Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Masikini , nilivyokuona hapo juu unasema habari ya mama mkwe , nimeumia zaidi maana nikajua hujui .

Pole Antonnia mkewe @ledadermoe aitwaye rosmariini kwa hapa jamvini hatunaye tena .

Pole sana inauma , inaumiza , inatesa , niko very frustrated sikuwaza Gibson kuondoka mapema hivi na shemeji kumfuata kwa huu mda .

Hakika kwake tutarejea [emoji24][emoji24]
Wewe mkewe amekufa tena???

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Kuna muda naona sio kweli ni ndoto lakini ndio ukweli,tulifahamiana na marehemu kwa muda mchache akawa kama rafiki ambae nimemjua maisha yangu yote,tukipiga story za maisha hata utani utasikia embu nishauri jambo flani kama wewe utafanyaje namwambia mbona wewe ndo nategemea akili zako,ujumbe ambao siusahau kamwe nimelala nakutana na meseji nataka nikufanyie jambo ambalo utanikumbuka maisha yako yote sema kiasi cha pesa chochote ambacho utafanya biashara ikulipe zaidi nijibu kabla ya tarehe 28 kuanzia tarehe 2 nitakuwa hospital unaweza ukachelewa kupata majibu nitakujulisha namna ya kupata hizo pesa au unataka zikufikie kwa njia ipi nikashangaa sana habari za hospital akaniambia ana tatizo la tachycardia anaenda ku replacement battery ya pacemaker ikabidi ni google tachycardia chanzo Kuna chanzo kimoja nikamtania akasema kweli mie napenda sana na pia msiba wa Mama ulichangia nilikuwa na mawazo sana Nika google side effects za pacemaker ukiwekewa ambayo unapata blood clot kwenye mkono unao wekewa,kupata infection damage kwenye blood vessels au nerves na madhara mengine kwa kweli niliogopa akataniuliza wazo la biashara nikampa wazo langu nikiwa nasita akasema mbona unasita pesa za mwingine unazionea ubahili au huamini nitakupa nikamwambia no wewe mwanadamu mie mwanadamu lolote laweza tokea embu katibiwe kwanza ndo muhimu kuliko biashara zangu,mpaka anaenda hospital tunawasiliana aniambia nakuletea Iphone 14 pro max upigie picha biashara zako namwambia embu pona kwanza achana na simu nikamwambia una jua Triple G unafanana na baba yangu sana kuanzia mwili unavyo tabasamu na hio miwani akacheka nikamtumia picha za Baba akasema Mzee flani kweli tunafanana umbo nikamwambia Baba yangu alikuwa na matatizo ya moyo kama wewe nilimkosa naogopa kukukosa akanitumia baadhi ya vifungua kwenye biblia,nilichelewa kuwasha data siku ya Juma2 nikakuta meseji yake nikamjibu haikujibiwa nikashangaa nikawa na wasiwasi mpaka Gily anakuja kunipa taarifa yupo ICU kwa kweli nilikosa amani moyoni nikawa namuombea Allah ampe shifaa nakuja kuambiwa na Gily amekufa aise niliona anatania akaniambia siwezi tania kuhusu kifo anakuja aniambia [emoji257]kapata presha nikakosa raha zaidi nasikia amefariki Aisee nguvu ziliniisha Yaani Alkhamis Rose [emoji257] Kuna ujumbe alinitumia eti nae hayupo nilikuwa nasema wanae wamepoteza Baba ila Mama wanae kumbe usilolijua kwa kweli nawaonea huruma sana wanae wamepoteza Bibi Baba na Mama ndani ya muda mchache ila na Imani na [emoji171]anawapenda kama wanae atakuwa nao kuwapenda kuwajali kuwaongoza hapo ndio namuelewa G kwanini hakumuacha [emoji171]aende na kwanini [emoji257]alimkubali [emoji171]awe kwenye maisha yake na akae na wanae.namuomba Mwenyeezi Mungu awarehemu wapendwa wetu hawa awape familia subra kwenye kipindi hiki kigumu kwao kufiwa kunauma sana haswa wazazi.
Kuna watu Mungu aliwapa mioyo ya kipekee sana,

Alikuwa akikuona unatatizo anakuambia,"kwani shida iko mkuu usisite we sema",,,aise wanakuwaga wachache sana Duniani


Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Anayoyaongea nshomile kama ni ya kweli basi tutafurahi kwa muhusika bado yuko hi,lakini vile vile atakuwa ametupatia funzo jipya..

Ila kwa upande mwingine hata kama ni kwel staged wewe umepungukiwa nini? Hajakuomba mchango,hajakutapeli kwani kakukosea mini?

Ni vyema kuwaza nje ya box lakini hakuna ubaya kuendelea na mdundo uliopo kundini kwani,kwani hakuna madhara kwako,wala kwa muhusika

R.I.P kamanda hakika umevipigana vyema
 
Part Seven G: It's like sugar sometimes…

[emoji3064]It's very hard to say goodbye to someone close to you.


Baada ya kurudi chuo kumalizia mwaka wa tatu niliendelea na Rosemary wangu. Katika wasichana wote niliokuwa nao kipindi kile nilimpenda zaidi Rosemary, nae alikufa kabisa kwangu.

(hajui kutegea chumbani, sauti nyororo ya kuchombeza, mihemo yake kama anataka kukata roho, kila style nitakayo mkalisha anaijua zaidi)

**
Baada ya graduation nikiwa na 'Bachelor of Arts Economics and Statistics' , nili rudi Arusha kwa mama.

Wiki chache baade nikatumiwa mwaliko rasmi kwenda ufin. Mama hakuleta ngumu sana maana alishajua nimesha penda, nimekua, nahitaji kuamua mambo yangu mwenyewe. Nikaanza maandalizi ya safari.

Nilienda ofisini kwa baba pale TAZARA ili tukachukue hati ya kusafiria maana tulikuwa tumeshakamilisha mahitaji yote tukawa tunasubiri siku ya kurudi.

Tulienda uhamiaji tukakuta iko tayari, tukaichukua na kuondoka.

Mr. Collins aliniagiza nikaonane na Mathew ubalozini kwao, nilimpata na akanipa ushirikiano sana kwa kunielekeza nifanye nini ili nipewe viza.

Baada ya kukamilisha aliniambia atanitumia email kesho kutwa yake mchana.

***
Nilitumia muda huo kuwaaga ndugu na jamaa, nilianza na kaka Edwin, kisha mr. Anthony.

"Mzee alinishauri sana kuhusu ku focus na maisha. Niache mizaha na mapenzi ya bila malengo.

Baba hakuwa rafiki yangu kama mama, hakuwa ananipa ushauri mara kwa mara, ila siku akiamua kunipa darasa, nauona umuhimu wa ukimya wake.

He was a loving father. (RIP daddy, one day we will meet again.) "

Nilimwambia Rosemary naenda kusoma (sikumwambia kuhusu Violet ) nilimwachia Rosemary pale nilipokuwa naishia na vitu vyote, maana nilimpenda sana. Pia sikuona sababu ya kuvipeleka nyumbani wala kuviuza.

Baada ya kupata hati ya kusafiri nilimtafuta Mathew na kukamilisha documents zilizohitajika.

***
Baada ya kuaga ndugu akiwamo kakaa yangu kipenzi Edwin, nilienda Arusha kuongea na mama.

Antonnia: "Edson mwanangu siku zote usije kutoa nafasi kwa mapenzi yakuendeshe, siku ukiruhusu hiyo hali utapoteza malengo yako yote maishani.

