Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Part Seven H: I have to go away.

Nov, 1998

Kisha nikaenda kigamboni kumuaga my lovely brother na familia yake, sikumkuta nyumbani, nilimkuta shemeji yangu. Kaka alikuwa na watoto wanne. Catherine ,Careen, Charles na Caressa. Shemeji yangu anaitwa Edith.

Edson:" Shikamoo shemeji yangu"

Edith: " Marahaba mume wangu, karibu sana"

Edson: "Asante sana shem, mbona uko nyumbani muda huu, sio kawaida yako?"

Edith:"Leo nimeomba ruhusa, mwanao Careen anaumwa, nilimpeleka hospital ndio tumerudi sasa."

Edson: "oooh, pole sana shem, yuko wapi?"

Edith: " Amekunywa dawa, amelala, labda umwangalie kama hajasimzia, hapo chumbani kwake."

Edson: "Hakuna haja kumsumbua, acha alale nitamcheki nikitaka kuondoka, wengine."

Edith: "Wanao wako shule, kaka yako ameenda kazini ila ameasema ukija umsubiri atawahi kurudi."

Edson: " Sawa shemeji yangu, niliongea nae kwenye simu, acha tumsubiri".

Edith: " Karibu juice mme wangu, nilikubakishia ilitengenezwa jana." aliongea akiniwekea glass kwenye kitoto meza na jug la juice

Edson: "Asante shemeji yangu,ndio ulevi wangu huu."

Edith: "Umesha andaa mizigo?"

Edson: "Ndio, iko tayari, nasubiri tu kupepea ha ha haaa."

Edith: "Wewe tena, halafu nilisahau kukwambia zile picha nimeshaweka mambo sawa, maana bila hivyo ungezilipia kodi. Wangezani unaenda kuuza, na yale mashuka. Kuna mtu atakupokea pale airport.
Hutasumbuliwa , sawa mume."

Edson:" Daa, asante sana shemeji, nashukuru kwa upendo wako, maana sio kwa mipango hiyo mama. "

Edith:" Wewe nawe, Sasa nisipompenda mume nimpende nani tena, jipange tu nataka zawadi ya nguvu tu ukirudi. "

Edson:" Na nikizamia kabisa nisirudi?. "

Edith: "Subutu, kama mama hajakufata, asivyoweza kukaa mbali na wewe, sijui ukioa itakuwaje."

Edson: "Atazoea tu kulingana na mazingia."

Niliongea na shemeji yangu kwa mda kisha akenda kuandaa chakula cha mchana, shemeji yangu ni mkubwa sana kwangu, ila amezoea kuniita mume hata mbele ya kaka. Namheshimu sana na yeye analijua hilo. Anafanya kazi pale airport.

Mchana kaka alirudi, baada ya chakula aliniambia twende tukaongee na baba ili niwahi kurudi nyumbani kujiandaa.

Nilimpigia simu ya mezani Rosemary, bahati nzuri alikuwepo bado, nikamuomba anisaidie kufua yale mashuka ili yakauke mapema."
……….

Tulimpitia baba kazini kwake, tukaenda nyumbani kwake tabata bima, karibu na ' [emoji119]'. Mzee alikuwa amejenga nyumba ndogo tu maana hakuwa na plan ya kukaa dar aki retire, alisha jiaandalia Arusha, alikuwa amenunua shamba lingine maeneo ya 'njiro'.

Nilishuka nikafungua geti wakaingiza gari ndani, mzee hakuwa na gari la kutembele, alitumia la kazini. Sio kama hakuwa ma uwezo wa kununua, alikuwa nao ila hapendi 'show off'.

He enjoyed a simple but classic lifestyle.

Alipanga kununua gari mwezi mmoja kabla ya ku retire. Ila kaka yeye alikuwa na magari mawili, lake na la shemeji.

'Keep life profile low, be straightforward, be humble and stay out of trouble, enjoy life'……..

Mzee anaishi peke yake, kuna mdada wa kazi huja kumpikia na kufanya usafi,hakai hapo.

Tuliongea mengi, mzee litoa usia, wote tukashangaa, kumbe usilolijua ni kama usiku wa giza.

