Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Daaah hongera sana mwamba,!! bila shaka mama, mtoto na baba manendelea vyema.
Tuko poa sana ndugu yangu. Hapa namchekesha chekesha mke wangu anachekaaaa. Anasema mshono unauma niache kumchekesha🙂😀

Ila hiki kibaridi ngoja akae sawa nikazurure unawez kuta unaweka mimba nyingine 🤣 alafu Nina kigundu mademu wanaonitaka siwataki na ninao wataka hawanitak

Nipe ushauri ndugu yangu.
 
Wasiokutaka mpasie ndugu yetu leadermoe apashe misuli moto, kashozea ngozi nyororoooo za kifin...acha apambane na kina mwajeee ndala ndefu, sikujua, mwantumu, siwema etc.
 
Wasiokutaka mpasie ndugu yetu leadermoe apashe misuli moto, kashozea ngozi nyororoooo za kifin...acha apambane na kina mwajeee ndala ndefu, sikujua, mwantumu, siwema etc.

1. leadermoe anatakiwa ajue mademu wa kibongo hawana utelezi. Huku kuna joto sana utelezi unakauka😀

2 Anatakiw ajue akikutana na demu akamwambia amkune kwa juu. Basi kwa elimu yangu ya biology advance ajue kuwa hapo anapopakuna kuna fungus za kutosha asije kupiga deki

3 Ajue kuwa huku sasa wadada wa mjini habari kubwa ni kisamvu cha Kopo. Ila leadermoe anajiganya katika pita zake zote hajawahi kugusiwa kuhusu kisamvu cha kopo na mademu zake

Need I say more😬😬😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…