Wanawake wazuri wanazaliwa kila leo, wengi watasema wanakupenda ila mwisho wa siku wanakuacha ukiwa na hali mbaya, Muombe Mungu na mimi nakuombea upate mwanamke aliekuandalia."

" nakutakia kila la heri baba, siku zote kumbuka kabla hujaanza jambo lolote mshirikishe Mungu kwanza, utafanikiwa maishani."

"unaenda nchi ya watu, baba usije kututia aibu huko, siku zote zingatia nilicho kufundisha na Mungu atakuongoza mwanangu. Usije nisahau kwa raha za ulaya, ni wewe rafiki yangu na mfariji wangu, usijenipa mawazo kwa kuwa mbali nami. Nakutakia kila la heri, na baraka ziwe juu yako kama umande katika nchi."

Mama alimaliza maongezi yale na akanitemea mate usoni na mikononi ishara ya umande katika nchi.

Edson: "Mama nashukuru kwa kuniruhusu, nakuahidi sitakwenda kinyume na ulichowekeza kwangu, sitakuaibisha nikiwa huko wala hapa. Nitarudi mapema maana nakupenda sana mama. "
**********

'She's a loving mother.'

Kesho yake nilienda internet cafe kuangalia email ya Mr. Matthew, ilikuwa ni baada ya siku 3 toka tuachane. Nilikuta ujumbe kuwa maombi ya viza yako tayari, na kiufupi nikaonane nae kwa ajili ya safari ndani ya siku 3 kwani tiketi iko tayari pia. Sikutumia pesa zangu,alitumiwa pesa zote na Mr. Collins.

Nilienda kutafuta zawadi kwa ajili ya wenyeji wangu. Nilinunua bracelets za shanga 12 zikiwa na bendela ya Taifa, mashuka ya kimasai 12, picha za michoro ya tinga tinga 12.
(sikuona zawadi ya kupeleka ulaya, ibidi ninunue vitu vya kitamaduni tu)

'Naanza vipi kumsahau 'mfin wangu' nilimchukulia cheni,earing, saa na bracelet zikiwa na nakshi za diamond'

'don' t be too cheap to your woman, sometimes you have to improve your standards.'

Baada ya kuhakikisha nimeridhika na zawadi nilizopata, nikanunua beg moja kubwa kiasi nikabebea zile zawadi…

………

Nilirudi Dar kwa ajili ya safari. Nilitumia usiku ule kumuaga Rosemary , nilimdanganya naenda kusoma 'masters' kisha nitarudi, nilimkabithi kile chumba na mali zote rasmi. Nakumbuka siku hiyo Rosemary alishindwa kula, alilia sana.

Edson: "Why are you weeping, beautiful?"

Rosemary : "You know I'm crazy about you, Edson, I can't lose you."

Edson: "Lose me? How?, Why?"

Rosemary: "You don't know how important you are to me, Edson, you mean everything to me."

Edson: "No baby, don't cry, I know all, I promise I'll come back for you soon." "Distance from us doesn't matter because you're still in my thoughts, baby I love you, and I mean every word I say, be strong my love."

…. alifuta machozi akasema…

Rosemary: "There is nobody else I would rather spend my life with than you Edson, It makes me sad to go to bed and wake up without you by my side."

'The lady scorched inside,'

Edson: "I'm lucky to have a girl who makes me feel beloved, your name is written in the deepest part of my heart like a tattoo."

Rosemary: "I'm sure I'll see you again, but this isn't good enough for me. I'm gonna miss you very much, my Edson

Edson: "I needed someone to understand my highs and lows, and here you are, with love and devotion, profoundly touching my emotions.

Rosemary : "Daddy usinipange , but Thank you ."

Edson: ha ha haaa, unavyo deka sasa, kama vile sio wewe ulikuwa unalia mda mfupi tu hapa. "

Tuliongea mengi siku hiyo, nikampa Rosemary pesa za kumsaidi kwa muda ambao sitakuwepo. Sikutaka abadilike kwa kukosa matunzo.

Nilishamzoesha shopping za nguo, handbags, shoes, cosmetics, salon nk kila wiki, sikutaka abadilike sana.

" Don't fight a woman, love her, if you love her, it's over, everything else is a story." [emoji4]

Usiku ule mpenzi wangu alijituma isivyo kawaida, nikama vile alikuwa anasema' take it all my love with you.' Akanimbiia kipande hiki cha wimbo.

How sweet it is (Loved by you) James Taylor (1975)

"I close my eyes at night

Wondering where would I be without you in my life
Everything I did was just a bore

Everywhere I went it seems I'd been there before

But you brighten up for me all of my days

With a love so sweet in so many ways

I wanna stop and thank you, baby

I just wanna stop and thank you baby, oh yes

How sweet it is to be loved by you

It's like sugar sometimes. "

Kesho yake nilienda kuchukua tiketi kwa Matthew kwa ajili ya safari. Ilikuwa tiketi ya 'Turkish Airlines' kwa ajili ya kesho yake.

**********
Next

Part Seven H: I have to go away.

Nov, 1998
[emoji848] I'm in Africa, my mind is in Europe.View attachment 2560289View attachment 2560295View attachment 2560297View attachment 2560298
[emoji120]
 
Part Nine E: Ending a beautiful relationship is never easy..

[emoji97][emoji97]It's my turn to show you my real gun,[emoji97][emoji97]

*****
Flashback
Edson: "You were prepared to kill me a couple of minutes ago."

Violet: "I can't dare kill you, I got angry when you answered me violently, so I couldn't control myself."

Edson: "don't play with human life, weapons are not the arbiter of conflicts, they only increase conflicts. You should be calm, humans talk to find a solution."

Violet:" "Pardon me, Edson, I've done you wrong."

Edson: "No problem, I don't like you to be disrespectful, respect me as I respect you."

Violet: "Thank you very much for your forgiveness, I will never do that again, I promise. You're making me wonder, I don't know what kind of heart you have"

Edson: Very well, forgive me too, if I made you stumble.

**********

Flashforward

Tuliongea mengi siku hiyo, hasira za Purple zilipoa kabisa, akaanza kutabasamu kama mwanzo. Ila mimi nilitabasamu usoni, moyoni nilikuwa na hasira.

Aliandaa chakula, nikawa nimejilaza pale kitandani nikiiangalia ile bastola. Sikuamini kama mwanamke aliekuwa ameishika ndie mama watoto wangu.

(I studied this girl and realized that she doesn't have any ability to control her anger, which is why she tried to threaten me with a gun.

Second, she doesn't care about the gun because until then, she left it loaded in the bed. I could have picked it up and killed her, because she tried to kill me. )

Alikuja kuomba tukale, nikamfata, tulikula chakula bila maongezi mengi, hata yale mazoea ya kulishana siku hiyo yaliomdoka.

Violet ni kama alijishtuki kuhusu tukio la bastola, akawa anatamani kusema kitu anashindwa, anabaki kuniangalia usoni.

Baada ya chakula, nilienda kuoga. Violet alisubiri nimalize ndipo na yeye akaenda kuoga.

Sikuwa nimebeba nguo, nilikuta amenitolea nguo nilizotumia kipindi cha kwanza, nilivaa nikakaa kwenye kochi kumsubiri.

Violet alimaliza kuoga, akarudi chumbani kuvaa, kisha akarudisha taulo bafuni.