Mzee alimwambia kaka ni wakati wake kuongoza familia, ahakikishe ananiongoza vyema.

(kaka yetu mkubwa Edward alifariki nikiwa mwaka wa 2 chuoni. Walipelekwa kwa wakimbizi lubondo, wakiwa doria,boti yao ilizamishwa na majangiri waliokuwa wanawafukuza.

Walikuwa watu sita, ilipatika miili ya wawili tu wakiwa wametobolewa macho. Yeye na wenzake wanne wahakuoneka mpaka leo.Hakuwa na watoto)

Anthony: " Wanangu, nataka muishi kwa kupendana, mmebaki wawili tu, kaka yenu hatuane. Ni jukumu lako sasa Edwin kuongoza hii familia. Hamna ndugu upande wangu, kwa mama yenu wapo wachache, naomba msiwasahau hao ndio mlionao.

" Nilitamani kupata muongozo wa wazazi wangu, lakini mama alifariki nikiwa mdogo kabisa, baba aliuwawa nikiwa darasa la kwanza. Sikufaniwa kuishi nao."

"Nyinyi mna bahati mpaka sasa wazazi wenu wote wapo, jifunzeni mazuri mtafanikiwa mishani."

Alimwambia kaka kuhusu mali zake zote, mashamba ya kule kijiji 'X', nyumba za wapangaji sakina, nyumba yetu hapo sakina, shamba la njiro (hatukuwa tunalijua)na hapa tulipo.

Alimpatia kaka hati za hizo mali, kisha akaniambia

Anthony: "jukumu lako Edson ni kumtunza mama yenu , kwa vile hujaoa, hakikisha unaoa mke atakae kubali kumtunza mama yenu na mimi katika uzee wetu.
Tena ufanye haraka kuoa, ili niwaone wajukuu zangu na kunywa nao chai."

Edson: "Sawa baba nitafata maagizo yako."

Anthony: "Sipendi kuona migogoro kisa mali, hamkulelewa katika kuthamini vitu bali thamini utu. Sitaki kuwa hakimu wa kutatua migogoro baada ya kustafu."

Alinitakia safari njema niendako, nisijisahau, ni focus kutafuta mafanikio, ni practice nilichofundisha katika malezi yangu. Niheshimu kila mtu, Nisichoke kumuomba Mungu aniongoze.

Alinitemea mate kama ishara ya kunibariki, just as my mom did to me. And he did the same to my brother.

Niliahidi kumletea zawadi itakayompa company uzeeni, tuliondoka na brother akanipitisha kwangu, tukakubaliana kuja kunichukua mimi na baba kwa ajili ya kwenda airport kesho.

***
Nilimkuta Rosemary amesha nyosha nguo zote na kupanga kila kitu kwenye begi, tulipata tena muda wa kupitisha usiku ule tukiwa pamoja.
Edson: Asante sana mpenzi wangu, kwa kuniandalia mizigo.

Rosemary: " Usijali mpenzi, ni wajibu wangu."
Edson: "Nakupenda sana."

Rosemary: " Asante sana daddy, karibu chakula." alionge akiweka tray yenye sahani nuu yake ikiwa imefunikwa.

Edson: " Asante, leo umeandaa nini mama."
Rosemary: " siri yangu daddy."

Edson: " sawa, ngoja nikusaidie kuleta maji mpenzi. "

Rosemary: "Maji ya nini daddy."

Edson: "tutakula bila kunawa?."

Rosemary: "sitaki unawe, leo nakulisha mwenyewe, nihakikishe umeshiba vizuri, nikupe utamu wako usiku kucha."

Edson: "ndio umenipania hivyo?"

Rosemary: "usimalize nguvu kuongea, pokea hii"

aliongea skinilisha kipande cha rosti ya nyama na chapati. Kwa kweli sikuwahi kula chakula kibaya toka kwa mpenzi wangu, kungwi wake nampa heshima zote alifanya kazi. Rosemary yuko vizuri chumbani na jikoni.

Baada ya kula, nilipelekwa bafuni kuoga maji ya vuguvuvu yenye viungo,(mdarasini)

Nilikuta Rosemary ameweka stuli kule bafuni, nilisuguliwa na machicha ya nazi, alininyoa, kucha zote zilikatwa na kusuguliwa.

