Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Umetisha sana binamu


Mtuno wa zip tunapima kujua ukubwa wa mua[emoji56]
Tunaangaliaga vingi hadi kidole cha kati tujue kabisa kabla hatujajichanganya



Kwenye perfume umenikosha sana udugu...mambo yangu hayo [emoji846][emoji846]
msiwe mkanakodoa sana, angalia kwa kuibia basi, sio unakodoa mpaka nahisi zip imeachia😂😂
 
"Kutokama na vimazoe na mitego ya muda mrefu, nikampenda kweli huyu binti, hakuna majaribio katika kupenda, ukiuzoesha moyo utapenda tu."


Weee kumbe tusipochoka kuwatega mnaingia linee auweeehhh!!😊!
Mwanamke akikuamlia ni ngumu sana kumkwepa, hasa mnaeonana kila siku
 
Ana akili sana na utulivu...mwanaume kama bahari tu unamchugia coco Beach kumbe yupo kigamboniii
Ndoiivooo shougaaaaa ni kumwacha tuuuu awatembezeee runguu mpaka akili ziwakae sawaa !😊 Akichoka atatulia mwenyewe ! Nae ajingalie asizoezoe tu kila anaekuja mbele yake
kuna watu wanatembea na magonjwaaa yaoo ohooo!! !
 
"Nilifanikiwa kumaliza miezi saba, bila kuingia mtegoni mwake, akanza ku lose confidence kwangu, nikaanza mtesa kihisia. Siku moja Ijumaa, akaniomba kama sitasafiri, anipe lunch, tupate na muda wa kufahamiana. Nikakubali, tukakutana Jumamosi."


Ila hata kama ni hisia mwanamke kumuanza mwanaume binafsi naona haikuji haipendezi kabesssa... kabesaaa yanii kwanza atakunyanyasaaa kisisia mpaka ukomee

Raha ya mapenzi mwanaume akuanzee buanaa akupende yeyeee akutongozee yeyee umsumbueeee ucheze na hisiaa zakee kwanzaaa hadii akili imkae sawaaaa!!!
😂😂😂😂 Sasa mbona kama 50 kwa 50 inagoma kutokana na jibu lako.
Mwanamke wa kizungu anatongoza vizuri sana, tena ni wakali mistari balaa. Akipenda hasubiri
 
"Nilifanikiwa kumaliza miezi saba, bila kuingia mtegoni mwake, akanza ku lose confidence kwangu, nikaanza mtesa kihisia. Siku moja Ijumaa, akaniomba kama sitasafiri, anipe lunch, tupate na muda wa kufahamiana. Nikakubali, tukakutana Jumamosi."


Ila hata kama ni hisia mwanamke kumuanza mwanaume binafsi naona haikuji haipendezi kabesssa... kabesaaa yanii kwanza atakunyanyasaaa kisisia mpaka ukomee

Raha ya mapenzi mwanaume akuanzee buanaa akupende yeyeee akutongozee yeyee umsumbueeee ucheze na hisiaa zakee kwanzaaa hadii akili imkae sawaaaa!!!
😂😂😂😂 Sasa mbona kama 50 kwa 50 inagoma kutokana na jibu lako.
Mwanamke wa kizungu anatongoza vizuri sana, tena ni wakali mistari balaa. Akipenda hasubiri
Ingekuwa sikukuu yetu ningekalika hii sikukuu ya yenyewe cuzoo...tuendelee kusubiri Maria ajifungue tutambe na sie
Kumbe mkikosa mwaliko mnavurugwa hivi daah😂😂😂
 
😂😂😂😂 Sasa mbona kama 50 kwa 50 inagoma kutokana na jibu lako.
Mwanamke wa kizungu anatongoza vizuri sana, tena ni wakali mistari balaa. Akipenda hasubiri
Tena hao wazungu ndio kabisaaa akikutana na mbongo afu mwanamke uanze kumpenda atapatuliwaaaa mali zake mpaka akome!!!
 
Kwa nilipofikia binamu viatu vyake vinanitoshaa.....watoto anao, pesa ipo,safari za hapa na pale, rungu anapewa bila kubaniwa sasa stress za nini kingine kinachomsaidia huyu amesoma kwahyo yupo exposed kidogo
🤣😂😂😂😂😂😂😂! Hutaki stress kabisa ukipata hivo unatuliaaa tuliiiiii🤣🤣🤣😂😂!!
 
Kabisaa cousin hata awe mbali wanaume wa kuchomoa wawili kati ya miaaaa!

Wanaume Kazi mnayo mbona!
Halafu uzuri huyu binamu Lidamooo alikuwa anachepuka na watoto wa internationally unajua hasira za kuchitiwa halafu kamchepuko kenyewe unakuta ka hovyoo kanamiliki UTI tu ...sasa mchepuko wa binamu una mihela halafu pisi kali ya kwenda
 
Back
Top Bottom