Violet: "Come on baby, let's get some sleep."

Edson: , "Thanks, I'm coming, I'm not asleep."

Violet: "Baby, it's my job to put you to bed, let me.

Nilishajua lengo lake, sikuona kama naweza kufanikiwa kubaki na msimamo wangu, niliomwapia mke wangu pale kanisani. Nikanyanyuka nikamfata pale kitandani.

Violet:" "Forgive me sweetheart, don't feel so bad."

Edson: No need to worry, it's over. "

Violet: "I know this will be hard on you, but I need you tonight."

Sikuwa na uwezo wa kukataa, hata kama ningekataa asingekubali.

Edson: All right, I'm here for you."

Violet: "Thank you darling, that's why I love you so much, the father of my kids, please make me feel better tonight, I'm all yours".

Edson: "Thank you Purple, I'm so missing you..."

(Nilijisemea moyoni, ungejua nilivyo na hasira moyoni, leo lazima nifanyie kazi ule msemo wa wazee wetu

"Every woman's got three ears, if two ears are plugged, there's no problem. But if you allow the third ear to be blocked, you will meet with contempt and pride from her.

Make sure the third ear is tuned regularly, with great precision." )

she never said anything, she took the gun, put it in the closet and came back."

Alinilaza kitandani kwa kuni sukuma nikalalia mgongo, akapanda juu ya mwili wangu akaanza nifanyia massage. Kisha akaanza kunivua tshirt, nikabaki na bukta pekee. Akaendelea na full body massage.

(she had never done that before.)

Baada ya muda akaanza kuvua nguo zake, akabaki mtupu.

I watched her skin glow in the dark light, her tits standing up as if she hadn't breastfed, the smile on her face, the beauty of her face. She turned me on, she got prettier all the time.

Alikuwa na uzuri wa kushtua moyo. Moyo wangu ukakubaliana na kinachofata.

(I have a great ability to control my anger, it doesn't mean that they're over.)

Alianza na romance kama kawaida yake, ila safari hii haikuwa na utulivu, mwili wake ulikuwa na joto kali. Baada ya kama dakik tano tu akawa hajiwezi. Alikuwa na hamu sana.

Violet: "Honey, please let me have the cowgirl position today, I want to look at your eyes all the time, they really do make me appreciate your sweetness."

("The beauty of the classic cowgirl is in its simplicity, It gives the person on top the ability to control the rhythm, pace, angle, and depth of penetration.

The classic cowgirl is often described as an empowering position for the rider since you can guide your sexual experience in whatever gratifying, delectable ways you desire.

You're in charge of setting the pace and if and how you want to reach orgasm, plus how slowly or quickly your partner comes.

It's a huge confidence booster to wield your sexuality and take charge of your pleasure. That's why Violet asked for it.")

Edson: " Don't rush, sweetheart, we have a lot of time. Let me do my job first."

Violet:"Ok, sweetie, I'm very nervous."

I began to kiss her, I touched her lips slowly with my tongue, I gently bit her edge of the lower lip with my teeth.

Then I moved to her ears, I started to lick her ears as she was getting closer to orgasm, I whispered," do you like it when I touch you?" Then I blow softly into her ears.

When I got through to her ears, I touched her neck. I kissed the back of her neck with my mouth slightly open, and hummed. Purple was running out of tricks and gasping for breath.

When I touched her breast, she screamed, she climaxed…

I intended to remove her contempt for me, I wanted her to suffer sweetly

I started sucking her erect nipples, while hands were playing with her ribs. The nipples turned red, Purple was crying of love, she had no tricks, she asked me to put a cucumber inside, I pretended not to hear.

I love to hear her moan while I’m going down on her.”

I said to her, "you pointed a gun at me, now it's my turn to show you my real gun, that's why I told you, if you don't kill me right away, I'll kill you."

I haven't heard back from her.

I put her in a position called booty call, she was soft all over the body, I went inside, she screamed like a child, I started giving her sweetness. Violet didn't take time climaxing a second time.

Until now I had two goals: the home field, my referee, my rules, my cheerleaders, the field lying on its side. I said to myself until she apologize for her stupidity.

I told her to take the backwards-crash position. She has one foot on a chair, which totally opens her hips and changes the angle of her standard rear entrance pose.

For easy access, she keeps one foot on the floor, then we stand in front of a mirror so we can both see..

Her noises and feelings, brought me to the climax, at the same time she also reached the climax. I helped her move to the bed, because she was very tired.

She rested with three goals, she lay there watching me and not speaking, I went to sit on the couch to get some juice to cool my throat.

***

After twenty minutes, while I was still sitting and thinking, Violet came to me and sat on my lap, her arms around my neck

Violet' "what are you thinking my love"

Edson: "I'm thinking of the bullet that wanted to end my life today."

Aliegemea kifuani kwangu akaanza kulia tena, nikamuuliza anacholilia, wakati tukio amelifanya yeye

Violet: "My Edson, my boyfriend, my kid's dad, I love you so much, don't judge me for my mistakes. I didn't know what to do, you hurt me a lot, forgive me, I will not repeat."

Edson: "When you requested the armor, did they tell you that if you don't know what to do, use it?"

Edson: "Because of your carelessness, you can even kill your kids one day . Learn to end your problems in peace. I've never seen you more violent than you are now, does that mean the gun changed you?"

Violet: "Please, honey, stop, I'm begging you."

Niliamua kutoa ya moyoni, maana tayari hali ya hewa ilikuwa upande wangu.

Nikawa najaribu kumuonyesha alichokifanya hakistahili kabisa kufanyiwa binadamu mwenzake.

Lengo langu aiache kabisa hiyo tabia, aichukie ile bastola yake.

Edson:'' Guns don’t kill people, people kill people, why don't you learn through the songs you listen to, in love, you see that they help you, but in normal life you see that they are just shouting at you.

Several times in your car, you listen to Johnny Cash's song, you learn nothing there? "

Violet:" "Please Papa, your words make my heart ache. "

Edson:" I'm talking because I love you, I wish you luck, this gun will bring you problems.
What made you decide to buy a gun?"

Violet:" I bought the a gun because of my safety, my love. "
Edson: "Do you see how selfish you are? So you only care about your own security, right? How about the kids? Is this gun protecting them?

Violet:" no, my love. "

Edson:" How proud you are to protect yourselves and your family is defenceless .

The only protector is our Creator, if he does not protect us, your gun is a piece of trash."

" Also you didn't follow the conditions you were given regarding that weapon, Do they told you to threaten people with it ?

Violet:" No, sweetie, I shouldn't use it till I'm in danger.

Edson: " I was a danger to you"

Violet: " please my love, don't be so angry, I'm not used to you like that."

Edson: " You think you know me well? even my mom doesn't know me well. I don't like disrespect, if you disrespect me, I am a very bad person, you will not believe it."

Violet alinyanyuka, akapiga magoti mbele yangu,alikuwa ameogopa sana nilivyokuwa nimebadilia, akasema

Violet: "listen my husband, what should I do to make the anger subside, you are scaring me Edson, I promise in front of you, the day I'll disrespect you, I will no longer be your lover."

Edson: " if there is something important you need to do so that my anger ends, I don't want you to insult Rosemary and disrespect me again, don't raise your voice at me again and I don't want you to keep that gun of yours. "

Violet:" Edson, the lover of my heart, please have mercy on me, I can't bear it anymore, I regret my mistakes, your words hurt me. Enough my love, I love you so much Edson."

