Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Habari ya Jumanne wadau. Hope mko poa
💚😰Poleni wana Yanga
❤️👏Hongereni wana Simba

Kuimba kupokezana, huwezi imba verse na chorus peke yako.

Kuanzia Jumamosi ya tarehe 22, nitaweka mwendelezo wa huu mkasa, kila siku mpaka Jumapili ya tarehe 30 nitakuwa nimemaliza.

Nimeona hali ya kiafya haiko sawa, mwezi May nina appointment ya kufanya matengenezo, huenda nikapumzika kwa muda mrefu, sipendi kuwakwaza, hata nilichotaka mjifunze hakitakuwa na maana tena. Pia nimetakiwa kupunguza matumizi makubwa ya Electronic devices kama simu na computer. Hivyo basi, nalazimika kumaliza mapema kabla ya muda huo.

Karibuni sana, hii sehemu iliyobaki ndio lengo langu kuu la kuusimulia huu mkasa. Utaona kunusurika kifo, majuto, maisha mapya, ugonjwa, nk.
moneytalk ujumbe wa kutisha toka kwa leadermoe
 
Habari ya Jumanne wadau. Hope mko poa
[emoji172][emoji27]Poleni wana Yanga
[emoji3590][emoji122]Hongereni wana Simba

Kuimba kupokezana, huwezi imba verse na chorus peke yako.

Kuanzia Jumamosi ya tarehe 22, nitaweka mwendelezo wa huu mkasa, kila siku mpaka Jumapili ya tarehe 30 nitakuwa nimemaliza.

Nimeona hali ya kiafya haiko sawa, mwezi May nina appointment ya kufanya matengenezo, huenda nikapumzika kwa muda mrefu, sipendi kuwakwaza, hata nilichotaka mjifunze hakitakuwa na maana tena. Pia nimetakiwa kupunguza matumizi makubwa ya Electronic devices kama simu na computer. Hivyo basi, nalazimika kumaliza mapema kabla ya muda huo.

Karibuni sana, hii sehemu iliyobaki ndio lengo langu kuu la kuusimulia huu mkasa. Utaona kunusurika kifo, majuto, maisha mapya, ugonjwa, nk.
pole sana leadermoe mwenyezi mungu awe pamoja nawe
 
Hii series niliipenda sana.
Pia nilitekwa na merlin, ile sehemu Morgana anamgeuza Guinevere kuwa mnyama ili Arthur pendrago amuue kwa mshale, nilimhurumia sana.
Merlin sijawahi kutulia nitazame yote hutazama juu kwa juu, napenda series za wa Korea Turkish na Mexican na Brazil.
 
Habari ya Jumanne wadau. Hope mko poa
[emoji172][emoji27]Poleni wana Yanga
[emoji3590][emoji122]Hongereni wana Simba

Kuimba kupokezana, huwezi imba verse na chorus peke yako.

Kuanzia Jumamosi ya tarehe 22, nitaweka mwendelezo wa huu mkasa, kila siku mpaka Jumapili ya tarehe 30 nitakuwa nimemaliza.

Nimeona hali ya kiafya haiko sawa, mwezi May nina appointment ya kufanya matengenezo, huenda nikapumzika kwa muda mrefu, sipendi kuwakwaza, hata nilichotaka mjifunze hakitakuwa na maana tena. Pia nimetakiwa kupunguza matumizi makubwa ya Electronic devices kama simu na computer. Hivyo basi, nalazimika kumaliza mapema kabla ya muda huo.

Karibuni sana, hii sehemu iliyobaki ndio lengo langu kuu la kuusimulia huu mkasa. Utaona kunusurika kifo, majuto, maisha mapya, ugonjwa, nk.
Tunashukuru kwa utayari wako wa kuendelea kutufunza, damu ya Yesu inenayo mema ikakunene mema daima[emoji120]
 
yani ro
Part Seven I: Tervetuloa Helsinkiin.
(welcome to Helsinki).


Nov 1998

Ilikuwa safari yangu ya kwanza kupanda ndege kwenda nje ya ya Tanzania. Tulifika mapema kabisa pale airport, tuliongea sana ikiwemo uzoefu wa kupanda ndege aliokuwa ananipa kaka Edwin, maaan ndio alikuwa amerudi kutoka Marekani alikoenda kufanya kozi kuhusu mambo ya navy. Baba yeye alikuwa mtulivu tu siku hiyo, aliendelea kutusikiliza.

Muda wa ku check in ulipofika tukaagana, kuna dada alikuja (mfanyakazi mwenzake shemeji, nilishapewa taarifa hiyo) alini elekeza sehemu ya kwenda, nilifanikiwa kupita na mzigo wangu bila usumbufu wowote.

Shemeji alishasafisha njia. Baada ya ukaguzi hatimaye nikakanyaga ngazi kwenda ndani ya ndege ile. Goodbye Tanzania.

hatimaye tangazo la kufunga mkanda likafata, bada ya muda safari ikaanza. Nilikaa na babu mmoja wa kizungu, alishukia Ankara.

"Flight attendants, prepare for take-off please.”
“Cabin crew, please take your seats for take-off."

hatimaye tukaiacha ardhi ya asili yangu. Kuna moments unapitia kwenye hilo tukio, sikujua ile ni huzuni, hofu au furaha.
……
Ankara Esenboga Airport (stoping point)

Kutoka JKIA mpaka Ankara ni kama kilometa 5214 kwa ndege na inachukua muda wa masaa 6 na dakika 59. Tulipofika Ankara tulipumzika kidogo kisha tukaendelea na safari.