(hapendi nywele za chini, alikuwa ananyoa kila baada ya siku 3, hakupenda na mimi iwe nazo ndefu).
***
Tulirudi chumbani, nikawa kama mtoto naongozwa nini cha kufanya. (Mwanamke akipenda, hana kinyaa wala nini)

Rosemary alinipa kila aina ya ufundi anaojua, alitaka nimkumbuke huko niendako. Tangu nimefahamiana nae sikuwahi muona anajituma na ku enjoy kama siku ile. Hataki niongee full time anabembeleza yeye, analilia utamu, anaomba nisimuache, nk

(aliwahi nisimulia kuwa aliwekewa sindano chini, halafu yeye akiwa bila nguo anatakiwa azungushe kiuno hapo juu bila kushuka chini, akishuka anakalia sindano)

Kiuno lai feni inasubiri, Rosemary alinisisitiza nisimsahau, hataweza kuhimili hayo maumivu. Na mimi nikamuomba atunze uaminifu na upendo wetu.

Akiwa na shida akamuone kaka (nilimpa namba ya simu ya nyumbani kwa kaka). Kaka alikuwa anafahamu kuhusu Rosemary. Ndie alinishauri niachane na wale wahindi maana wazazi wakijua ninachofanya wataumia sana.

'Utanyimwa chakula tu, sio maneno, alipewa maneno na wale maaskari waliokuwa wananikuta beach' .

***
Kesho yake kaka alinipitia mapema, kisha tukampitia baba.

Tuliwahi Julius Nyerere International Airport. Rosemary alitamani sana kunisindikiza ila nilimuomba abaki maana sikuwa na jibu la kumwambia baba siku ile.

Pia bado sikuwa najua mstakabali wa penzi la Rosemary na Violet ndio maana sikutaka baba amuone Rosemary mapema. Japo kitendo hicho kilimuumiza sana Rosemary, ila sikuwa na option muda huo.

Song: You Need Love Like I Do (Don't You?)
Album: Greatest Hits
Released: 1970
Artist: Gladys Knight & the Pips
Genres: R&B/Soul, Classic Soul


Well, well, well, well
Seems like it was only yesterday
When my mama told me don't fall in love
With the first guy that comes your way

He was handsome and nice
But I took her advice and passed him by
Years have passed and don't look
Like love's gonna give me a second try

Boy the look on your face tells me you understand
Could it be your love life's like mine
Needs a helping hand well, well
You need love like I do (don't you).

Boy I can tell by the way
You look when I'm looking at you
I know it ain't fit and proper
For a girl to talk this way

But I can't cope with this loneliness
Not one more doggone day
Everyday has been an uphill climb
Keeping my hopes a-float

Judging from your silence boy
You must be in the same boat
Ain't it true now
You need love like I do (don't you)

Boy I can tell by the way you look
When I'm looking at you
Well, well, well you need love
Like I do (don't you)

Boy it seems like I'm looking in the mirror
When I'm looking at you
I can't begin to tell
The many nights I sit home lonely

Come on and tell me boy
Has it ever happened to you
Boy I'm gonna tell you something
And believe me it ain't no joke

My love life is just like a sinking boat
I can understand a person being without money
But there sho' ain't no reason
For a person to be without love

Listen to me now
I'm a girl and you're a guy
So come on let's give love a try
Tell me lil' boy

You need love like I do (don't you)
I can tell by the way you look
When I'm looking at you
Boy finding true love is a dream

That everyone wants to come true
Boy can't you see it's up to us
To make this dream come true oh.

******'**

Next

Part Seven I: Tervetuloa Helsinkiin.
🫂welcome to Helsinki.
View attachment 2560601View attachment 2560603View attachment 2560604View attachment 2560605
"Keep life profile low, be straightforward, be humble and stay out of trouble, enjoy life "

Ujumbe murua kabisa asante chief.