" I promise my husband that I will never disrespect you again, that I will never insult your wife again. About the gun, I understand, I'll give it back after this week. "

Edson:" If you do that you will be the beautiful Violet I used to know , get up and hug me my love. You're pretty, you don't need to hurt your hands with that iron of yours. "

" It's OK, if you're a humble woman we'll understand each other very well, if you bring such arrogance like today, I can leave you. "

I recall this song, she used to like.

Song: Don't Take Your Guns to Town
Artist: Johnny Cash
Released: 1958
Album: The Fabulous Johnny Cash

A young cowboy named Billy Joe grew restless on the farm
A boy filled with wanderlust who really meant no harm
He changed his clothes and shined
His boots and combed his dark hair down
And his mother cried as he walked out

Don't take your guns to town son
Leave your guns at home, Bill
Don't take your guns to town

He laughed, and kissed his mom, and said, "your Billy Joe's a man"
I can shoot as quick, and straight as anybody can
But I wouldn't shoot without a cause; I'd gun nobody down"
But she cried again as he rode away

Don't take your guns to town son
Leave your guns at home Bill
Don't take your guns to town

He sang a song as on he rode his guns hung at his hips
He rode into a cattle town, a smile upon his lips
He stopped, and walked into a bar, and laid his money down
But his mother's words echoed again

Don't take your guns to town son
Leave your guns at home Bill
Don't take your guns to town

He drank his first strong liquor then to calm his shaking hand
And tried to tell himself at last he had become a man
A dusty cowpoke at his side began to laugh him down
And he heard again his mothers words

Don't take your guns to town son
Leave your guns at home Bill
Don't take your guns to town

Filled with rage then, Billy Joe reached for his gun to draw
But the stranger drew his gun and fired before he even saw
As Billy Joe fell to the floor, the crowd all gathered 'round
And wondered at his final words

Don't take your guns to town son
Leave your guns at home Bill
Don't take your guns to town

***
Baada ya kuona ujumbe wangu umefika sawasawa, nilianza kumtia moyo akaacha kulia.

Nilimuuliza maendele yake na vipi kuhusu tatizo aliloniambia, hatimae akanieleza

Violet: "When you decided to leave me, I had a really hard time, until I felt like I hated my kids.

My friend told me,she'll find me a lover so that I will forget you quickly, she started taking me to the club, she taught me to drink alcohol so that I can forget you.

I was really happy with her, but when I go home and I see your kids, I remember everything.

Eventually, my friend introduced me to a man, he was handsome, but my heart did not love him, I decided to force myself and I slept with him. I didn't get the things I needed.

My friend told me to find somebody else, perhaps the other guy doesn't know about love, I found him, I didn't find your pleasure.

I decided that I will not be a hooker, I will fight to bring you back, because two men have not succeeded in capturing my heart.

Violet: " I'm sorry, Violet, don't always take decisions when you're very upset or very happy."

Baada ya maongezi kidogo nikamwambia….

Edson: "I guess it's your time now, you need a reserve cowgirl remix, take the lead.

I'm gonna sit in a chair and you're gonna have to tease me with your little tremor, squeeze it, and rub it on my crotch.

Step back, gently lower yourself upon me. Cling to something I'm gonna want to catch and go deeper.

Then get on top of me and don't come down till you reach your peak. off until you come.”

I didn't know if Purple is just a good squirter, I knew that within these 5 days, even she surprised herself , getting dawasa every time

Violet: "Thank you, my love, you know my heart's needs, and the time to satisfy them. That's why I love you so much, because you know everything about me. I promise you my love I'll never let you go. "

***
Hivyo ndivyo tulimalizia mkesha wetu usio rasmi. Kisirana na hasira vikaisha kabisa. Asubuhi ilipofika tukarudi kwa mama Tatiana. Ratiba yetu ikawa ni hiyo kwa siku tano zilizofata.

******

Next

Part Nine F: Ending a beautiful relationship is never easy..

[emoji180]If you forget about me, I'll let your wife know.View attachment 2569880View attachment 2569881View attachment 2569882View attachment 2569884
[emoji120]
 
Dah nilikua nasoma story yote toka mwanzo nimeshindwa niseme nini [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Rest In Peace Gibson Rest In Peace Rose seriously nmeumia Sana nmejuta kutosoma hii story mapema nimejuta sana
 
Part Eleven : Farewell mom,

[emoji3589]Rose sees an opportunity.

2005

April 22,2005

Ni siku ya furaha sana maisha mwetu, tumempata last born, tumemuita Edson Jr II.

Baada ya kutoka hospital, tulifika nyumbani, mama alifurahi sana kupata mjukuu wa tatu. (kumbuka yeye alikuwa na watoto watatu).

Alimuombea, akamwambia kwa kuwa yeye ni kitinda mimba. Anapaswa kufata nyayo za baba yake. (hatukuwa tumeamua kuacha kuzaa, ila baada ya kauli ya mama siku zile, tuliamua kufungia pale.)

Mama alikuwa amezeeka sana, alikua na miaka 60. Tulifanya sherehe baada ya siku arobaini ya mtoto. Tulialika mama yake Rosemary na mdogo wake, na marafoki.

Mama alisema amefurahi sana kuwaona watoto wangu, alisikitika kwa kushindwa kuwaona watoto wa Violet.

Alitoa ujumbe wao nikamrekodi na kuwatumia wajukuu zake. Mama Aliongea mamemo mazito sana, kila mtu akafurahi.

**********

December 10, 2005

Ni kama mama alikuwa anatuaga siku ya arobaini ya Edson JrII. Alihakikisha kila mmoja amepewa neno lake, kumbe hatukujua.

Siku hiyo hakutaka Rosemary ampe chai, wala kumnawisha mikono.

Aliniomba nimkaangie mayai, nikamwandali lakini akataka tule wote. Nilifanya hiyo kazi, tulipoanza kula yai la kwanza akanilisha, na la mwisho akanilisha.

Kumbe mama alikuwa ananiaga. Tulimaliza chai nikatoa vyombo, nikamuuliza anapenda kula nini mchana. Mama akasema anatamani mchemsho wa samaki.

Nilitoka mida ya saa nne kwenda ofisini kwa Rose na kupitia ofisini kwangu. (Rose alikuwa na mtoto mchanga, hakuwa anenda ofisini kwake), lakini nikikumbuka nipitie samaki kabla ya mchana ili kiwe chakuka cha mama.

Nikiwa soko kuu Rosemary ananipigia simu mama hajisikii vizuri, nilifanya haraka kurudi nyumbani , nikakuta amelala, hakuamka tena mpaka leo.

Mama alifariki saa 6 mchana, Mama alikufa kifo cha kawaida, katika uzee wake wa mika 60, hakuwa anaumwa.

***
Nilimtaarifu Violet, akaahidi kuja kwenye mazishi, nilimsisitiza awalete watoto wamzike bibi yao.

Tulikamilisha maandalizi na taratibu zote, baada ya siku tatu Violet Alifika akiwa na watoto wake.

Tulimzika mama(RIP) pembeni ya mume wake, mzee Anthony (RIP).

