikuwa anachepuka na watoto wa internationally unajua hasira za kuchitiwa halafu kamchepuko kenyewe unakuta ka hovyoo kanamiliki UTI tu ...sasa mchepuko wa binamu una mihela halafu pisi kali ya kwendaKabisaa cousin hata awe mbali wanaume wa kuchomoa wawili kati ya miaaaa!
Wanaume Kazi mnayo mbona!