Tuliiii.....chezea mchepuko ananihonga hela wewe[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Hutaki stress kabisa ukipata hivo unatuliaaa tuliiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]!!
Halafu uzuri huyu binamu Lidamooo alikuwa anachepuka na watoto wa internationally unajua hasira za kuchitiwa halafu kamchepuko kenyewe unakuta ka hovyoo kanamiliki UTI tu ...sasa mchepuko wa binamu una mihela halafu pisi kali ya kwenda
Mwaliko sijapata mie nipo nimejikunja hapa apeche alolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daaah, bora upate mwaliko kwa kweli
Ndio lazima uwe mpoleee ukizinguaa pisto hii hapaa hapana chezea mzunguu walai ππ!Tuliiii.....chezea mchepuko ananihonga hela wewe
π€£πKwa nilipofikia binamu viatu vyake vinanitoshaa.....watoto anao, pesa ipo,safari za hapa na pale, rungu anapewa bila kubaniwa sasa stress za nini kingine kinachomsaidia huyu amesoma kwahyo yupo exposed kidogo
ππππππππHalafu uzuri huyu binamu Lidamooo alikuwa anachepuka na watoto wa internationally unajua hasira za kuchitiwa halafu kamchepuko kenyewe unakuta ka hovyoo kanamiliki UTI tu ...sasa mchepuko wa binamu una mihela halafu pisi kali ya kwenda
Nasubiri atupe experience km aliwahi jaribu watoto wa kizulu maana wale ni sexmaniac [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaikumbuka story ya KhumbuWahivi ukichepuka naee anakupimaaa anakulingalinshajeeee make hakuna race asoitiaaa zote anajua size na radha zaooo hadi harufu za kei zaooo lol!!
Uzoefu kama wotre afu akukute mbugila mbugila upooo upoo tu kamie hapaa lol!!
Hio siikumbuki dear..inahuu nini??Ni ya nani??Nasubiri atupe experience km aliwahi jaribu watoto wa kizulu maana wale ni sexmaniac [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaikumbuka story ya Khumbu
Kwa experience tuu cousin yuko vizure!! Hata kamani uzee anaula vizureee kabesaaa hakuna kipya kwake!!Nasubiri atupe experience km aliwahi jaribu watoto wa kizulu maana wale ni sexmaniac [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaikumbuka story ya Khumbu
nimemtag mara nne kwenye story konki nashangaa kanunaπ’ nawaza nimemuudhi nini na mpaka anune nimemuudh kwel kwel.
Antonnia Jaman lunch time bado hukoo. ππ Wewe mtoto una hatari sana daahWahivi ukichepuka naee anakupimaaa anakulingalinshajeeee make hakuna race asoitiaaa zote anajua size na radha zaooo hadi harufu za kei zaooo lol!!
Uzoefu kama wotre afu akukute mbugila mbugila upooo upoo tu kamie hapaa lol!!
Ili nigundue nini mie cousin Sheeeeendwaaaaaaahh! Nikooo furuuuuuh!! Sihitaji ya kutolea ya mtyuuu miee nataka mwaliko wa pilauu la waislamu tyuuuu ya kutolea yeinyuu
Niliisomaga nadhani ilikuwa 2017 ilikuwa ya jamaa mmoja anaitwa konda msafi kama sikosei...ngoja nikiipata nitakusogezea linkHio siikumbuki dear..inahuu nini??Ni ya nani??
Ahaaa nimeikumbuka ile inahuu South Africa huko kama sikosei!!!Niliisomaga nadhani ilikuwa 2017 ilikuwa ya jamaa mmoja anaitwa konda msafi kama sikosei...ngoja nikiipata nitakusogezea link
Jamani nitag huko nikasome nisogeze sogeze muda maana sioni dalili ya mwaliko wa pilaunimemtag mara nne kwenye story konki nashangaa kanuna[emoji22] nawaza nimemuudhi nini na mpaka anune nimemuudh kwel kwel.