Song: Goodbye's (The Saddest Word)
Album: A New Day Has Come
Artist: Celine Dion
Released: 2001
Genres: Vocal, Dance Pop

Mamma
You gave life to me
Turned a baby into a man

And, mamma
All you had to offer
Was the promise of a lifetime
of love

Now I know
There is no other
Love like a mother's love for her child

And I know
A love so complete
Someday must leave
Must say, "goodbye"

Goodbye's the saddest word I'll ever hear
Goodbye's the last time I will hold you near
Someday you'll say that word, and I will cry
It'll break my heart to hear you say, "goodbye"

Mamma
You gave love to me
Turned a young one into a father

And, mamma
All I ever needed
Was a guarantee of you loving me

'Cause I know
There is no other
Love like a mother's love for her child
And it hurts so
That something so strong
Someday will be gone, must say "goodbye"

Goodbye's the saddest word I'll ever hear
Goodbye's the last time I will hold you near
Someday you'll say that word, and I will cry
It'll break my heart to hear you say, "goodbye"

But the love you gave will always live
You'll always be there every time I fall
You are to me the greatest love of all
You take my weakness, and you make me strong
And I will always love you till forever comes

And when you need me
I'll be there for you, always
I'll be there, your whole life through
I'll be there, this I promise you, mamma

I'll be your beacon through the darkest nights
I'll be the wings that guide your broken flight
I'll be your shelter through the raging storm
And I will love you till forever comes

Goodbye's the saddest word I'll ever hear
Goodbye's the last time I will hold you near
Someday you'll say that word, and I will cry
It'll break my heart to hear you say, "goodbye"

Till we meet again
Until then
Good bye mama[emoji3064]

**********

Baada ya kumaliza msiba, nilimuomba kaka Edwin tuwe na kikao kuhusu familia yangu, nilitaka usaidizi ili kama utakuwepo na kutofautiana basi ajue namna ya kusuruhisha.

Nilifanya hivyo kwa kuwa niliumia sana na kifo cha mama, nilibaki speechless. Sikuwa tayari kuamua ugonvi kati ya Rosemary na Violet endapo ungetokea.)

Niliwatambulisha Violet na watoto wake kwa Rosemary, kisha Rosemary na watoto wake kwa Violet.

Walijuana kwa mara ya kwanza, nilichoshukuru ni Violet kuonyesha heshima kubwa kwa Rosemary japo anamzidi umri. Nikajua aliepata akapata.

Wote walifurahi kufahamiana, na watoto walipendana pia. Baada ya kuona hakuna tatizo kaka aliondoka kurudi kazini. Kaka aliondoka nikabaki Arusha nikiwa na Violet na Rosemary na watoto ndani ya myumba moja.

***
Baada ya wiki moja, Violet aliomba awachukue Elisa (turning 5 yrs) na Elise (turning 3 yrs) ili wakasomee Finland kwa kuwa kuna elimu bora sana.

Mwanzo Rosemary alitaka kupinga lakini nilimhakikishia kuwa watoto watakuwa salama, tukafanya utaratibu wa vibari kisha wakasafiri.

Ilibidi Rosemary aende nao ili kusaidiana maana watoto bado wa dogo, nilibaki peke yangu Arusha.


*******

Rosemary alikaa wiki mbili Finland kisha akarudi, tukiacha huzuni ya kupoteza mama, alikuwa amefurahi na kufarijika sana.

Siku nne tangu arudi alianzisha mazungumzo yaliyonifikirisha sana. Nilibaki najiuliza mke wangu kaona nini Finland? Angejua vizuri kuhusu Violet asingejisumbua

Rosemary: " Daddy nikuletee chai ama juice."

Edson: "Asante, ila naomba juice, chai nitakunywa baadae."

Rosemary: "Sawa daddy." "karibu juice mume wangu" ,

aliongea akiwa anaweka juice juu ya meza ndogo pale garden.

Edson: "Asante sana ua langu."

Rosemary: " Kwa hiyo mimi ua wewe nyuki, sawa nyuki wangu?."

Edson: "nitakung'ata mpaka ukome."

Rosemary: "Tuache utani, naomba tuongee jambo mume wangu, ila naomba usikwazike."

Edson: "kutoa ahadi bila kujua jambo lenyewe ni ngumu sana, ila wewe sio mgeni na mimi, naamini hutanikwaza."

Rosemary: "ni kuhusu dada Violet."

Edson: " mke wangu, usihofu kuhusu watoto, wako salama kabisa."

Rosemary: "tulia baba, sio hilo, nina jambo lingine kabisa."

Edson: "karibu na Kusikiliza."

Rosemary: " Asante daddy."

"Kwanza hongera kwa kuzaa na mwanamke mrembo vile, kweli mume wangu pale ulichagua."

Edson: " ammmh, umeanza sio?."

Rosemary: "hapna daddy sikuwahi muona, ni mwanamke mrembo sana, ndio maana ulinisaliti ndani ya wiki tu, nimeongea kwa kirefu sana na dada Violet, nimegundua bado anakupenda sana.

Sio rahisi kwa mtu asiekupenda kuchukua majukumu mazito kama yale. Kukaa na mtoto wa mtu sio rahisi daddy. Pia anakushukuru kila mara, ana moyo mzuri"

Edson:" mliongea nini huko?."

Rosemary: nilimdadisi kuhusu mahusiano yenu, alinieleza mambo mengi, ila zaidi hajaseba baya kwako, anakushukuru tu kwa upendo wako kwake. Anaonekana bado penzi lake kwako halijaisha."

" Fikiria angekuwa hakupendi, asinge kuja msibani, asingeomba watoto wakasomee kwake. Ana moyo mzuri sana. "

Edson:" inaonekana hamkubakiza kitu, haya niambie lengo la sifa zote hizo. "

Nilianza kupata mashaka, kuwa huenda Violet ameamu kulianzisha ili nigombane na mke wangu, aondoke, yeye apate nafasi.

Rosemary:" najisikia vibaya sana kuona mimi niliingilia penzi lako na Violet, sikupaswa kufanya hivo, yule Mwanamke anakupenda sana, nina uhakika hata wewe unampenda. "

Edson: "nani alikwambia uliingilia? mke wangu, hayo yalisha pita, tuangalie tunakoelekea. "

Rosemary:" nakuomba mume wangu, sikukosei heshima, nakuomba mfariji Violet, ana kupenda. Kwanza hata ukizuga hapa najua bado unatembeza nae. Huna uwezo wa kuficha ninachotaka kunja kwako"

Edson: " uko sawa kweli au, hayo ya kutembea nae yamefikaje hapa tena?"

Rosemary: " Niliamua kukuacha ili tuwe na amani, najua unanisaliti kwa Violet."

Edson: " unajua au unahisi, utaniamini lini"

Rosemary: " unafataga nini uturuki?"

Edson: " lini tena nimeenda huko?"

Rosemary: "muone macho yako tu yanakusuta, uwe unachoma moto zile tiketi kabla hujafika nyumbani."

Nilipigwa na ubaridi, nilikuwa nafungia zile tiketi kwenye safe yangu binafsi, kumbe safari ya mwisho nikaacha kwenye begi. (walisema za mwizi ni arobaini )

Edson:" uturuki naenda kibishara tu, sema una lako jambo. "

Rosemary:" hahahaaaaa, wewe huyo? Mume wangu huwezi uongo, tuache hayo, nilishajua najisumbua tu, kikubwa heshima na ujitunze, wajali watoto wako basi. Wanaume hamlizikagi."

Nikanyamaza maana nimekamatwa tena, sina utetezi. (kuchepuka fani.)