Nasemajeee JF ina watu na Mungu aendelee kuutunza huu mtandao na waja wake kama leadermoe
 
Hongera sana boss kwa story nzuri yenye ujumbe mahususi kwa watu wote. Nimekumbuka miaka mingi imepita,nilipendwa na binti mmoja nikiwa masomoni nyanda za juu,yule mwanamke alikuwa haambilikii,sijui aliona nini kwangu! Sema bahati mbaya sanaa miaka ile nilikuwa nina misimamo kama "Putin",sichanganyi mapenzi na shule. Aliangaika na mimi miaka 2 yote bila kuchoka,kadi na barua zake za uhitaji wa pendo langu kila baada ya wiki hazikukoma. Sio kwamba sikumpenda,sema nililinda sanaa kiapo changu moyoni(kuna wakati mapenzi yanakuja wakati usio sahihi).
Bado dunia ina wanawake wazuri,wema,wachakalikaji na wenye hofu ya Mungu.
Vijana wasikate tamaa haya mambo ya kataa ndoa,yatatuletea kizazi kibovu sanaa tuendako.
Hizi mambo za kataa ndoa ni roho farakanishi zinazolenga kubomoa taasisi ya ndoa infact ni kinyume na maagizo ya Mungu

Ukisoma biblia Mith 18:22 "Apatae mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali mbele za Bwana".

Hizi harakati za kataa ndoa mlolongo ni uleule wa kwenda kinyume na maagizo ya muumba.
 
Part Seven I: Tervetuloa Helsinkiin.
(welcome to Helsinki).


Nov 1998

Ilikuwa safari yangu ya kwanza kupanda ndege kwenda nje ya ya Tanzania. Tulifika mapema kabisa pale airport, tuliongea sana ikiwemo uzoefu wa kupanda ndege aliokuwa ananipa kaka Edwin, maaan ndio alikuwa amerudi kutoka Marekani alikoenda kufanya kozi kuhusu mambo ya navy. Baba yeye alikuwa mtulivu tu siku hiyo, aliendelea kutusikiliza.

Muda wa ku check in ulipofika tukaagana, kuna dada alikuja (mfanyakazi mwenzake shemeji, nilishapewa taarifa hiyo) alini elekeza sehemu ya kwenda, nilifanikiwa kupita na mzigo wangu bila usumbufu wowote.

Shemeji alishasafisha njia. Baada ya ukaguzi hatimaye nikakanyaga ngazi kwenda ndani ya ndege ile. Goodbye Tanzania.

hatimaye tangazo la kufunga mkanda likafata, bada ya muda safari ikaanza. Nilikaa na babu mmoja wa kizungu, alishukia Ankara.

"Flight attendants, prepare for take-off please.”
“Cabin crew, please take your seats for take-off."

hatimaye tukaiacha ardhi ya asili yangu. Kuna moments unapitia kwenye hilo tukio, sikujua ile ni huzuni, hofu au furaha.
……
Ankara Esenboga Airport (stoping point)

Kutoka JKIA mpaka Ankara ni kama kilometa 5214 kwa ndege na inachukua muda wa masaa 6 na dakika 59. Tulipofika Ankara tulipumzika kidogo kisha tukaendelea na safari.

Helsinki, Finland

Kutoka Ankara uturuki mpaka Helsinki vantaa Airport ni kilometa 2314 kama sijakosea.Tulitumia kama masaa 3 na nusu.

Baada ya kushuka na kumaliza taratibu zote pale uwanjani, nilichukua begi langu na kumuuliza mhudumu sehemu ya kupokelea wageni, maelekezo hayo nilipewa na Bwana Mathew siku ananikabidhi tiket, kuwa nitaamkuta mwenyeji wangu hapo.

Pia wakati naongea na Violet alinielekeza nitamkuta hapo..

Nilipofika eneo hilo niliona bango limeandikwa Mr. Edson Anthony likiwa limeshikwa na binti mrembo sana Violet .

Violet alikuwa ananifahamu ila alifanya vile ili kama asingeniona mapema nisisumbuke kutafuta maana watu wanakuwa wengi sana.

Alinikimbilia akanikumbatia kwa hisia sana..

Violet : "Tervetuloa Helsinkiin" 'welcome to Helsinki'"

Edson:" Thanks a lot, honey. "

Violet :" Mitä kuuluu?)" How are you doing?'

Edson:" I'm good, and you? '

Violet : "I am quite well.

Edson: "That's great."

