nikajua uko kwa vio broo ndo maana sikukualika,Eid kubwa uje pamoja na familia yoteDuuu acha uchoyo, nitaosha hata vyombo
Yaani ni tamu kishenzihii ni kama uko kwenye telenovela[emoji1]
naimudu wala usiwazeWewe utaweza timu ya mpira?? 9 people in da house.
Tuko poa sana ndugu yangu. Hapa namchekesha chekesha mke wangu anachekaaaa. Anasema mshono unauma niache kumchekesha🙂😀Daaah hongera sana mwamba,!! bila shaka mama, mtoto na baba manendelea vyema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee huwa naogopa wake za watu[emoji846]. leadermoe usikute moneytalk bwana wake yuko humu ukaniletea msala. Watoto wazuri wote ni mashemeji zangu[emoji51][emoji51][emoji51]
leadermoe leadermoe why? why?
View attachment 2596197
Wasiokutaka mpasie ndugu yetu leadermoe apashe misuli moto, kashozea ngozi nyororoooo za kifin...acha apambane na kina mwajeee ndala ndefu, sikujua, mwantumu, siwema etc.Tuko poa sana ndugu yangu. Hapa namchekesha chekesha mke wangu anachekaaaa. Anasema mshono unauma niache kumchekesha[emoji846][emoji3]
Ila hiki kibaridi ngoja akae sawa nikazurure unawez kuta unaweka mimba nyingine [emoji1787] alafu Nina kigundu mademu wanaonitaka siwataki na ninao wataka hawanitak
Nipe ushauri ndugu yangu.
View attachment 2596205
Asante sana leadermoe, na kwako pia mpendwa[emoji120]May Allah provide you with all that is best. May Allah fill everyone with his love. On this Eid, may Allah grant you and your family peace, harmony, pleasure, health and prosperity. Eid Mubarak to any soul that reads this.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wasiokutaka mpasie ndugu yetu leadermoe apashe misuli moto, kashozea ngozi nyororoooo za kifin...acha apambane na kina mwajeee ndala ndefu, sikujua, mwantumu, siwema etc.
Halafu akili ikimkaa sawa unamkuta kwa jirani.
Wasiokutaka mpasie ndugu yetu leadermoe apashe misuli moto, kashozea ngozi nyororoooo za kifin...acha apambane na kina mwajeee ndala ndefu, sikujua, mwantumu, siwema etc.
Minal Faidhinah deaaa!!!!!am here babe,Eid Mubarak
thnx babe [emoji8]Minal Faidhinah deaaa!!!!!
Enjoy the story![emoji3577]