Rosemary: " kuweni huru, umfariji tu"

Edson:" ni mfariji vipi?, mbona unasema ananipenda, wewe vipi upendo wako umeisha kwangu?. "

Rosemary: "Hivi Edson, mimi naweza kuacha kukupenda? kisa nini?. Wewe ni zawadi niliyopewa na Mungu, tangu nilipokufungulia moyo wangu, sijawahi kufunga, huo usaliti unao nifanyia utajibu mwenyewe kwa kuvunja kiapo, mimi changu kiko pale pale."

"Nakupenda nawe unajua hilo. Nakuomba mimi mkeo, msipate tabu ya kujificha mrudie Violet. Anastahili kupata faraja ya mtu ampendae, usijifanye hujui hilo huku mnakulana, heshima iwepo.. "

Edson:" ndivyo alivyokutuma?. "

Rosemary:" huna uwezo wa kuachana nae ungeshafanya, hajanituma mume wangu, ni mimi nimekuomba na nimekuruhusu. Kwanza hamtakuwa mnaonana mara kwa mara maana yuko mbali. Inapotokea mmekutane, mtimizie furaha yake, hakikisha hutuletei magonjwa hapa. "

Nilichokigundua kwenye maongezi ya mke wangu, alikuwa na mashaka kama Violet atakaa na watoto wake muda mrefu.

Alitaka awe na uhakika wa watoto wake kusoma kule hatimae wawe na maisha mazuri. Akaona njia ya kuwa na uhakika, ni mimi kuendelea na Violet baada ya kujua siwezi achana nae."

Edson: " unanitafutia sababu tuachane au una lengo gani."

Rosemary: "jamani daddy, mbona umewaza jambo gumu hivyo. Mimi niachane na wewe niende wapi, nakosa nini kwako ili nikakitafute huko.,mbona sijaondoka baada ya kujua bado unanisaliti."

"Tafadhali mme wangu, sina sababu nyingine, natamani mwanamke mwenzangu nae apate furaha moyoni, najua maumivu ya mapenzi. Dada Violet anaumia moyoni, naomba ulitambue hilo mme wangu. Na mjiheshimu mna watoto sasa"

Edson:" Kwa hiyo uko radhi kuchangia penzi, kuchagia kitanda?. "

Rosemary:" penzi tulishachangia, na bado unanichanganya nae, huku mnakokuwa tunachangia kitanda." malizaneni huko huko sio ndani kwangu, nilichoruhusu tu ni msijifiche ila heshima iwepo, huna hata haya."


Edson:" akija hapa nyumbani, nini kitatokea".

Rosemary: " nimesema hapa kwangu big no, usinizarau kiasi hicho. Hilo usije kujaribu maana tutagombana."

Edson : "sasa nisije jaribu kwani nimekubali ombi lako?,

anyway nimekusikia ila nitakujibu siku nyingie, hasa nikishajua msimamo wa Violet kuhusu hili."

Rosemary: " Eti msimamo? Haya, dada Violet hawezi kataa maana ni mwizi mzoefu, atafurahi kupata ruhusa. Yule mwananke anakupenda, hata anavyokuangali kuna ujumbe machoni kwake, sema tu huwa humfatilii au unazuga nikiwepo.

Tulipia soga na mke wangu, moyoni nilikuwa na furaha kupewa ruhusa, ingawaje nilimkazia kama sitaki.

Nilimdadisi Violet ili nione kama nimetegwa, alionyesha kutofahamu chochote. Nikaamua sitasema neno, ila siku nikikutana nae nitamjaribu nisikie atasemaje.

Rosemary aliamua ku risk penzi lake kwa ajili ya watoto, mwanamke ni mtu wa ajabu sana.

Hatabiriki, leo Rosemary anampigia debe Violet kwa sababu tu ya kutamani watoto wake waishi ulaya.

*********

Wapendwa wafatiliaji wa mkasa huu, nawaomba radhi, sitaweka mwendelezo kwa siku mbili (Jumapili na Jumatatu). Kwa namna ya ajabu, leo nimefikia sehemu ya kifo cha mama yangu, na mama yake Rosemary amefariki leo.

Ninahudhuria mazishi ya mama mkwe (Mama yake Rosemary). Naweza kuwepo hewani ila Sitakuwa na utulivu wa ku-post mwendelezo. Mniwie radhi sana, nivumilieni. Jumanne kama kawa [emoji120]

View attachment 2573176View attachment 2573177View attachment 2573179View attachment 2573183
[emoji120]
 
Iwe ni movie basi maana ngachoka😭😭😭
Anayoyaongea nshomile kama ni ya kweli basi tutafurahi kwa muhusika bado yuko hi,lakini vile vile atakuwa ametupatia funzo jipya..

Ila kwa upande mwingine hata kama ni kwel staged wewe umepungukiwa nini? Hajakuomba mchango,hajakutapeli kwani kakukosea mini?

Ni vyema kuwaza nje ya box lakini hakuna ubaya kuendelea na mdundo uliopo kundini kwani,kwani hakuna madhara kwako,wala kwa muhusika
Jamani iwe ni movie basi ngachoka mi😭😭
 
Part Thirteen A: I know how to keep a man alive.

[emoji176]I bring you Brazilian love.

2008 - 2011,

Flashback

Nikapata penzi mfululizo siku mbili bila kuondoka, nikampa pesa za asante kwa penzi lake, akazikataa kwa madai hajiuzi, na ile zawadi ya shopping inamtosha sana. nilimshukuru kwa kunikarimu tangu nimemfahamu, kesho yake nikaondoka, nilienda Rovaniemi kwa wiki mbili.

Violet alinipeleka kwa psychologist, baada ya muda nilikaa sawa, nikaacha pombe kabisa. Nikajiapia sitakunywa tena pombe.

*****

Flashforward

Nilipewa options ya kufanya "written interview ", natumiwa maswali, kila swali lina muda wa kujibu,nikichelewa linaondoka linakuja lingine.

Hatimae nilimaliza na majibu yakaja hapo hapo{kama vile mtihani}, nilipata nafasi, nikawa nimechaguliwa kwenda Munich, ujerumani.

Ni kazi ambayo contract yake inaisha kila mwisho wa mwaka, unatakiwa ku-renew contract kila mwisho wa mwaka kama unataka kuendelea.

Unapo apply unatakiwa useme kama uko tayari kufanya kazi nchi yoyote. Kulikuwa na nafasi za Munich ujerumani, Toronto Canada, Sao paulo Brazil na Rosario Argentina.

We had to wait about a month or three months for a response after we applied for a work permit.

If you succeed, the embassy or consulate will give you a residency permit in the form of a visa, which will include authorization to work in Germany.

The residence permit for the purpose of obtaining qualified employment is issued for a maximum of four years .

Pia unatakiwa kuwa na health insurance (international) , na uwe na kiasi flani cha pesa kwenye account yako. Haya yote unatakiwa kuyaonyesha kwa valid and delinquent documents.

Baada ya mwezi mmoja nilipata visa yangu, nikawa tayari kusafiri. Baada ya kupata work permit, tulitakiwa ku-report ndani ya 7 - 14 days to secure your position.

Niliwauliza wenyeji wangu kuhusu makazi, nikaambiwa kuna hotel ziko karibu na eneo ninakotakiwa kufanya kazi, natakiwa kujilipia, ila nikisha report na kusaini mkataba wataanza kunipa allowance kwa ajili ya chakula na malipo ya hotel.

Kwa msaada wao, nilifanikiwa kufanya booking hotel inaitwa Daniel.

Baada ya siku moja toka nimekata tiketi, nilianza safari ya Munich.