Violet : " Thank you, my love, I'm really happy to see you again"

" I'll take care of it, darling.."

aliongea akiuondoa mkono wangu kwenye handled ya beg,.

Edson: "Take care, it's heavy."

Violet " Sure, don't worry".

Aliniongoza kwenye gari ya hotel tuinayofikia, lilikuwepo kupokea wageni waliofanya booking hotelini kwao. Ubavuni imeandikwa Holiday Inn - Helsinki

Kutoka airport mpaka ilipo Holiday Inn Helsinki ni kama kilomita 3.3 ni dakika 6 hivi.

Nilikuta hotel moja nzuri sana hasa ndani, Violet was very kind to me. Alitaka anipe good time kwa kweli.Tukafika kwenye chumba alichokuwa amefikia yeye jana yake, kilikuwa moto sana, They have beautiful decorations.

Violet hakutaka hata nipumzike, akanivamia na romance,

Violet: "I miss you, darling."

Edson: "Don't worry, my love, I'm finally holding you."

Violet : "Excuse me, my love, please lower my heat down, and then we'll have time to talk. Just for a minute, I know you're very tired.

Edson: " All right, sweetie, I know you miss me a lot. "

Violet:" Thanks, sweetie, my body's on fire. "

Kutokana na hamu aliyokuwa nayo, akili yake ilishafanya mandalizi tayari. Hatukuchukua muda sana, akawa amefika double. Hakutaka nitoke, tulikumbatiana hapo kama 20 minutes, kisha tukaenda kuoga.

Tulienda kuoga, japo tulitumia muda mrefu sana bafuni, Violet alikuwa na hamu sana. Uvumilivu kwake ukawa zero kabisa. Tulipata mechi nyingine moja ya kusimama kwenye shower, naikumbuka mpaka leo.

(Purple likes visual contact, slow movements, deep penetration.,)

Hapo unaweza jikuta masaa yanakata bado mna hamu. Hakuna kuchoka maana nguvu inayotumika ni kidogo sana.

Baada ya muda tuliletewa chakula alichokuwa ametoa oda Violet baada ya kurudi tu.

Baada ya chakula tulianza maongezi, muda wote wa maongezi Violet kanikumbatia ile zero distance pale kitandani.
(utazani alihisi akiniachia nitapotea, she was enjoying )

Violet: Look the other way, honey, don't cheat.

Edson: " All right, honey, I won't cheat."

Alifungu box nikiwa nasikia, akatoa kitu flani akanivalisha mkononi. Kisha akanikiss mdomoni akasema

Violet: "get your gift, thanks for being honest with me.

Edson:" daa, thanks a lot, honey, that's very kind. "

Violet: "Did you like it?"

Edson: " Your eyeball knows what I love.

Ilikuwa ni saa mpya aina ya Rolex ya gold.

Nilitumia nafasi hiyo kumpatia zawadi zake saa, bracelet, mkufu, earrings.

Edson: " Get nearer baby.
Here are the presents I managed to find for you, I think you will love them."

Violet: "My dear, very well, thank you very much for this beautiful present."

Edson: " Don't worry"

Violet: " You're a man who can capture a girl's heart. I understand you very well in bed, you could also choose a present that fits my skin color. Thanks a lot, dear Edson.

Edson: " There are men that delight women, I'm still learning. "
Violet:" I know what you got, I like the stuff. That makes me really happy."

Edson:" Thank you very much for your gratitude."

Violet:" Thanks, sweetie, I got some good news for you. "

Edson:" tell me "

Violet: "I love taking a train home. This will take several hours, but we can speak in detail. You will be able to enjoy the beauty of our country as well. Mommy and Daddy will meet them at the train station."

Edson: "For you, sweetheart, even if you say let's walk, I wouldn't object, I wish we were together all the time.

Violet: " ha ha haaa, on foot we will age on our way.

Kutoka hapo Helsinki kwende kwao mji mwingine unaitwa Rovaniemi kwa treni kama kilomita 811. Tunatumia kama masaa 10 hivi)

Lengo lake lilikuwa apate muda wa kufurahi na mimi kabla hatujafika kwa wazazi wake.

**********
Next

Part Seven J: Helsinki to Rovaniemi by train.

