Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

🙂🙂🙂 nakushangaa wewe kupita kote huko huachi mbegu

Siku nikienda marekani najiunga na sperms bank 🏦 nataka niache mbegu za kutosha kujenga kijiji😬 I was born with big testicles kujaza dunia😀
😂😂😂😂 Daaah, mkuu kwa wenzetu ukizaa lazima utunze vinginevyo inakula kwako.
 
"Nilifanikiwa kumaliza miezi saba, bila kuingia mtegoni mwake, akanza ku lose confidence kwangu, nikaanza mtesa kihisia. Siku moja Ijumaa, akaniomba kama sitasafiri, anipe lunch, tupate na muda wa kufahamiana. Nikakubali, tukakutana Jumamosi."


Ila hata kama ni hisia mwanamke kumuanza mwanaume binafsi naona haikuji haipendezi kabesssa... kabesaaa yanii kwanza atakunyanyasaaa kisisia mpaka ukomee

Raha ya mapenzi mwanaume akuanzee buanaa akupende yeyeee akutongozee yeyee umsumbueeee ucheze na hisiaa zakee kwanzaaa hadii akili imkae sawaaaa!!!
Halafu akili ikimkaa sawa unamkuta kwa jirani.
 

Kumbe ni hii naifatilia hii swahiba nipo nayo tangu mwanzo...Asante swahiba
 
Back
Top Bottom