Nilipata tiketi ya 'Emirates' hatiame safari ikaanza toka Julius Nyerere Int to Munich Airport 'Flughafen München'.

Huu uwanja upo Ersing and Freisinh districts, Bavaria. Kutoka JKIN mpaka Munich airport ni 6659 km, tulitumia kama masaa 8 ma dakika 47 hivi.

Tulifika Munich International Airport salama. Nilikuwa nimechoka sana maana usiku wake nilitumika sana, kutoka Airport mpaka ilipo Daniel hotel ni kilometa 39, kama dakika 40 kwa gari. Sikusumbukasana maana nilipokelewa na gari la hotel.

Nilikuta hotel nzuri sana, iko mtaa wa 'SonnenstaBe '5. Nilionyeshwa chumba changu, nikaoga, nikala nikapumzika maana nilikuwa hoi.

Nilikuwa bado na siku mbili kufikia zile siki 7, nikaitumia siku ya kwanza kuitafuta office husika, nilipojua ilipo nikaanza kuzunguka kuosha macho ili kesho yake nika report rasmi.

Nilifurahia utaratibu wao wa usafiri, kuna kadi zinaitwa Munich City Pass/Munich Cark, ukiwa nayo unaruhusiwa kutumia usafiri wa uma bure. You can ride the U-train, bus, tram, S-train, and even regional trains as much as you want.

Uzuri ni kwamba, mtu aliepewa kazi ya kutupatia taarifa, alikuwa mungwana sana. Nilitumia nafasi hiyo kutaka kujua huduma tunazo jitegemea na tunazopewa na mwajiri wetu.

Mambo mengi yalikuwa tunajitegea lakini tunapewa allowance kwa ajiri ya ku-clear bills za cakula na malazi.

Kesho yake nilienda ku-report rasmi, nilipokelewa vizuri sana, tulitumia siku hiyo kukamilisha taratibu muhimu ili nianze kazi. Nikapewa siku tatu za kupumzika na nikapata accommodation allowance yangu.

Nilianza tour ya kuushangaa mji, kutokana na ugeni nilizunguka mtaa huo ilipo hotel kisha nikarudi hotelini kwangu.

*******

Carl, 'means “free man'

Baada ya siku tatu za mapumziko, nilianza kazi rasmi, ilikuwa ni kazi ya kuchosha na kuchukua muda mwingi sana. Ukirudi uko hoi, sina kipepeo wa kuniliwaza, nabaki kuangalia tu movie.

Baada ya miezi kadhaa kupita, nikawa nimeuzoea mji. Pale kazini walitusaidia kupata ile kadi ya usafiri 'Munich City Pass/Munich Cark', usafiri ukawa rahisi.

Kama ilivyo kawaida ya sehemu ya kazi, nilipata rafiki mjerumani ila baba yake amewahi kufika Tanzania (serengeti national park).

Jina lake Carl, 'means “free man'. Alikuwa anajua Tanzania kuna wa masai tu, akawa ananiita maasai. Alinipenda sana kila mda wa lunch ukifika anakuja ofisini kwangu akitaka tuondoke.

Alinifundisha mambo mengi sana, alikuwa rafiki mzuri. Hakuwa anapenda tabia yangu ya kujifungia hotel wakati Munich ni mji wa starehe.

Mara kwa mara alinipa mwaliko wa kwenda club, nikawa namkwepa.

{Sikutaka kumuaibisha kwa kuagiza pepsin maana pombe haipandi, niliampa kuacha kabisa baada ya mambo ya kule Ethiopia} .

Baada kama miezi mitatu, hatimae nilikubali mwaliko wa Carl, alifurahi sana akaniambia twende tukafurahie maisha. Alinipeleka club iko mtaa huo huo ninaokaa 'sonnenstaBe' 5, inaitwa Do brasil (disco club, night club).

Hii club kuna lounge tofauti tofauti, kuna sehemu unawakuta wale wacheza uchi ' Naked dancers' kwa kijerumani wanawaita {Nackte Tänzer} , kuna chimbo lina slots za kamari, chimbo la disco (hapo full kubambiana tu) n.k.

Tulichagua sehemu tulivu tukakaa, Carl ni mlevi hasa, yaani cha pombe kweli ila yuko smart. Niliagiza non-alcoholic drink, mwenzagu alikuwa anapambana na machozi ya Mambo.

Baada ya dakika chache akanitaka twende lounge yenye 'Nackte Tänzer' 'Naked dancers', sikupenda wazo lake. Nikamwambia napenda kukaa pale yeye aende tu atanikuta.

Nikibaki pale nikishangaa shangaa ila kwa tahadhari ili asijue yoyote, baada ya dakika kumi tangu Carl aondoke, masikio yangu yakapata ugeni. Ilikuwa sauti nzuri sana pembeni yangu.

Voice: "Du bist wohl neu hier" {You must be a new here.}

nilisikia sauti tamu sana pembeni yangu. Siku elewa alichosema, ila nilijua ananiambia mimi.

Edson: "Pardon."

Voice: "'Sprechen Sie Deutsch?'
(Are you fluent in German.?) akajibu

Nikaona leo nimeingia choo cha kike, hapa nafanyaje sasa. Si bora anipotezee tu.

Edson:" You're fluent in English.?'

Nikamuuliza

Voice: "Yes, of course"

Edson: "Please use English"

Nilimuomba baada ya kuona jahazi linazama.

Voice: 'Please allow me to join you.?' akaomba."

Edson: "How can I refuse to have someone as beautiful as you by my side?"

Voice: "Hi, I'm Isabella."

Edson: "This is Edson."

Isabella: Are you an outsider in Do Brazil? I haven't seen you around.

Edson:' Very little. "

Isabelle:" Where are you from?"

Edson: "I'm from Tanzania, have you ever heard about it?"

Isabella :"Nah, just tell me."

Edson: "Tanzania lies in Eastern Africa, along with Kenya and Uganda."

Isabella: "Okay, I know Kenya, I used to climb their mountain called Kilimanjaro."

Edson: "Mount Kilimanjaro is located in Tanzania, it appears to be in Kenya, but if you want to scale it, you need to enter the territory of Tanzania."

Isabella: "Really? l didn't know."

Edson: 'That's right'

Isabella: 'OK, why are you sitting' solitary? '

Edson:" I'm relaxing, I'll mess up later."

Isabella:" Are you with someone.? "

Edson:' Yes, I have, she's here beside me and I'm speaking to her now, her name is Isabella

Binti wa watu akamwaga tabasamu pana sana, nilimwagizia kinywaji, akaendelea kunywa na story za hapa na pale.

Alikuwa mcheshi sana, naweza sema alikuwa mcharuko maana alikuwa hatulii kwenye mada moja.

Baada kama ya masaa matatu pale club, Isabella akanitega. Nikaona sio mbaya nitupe nyavu, huenda nikapata kitoweo.

Isabella: "Danke, Herr Edson, ich habe es genossen, ich bin sehr glücklich."

{Thank you Mr Edson, I have enjoyed your company, i' m very happy} .

Hapa pombe ilikuwa imekolea kiasi, akawa muongeaji yeye na mkalimani yeye.

Edson:" Thank you Isabella, pleased to meet you. "

Isabelle: "Can I leave now? "

Edson: "I thought we'll be together tonight."

Isabella: 'I'm just exhausted, are you ready to go? '

Edson: "Right, I'm ready, let's go."