[emoji182]Your kisses bring me to life,
[emoji183]I want to be your loving wife.
 

Attachments

  • Table.jpg
    Table.jpg
    72.4 KB · Views: 57
  • Helsinki%20airport%20.jpg
    Helsinki%20airport%20.jpg
    31.8 KB · Views: 61
  • Airport%20.jpg
    Airport%20.jpg
    82.6 KB · Views: 69
  • Ankara%20Esenboga%20Airport%20.jpg
    Ankara%20Esenboga%20Airport%20.jpg
    42.4 KB · Views: 51
  • Helsinki%20airport%20.jpg
    Helsinki%20airport%20.jpg
    31.8 KB · Views: 51
  • Hotel%20rooms%20.jpg
    Hotel%20rooms%20.jpg
    69.2 KB · Views: 59
  • Vio%202.jpg
    Vio%202.jpg
    37.2 KB · Views: 59
Shukrani bro,unaitendea haki sana hii story, yaani kuna zile image za matukio zinakujaa,aaah,so nice.
Unaijua sanaa ya mapenzi(art of love)kupindikia,ukanikumbusha maneno haya niliambiwa,huwa siyasahau.

When I say I love you more, I don’t mean I love you more than you love me. I mean I love you more than the bad days ahead of us, I love you more than any fight we will ever have. I love you more than the distance between us, I love you more than any obstacle that could try and come between us. I love you the most.
 
Shukrani bro,unaitendea haki sanaa hii story, yaani kuna zile image za matukio zinakujaa,aaah,so nice.
Unaijua sanaa ya mapenzi kupindikia,ukanikumbusha maneno haya niliambiwa,huwa siyasahau.

When I say I love you more, I don’t mean I love you more than you love me. I mean I love you more than the bad days ahead of us, I love you more than any fight we will ever have. I love you more than the distance between us, I love you more than any obstacle that could try and come between us. I love you the most.
Thanks bro. Comments kama hizi zinanipa faraja sana, kuona kuna watu wanapata chochote kwenye huu mkasa. Usichoke ku share. [emoji120]
 
Part Seven J: Helsinki to Rovaniemi by train.

[emoji182]Your kisses bring me to life,
[emoji183]I want to be your loving wife.

Kutoka Holiday Inn Helsinki mpaka stesheni ya Helsinki (Helsinki train station - päärautatieasema) ni 19km tulitumia dakika 30 kwa gari la hotel.

Baada ya kukata tiketi na muda kidogo wa kusubiri hatimaye safari ikaanza, Violet alichukua chumba cha peke yetu (non sharing room) ambacho ni VIP.

Safari ya masaa 10 niliiona kama ya dakika 10 tu, Violet alikuwa mchangamfu sana, kila mara anaanionyeshe mandhari ya kuvutia huko njiani.

Alitumia nafasi hiyo kutaka kujua malengo yangu kwake.

Violet: "Whenever I look into your eyes, whenever I hear you speak my name, whenever I hear your heart beating next to mine, I see my future. Please say you’ll be my husband."

Edson: " Dear Violet , conjugal life is not something to come in impatient. Let's have time to prepare ourselves "

Violet:" Honey, you are an amazing man, and I think we both know we have each met our match. Let’s call it even and get married. We’ll make a great team. "

Edson:" I agree with you, my love, but we must first persuade our parents, not marriage without their blessings.. "

Violet:" For my part, I already spoke to them, because you’re the guy who takes away my fear, when I’m in your arms, cares disappear. I want to be with you all my life, please stand with me, and make me your wife. "

Edson: "Please, my love, I need time to talk to my mum and dad. We have a different culture, for us it is the parent that approves the young man's marriage. I was also given the responsibility to care for my mother. Let me talk to her and I will respond to you very soon. My apologies if I offended you.

Violet: "You’ve no idea how much my heart still races whenever I see you."

Edson: " Believe me, till today I'm here with you, it's because I love you, Violet.

Violet: "Your name will be on my lips and your face will be in my heart for the rest of my life. Please be my husband." I'll let you have the time you asked for, but promise me how long. "

Edson:" you'll get my answers very quickly after I talk to my parents."

Niwe tu mkweli sikupenda aina ya maswali ya Violet, sababu sikuwa nimejipanga nayo, alinishtukiza tu.