Helsinki, Finland

Kutoka Ankara uturuki mpaka Helsinki vantaa Airport ni kilometa 2314 kama sijakosea.Tulitumia kama masaa 3 na nusu.

Baada ya kushuka na kumaliza taratibu zote pale uwanjani, nilichukua begi langu na kumuuliza mhudumu sehemu ya kupokelea wageni, maelekezo hayo nilipewa na Bwana Mathew siku ananikabidhi tiket, kuwa nitaamkuta mwenyeji wangu hapo.

Pia wakati naongea na Violet alinielekeza nitamkuta hapo..

Nilipofika eneo hilo niliona bango limeandikwa Mr. Edson Anthony likiwa limeshikwa na binti mrembo sana Violet .

Violet alikuwa ananifahamu ila alifanya vile ili kama asingeniona mapema nisisumbuke kutafuta maana watu wanakuwa wengi sana.

Alinikimbilia akanikumbatia kwa hisia sana..

Violet : "Tervetuloa Helsinkiin" 'welcome to Helsinki'"

Edson:" Thanks a lot, honey. "

Violet :" Mitä kuuluu?)" How are you doing?'

Edson:" I'm good, and you? '

Violet : "I am quite well.

Edson: "That's great."

Violet : " Thank you, my love, I'm really happy to see you again"

" I'll take care of it, darling.."

aliongea akiuondoa mkono wangu kwenye handled ya beg,.

Edson: "Take care, it's heavy."

Violet " Sure, don't worry".

Aliniongoza kwenye gari ya hotel tuinayofikia, lilikuwepo kupokea wageni waliofanya booking hotelini kwao. Ubavuni imeandikwa Holiday Inn - Helsinki

Kutoka airport mpaka ilipo Holiday Inn Helsinki ni kama kilomita 3.3 ni dakika 6 hivi.

Nilikuta hotel moja nzuri sana hasa ndani, Violet was very kind to me. Alitaka anipe good time kwa kweli.Tukafika kwenye chumba alichokuwa amefikia yeye jana yake, kilikuwa moto sana, They have beautiful decorations.

Violet hakutaka hata nipumzike, akanivamia na romance,

Violet: "I miss you, darling."

Edson: "Don't worry, my love, I'm finally holding you."

Violet : "Excuse me, my love, please lower my heat down, and then we'll have time to talk. Just for a minute, I know you're very tired.

Edson: " All right, sweetie, I know you miss me a lot. "

Violet:" Thanks, sweetie, my body's on fire. "

Kutokana na hamu aliyokuwa nayo, akili yake ilishafanya mandalizi tayari. Hatukuchukua muda sana, akawa amefika double. Hakutaka nitoke, tulikumbatiana hapo kama 20 minutes, kisha tukaenda kuoga.

Tulienda kuoga, japo tulitumia muda mrefu sana bafuni, Violet alikuwa na hamu sana. Uvumilivu kwake ukawa zero kabisa. Tulipata mechi nyingine moja ya kusimama kwenye shower, naikumbuka mpaka leo.

(Purple likes visual contact, slow movements, deep penetration.,)

Hapo unaweza jikuta masaa yanakata bado mna hamu. Hakuna kuchoka maana nguvu inayotumika ni kidogo sana.

Baada ya muda tuliletewa chakula alichokuwa ametoa oda Violet baada ya kurudi tu.

Baada ya chakula tulianza maongezi, muda wote wa maongezi Violet kanikumbatia ile zero distance pale kitandani.
(utazani alihisi akiniachia nitapotea, she was enjoying )

Violet: Look the other way, honey, don't cheat.

Edson: " All right, honey, I won't cheat."

Alifungu box nikiwa nasikia, akatoa kitu flani akanivalisha mkononi. Kisha akanikiss mdomoni akasema

Violet: "get your gift, thanks for being honest with me.

Edson:" daa, thanks a lot, honey, that's very kind. "

Violet: "Did you like it?"

Edson: " Your eyeball knows what I love.

Ilikuwa ni saa mpya aina ya Rolex ya gold.

Nilitumia nafasi hiyo kumpatia zawadi zake saa, bracelet, mkufu, earrings.

Edson: " Get nearer baby.
Here are the presents I managed to find for you, I think you will love them."

Violet: "My dear, very well, thank you very much for this beautiful present."

Edson: " Don't worry"

Violet: " You're a man who can capture a girl's heart. I understand you very well in bed, you could also choose a present that fits my skin color. Thanks a lot, dear Edson.

Edson: " There are men that delight women, I'm still learning. "
Violet:" I know what you got, I like the stuff. That makes me really happy."

Edson:" Thank you very much for your gratitude."

Violet:" Thanks, sweetie, I got some good news for you. "

Edson:" tell me "

Violet: "I love taking a train home. This will take several hours, but we can speak in detail. You will be able to enjoy the beauty of our country as well. Mommy and Daddy will meet them at the train station."

Edson: "For you, sweetheart, even if you say let's walk, I wouldn't object, I wish we were together all the time.

Violet: " ha ha haaa, on foot we will age on our way.

Kutoka hapo Helsinki kwende kwao mji mwingine unaitwa Rovaniemi kwa treni kama kilomita 811. Tunatumia kama masaa 10 hivi)

Lengo lake lilikuwa apate muda wa kufurahi na mimi kabla hatujafika kwa wazazi wake.

**********
Next

Part Seven J: Helsinki to Rovaniemi by train.

[emoji182]Your kisses bring me to life,
[emoji183]I want to be your loving wife.
roho imeniumaaaaaaaaaaa men u just slept with rose n promised her now its the other way round while she is home praying and wishing u well believing ul keep her ways natamani kulia anyways simulizi ni sisimuzi sana
 
Back
Top Bottom