Violet ni binti mrembo sana, anajali sana. Lakini Rosemary ananipenda sana, ni mtaalamu kitandani kuliko Violet. Hapa nikabaki njia panda, nichague yupi?

(unajua kuna mtu anaweza oa/olewa na mtu ambae hampagawishi kitandani, lakini mwonekano na caring vikampelekea kukubali. Wapo wanaofanya hivyo ila anarudi kuchepuka na yule aliemuelewa kitandani, nilifika crossways )

Faida ya kuwa na Violet ni kwamba, napata nafasi ya kuishi ulaya tukioana, ana pesa, ananipenda sana, ananijali sana, sina hakika kama atakubali kuwatunza wazazi wangu.

Faida ya kuwa na Rosemary, ananipenda sana, ananijali na kuniheshimu, ananilizisha kitandani, anaweza kuwa msaada mkubwa kuwaangalia wazazi wangu.

That's why I didn't have an answer for Violet, I needed time to make up my mind.

***
Tukiondoa maongezi ya kuoana, safari ilikuwa nzuri sana.

Muda mwingi alikuwa anataka 'romance' na touch za kichokozi. Chakula na vinywaji alikuwa anaagiza kwa simu.

Tulipitaa miji mbali mbali, nikamshukuru sana mwenyeji wangu kwa nafasi ile aliyoniandalia maana ningepanda ndege nisingefaidi uzuri wa ile nchi.

***
Kaivakatu 1: Helsinki train station

Helsinki - Vantaa- Jarvenpaa - Lahti - Vierumaki - Heinola - Hartola - Joutsa - Leivonmaki - Jyvaskyla - Tikkakosi - Hirvaskangas - Aanekoski - Viitasaari - Pihtipudas - Liminka - Kempele - Marityla - Oulu - Timola - Haukipudas - Kuivaniemi - Koivu- Muurola - Hakinvaara - Rovaniemi.

Tulifika Rovaniemi station salama. Tuliwakuta Mr. Collins na mke wake .Walinipokea kwa furaha sana, wote walinikumbatia kwa zamu, kisha ukafata utambulisho wa mama.

Ndio nikajua mama mkwe anaitwa Tatiana. Nikapata hugs za nguvu na kisses from mother in law [emoji16](mashavuni) nikabaki tu najichekesha.

Tukaenda kwenye gari yao, na baba na mama wakakaa mbele, mimi na Violet tulikaa siti za nyuma.

Kutoka Rovaniemi train station mpaka kwao Ounasjoentie ni kama kilometa 2.3 ukipitia 'Kapinkavijantie'. Muda wote Violet ameniganda wala haoni aibu kwa wazazi wake.

Tulifika salama, nikakaribishwa ndani. Ilikuwa ni nyumba kubwa kiasi na mandhari nzuri sana. Baada ya ukaribisho mfupi wazazi wake Violet waliaga maana hawakuwa wakikaa kwenye hiyo nyumba.

Hiyo nyumba alipewa Violet baada ya kuanza kujitegemea.

Violet alinipeleka kwenye chumba alichoniandalia, (master room ya ile nyumba, chumba anacholala yeye)

Nikaoga, kisha akanifata tukapate chakula. Tulikuta chakula kimeandaliwa na binamu yake aliekuja salimia baada ya kusikia nakuja. Lengo anione nafananaje, maana sifa alizipata.

(mtoto wa kike huwa hana subiria katika kutoa taarifa akiwa amependa, anatamani kila mtu akuone kama anavyokuona yeye)

Usiku ule kila mmoja alilala chumba chake (Violet alilala chumba kimoja na binamu yake).

Usingizi haukuja haraka japo kuwa nilikuwa nimechoka, nilipata usingizi usiku sana.

*********
Next

Part Seven K: I had no idea how this could be.

[emoji126]You must discover why I love you.
Table.jpg
Holiday%20Inn%20.jpg
Reception%20.jpg
Reception%202.jpg
Room.jpg
images%20(5).jpg
Toilet%20.jpg
Lady.jpg

View attachment 2561822View attachment 2561823View attachment 2561824View attachment 2561826
 
Back
Top Bottom