Isabella: "greife nach meiner Hand" {reach for my hand}

Niliondoka na mtoto Isabella mpaka hotel nilipofikia , nikamuomba anisubiri pale mapokezi.

Nikaenda room fasta kuweka mambo sawa, nilichukua begi dogo lililokuwa na Pesa, passport na documents muhimu nikaweka uvungu wa kitanda, nikatenga pesa kiasi nikaweka kwenye begi kubwa.

Lengo langu ni kwamba asijue kama nina begi lingine, ili kama ana lengo baya, niwe salama.

{Usimwamini mtu kwa muonekano wake}

Nilimfata, nikamwongoza mpaka chumbani, tulipumzika kidogo nikamwacha hapo ili nikaoge kisha na yeye akaoge, alikuwa anaongea na simu muda huo. Nikiwa bafuni, nikasikia mlango unafunguliwa, akaingia Isabella akiwa mtupu.

Tukiwa bado tunaoga, akaanza romance. Baada ya mda akawa ameiva, nikamshauri tumalizie kuoga kisha turudi chumbani nitampa hicho anachokitaka. Sikutaka kuuza mechi kwa 'one night standing , maana condom zilikuwa kwenye bag.

{Tangu Rosemary alipoguandua bado natembea na Violet, akawa na tabia ya kuniwekea condom kwenye begi. Mwanzo nilijisikia vibaya kwa kuona kama haniamini,ila alipokuja kunipa sababu zake nilimwelewa sana, alitaka awe salama, hataki nimpelekee magonjwa. Nakutana na wasichana warembo sana, damu inachemka, siku nikishindwa kujizuia basi nikumbuke kutumia condom} .

Tuliporudi chumbani tulianza kazi rasmi. Isabella alikuwa mtundu sana, pia alikuwa na ' appetite' sana. Nilihisi ni zile pombe alizokunywa, ila baadae nilikuja kujua sababu.

Isabella: "My love, I want to give you the love of Brazil, not many people can do it, I don't know about you."

Edson: "I like different pleasures, I'm ready, but I need you to spare my life, I have children to feed." niliongea kwa utani tukacheka.

We had a romance for a while, and she began panting. Nilimnyonya shingo nikawa nashuka taratibu, nikamvua nguo alizovaa nikaacha chupi na sidiria pekee.

I began to suck her slowly as she growled with pleasure. Nikawa na kazi ya kutafuta sensitive part yake, nilishuka na ulimi mpaka kwenye mapaja sikupata, nikahamia masikioni na shingoni pia akawa na raha ya kawaida tu.

Nilipofika kwenye chuchu, akanibana na miguu, nikajua nimefika. Nikaanza nazo taratibu sana,

First I pour saliva on all the breasts and then I tickle the areolas with my tongue then grab the nipple and suck for some time.

I lowered my hand, she was sore, I licked her bellybutton first, she was now screaming with joy, my hand was on her clit..

I removed her panties, she was defenseless and she was pulling me. I put on a condom and I started scrubbing her clit with the head of my phallus. It wasn't long before she poured the porridge, and now she's ready to go.. Alimaliza mapema sana, ute mzito

I know that one way to make a woman happy is to let her take it from there. I tell her that she is responsible and that I will do the same. I asked if she could tell me where she wanted to find me.

Led me to the stand-up dog position. She was upright with her feet shoulder-width apart and leaning forward toward her waist. She places her hands on the table.

So I got up and went in from behind, holding her hips for support.

She adjusted the angle of her hips to increase and decrease the amount of stimulation on her clitoris. She would turn her head and look back at me and make eye contact while she was having sex." Then, again, she reached its point of reference.

We moved on the edge of the Sex bed , it's good for penetration in depth. She was lying on her back, her hips were on the bedside, and I flirted with her. She put her feet on my chest, options that allow her to control which angle is most pleasurable...

She is good at twisting her waist, we take about 30 minutes, slowly and deeply when she reached the double peak.

Nikiwa nakaribia kufika akawa anatetemeka miguu na mapaja, akawa kama ana kifafa hivi. Akaning'ata kwa nguvu kifuani huku amenikumbatia kwa nguvu. Nikamwaga, akawa anaweweseka.

Kisha akaomba maji ya baridi anywe nikamnyima, nikawasha AC akapoa.

Alilala kwa saa nzima hana nguvu, mpaka nikaogopa, nilimpa maji ya uvugu vugu akanywa, akaniangalia sana haamini kama ananiona ama anaota.

Isabella alipopata nguvu jambo la kwanza, akaomba nisimuache hata kama nimeoa, nilichomfanyia alikuwa anasikia tu kwa rafiki zake, hakuwahi kutana nacho.

*****

Sharing is caring.
{Maandalizi ya dawasa}

{ In fact, the clitoris has no biological function apart from pleasure. The clitoris has the most nerve terminations per square inch of any part of the human body.

Knowing each section of the clitoris is a bit like setting up a unique outfit.

Every body part and makeup underneath is different. Yet they all have the same pieces.

Glans clitoris. This is the outside knot that many people think about when they imagine the clitoris. Even though it's the size of a pea, it holds thousands of nerve endings.

Clitoral hood. Everyone loves a good hood, and the clitoris isn't any different. The labia minora connect to form the clitoral hood. As you get excited, the hood retracts slightly to expose the glans.

Clitoral body. The clitoral body is inner. It connects to the acorn and hangs from the pubic bone via a ligament.

Corpora cavernosa. The clitoral body consists of two cavernous bodies which become upright during arousal.

Paired crura. The clitorial body branches into two appendages. These "legs" overlap the urethra and vaginal canal and expand with blood when you are lit.

Vestibular bulbs. The vestibular bulbs form a reversed heart, with the urethra and vaginal canal at the neckline of the heart. The bulbs reach through and back of the lips, around the vaginal canal. They also inflate when you are warm and disturbed.}

*****

{The G-spot is often described as a dense nerve erogenous zone of approximately 2 to 3 inches in the vaginal duct along the front wall.

Well, some research suggests that, rather than being a totally different entity from the clit, the G-spot is actually the place where the clit’s bulbs form the heart shape that hugs the canal. This means that the G point is a specific portion of the clito that can be stimulated internally.
be stimulated internally.

Different techniques can create different types of pleasure, and how you will stimulate yourself is completely yours.

Here are some different clitorial stimulation techniques you could try.:

"Yes, it has friction." Use your fingers to slide up and down or back through the clitoris and the clitoral cover.

Tap dance. A soft tap movement on the clitoris and hood can help you build slowly to orgasm. Pick up where you want to go.

Don't undress." You don't have to have hands and you don't have to undress. (It may be best if you leave these jeans on!) Ride a pillow and grind pelvic to get there.

Peace pinch. Use the first two fingers as a sign of peace to gently pinch the clitoral hood and pull gently upward and downward. Or you can slide your fingers back and forth.

Fly around the planet." Use a finger to draw slow circles around your clit and hood, touching your lips as the process unfolds.

Great places to play." Because of the unique shape of the clitoris, you can become excited and even orgasm by massaging other erogenous zones either alone or with the clitoris. You might want to touch the lips, the vaginal opening, the inside of the thigh, the perineum. A woman Lie down on your stomach and step back for easier access to everything, including the clito.}

***

It's also a great position to get your grind on while touching the rest of yourself.

“Home Penetration." The inner structures of the clitoris surround the vaginal canal, therefore the penetrating vagina with the fingers can bring happiness.

Combine with any of the above external stimulation techniques for a double delight. }

*****

{Mara zote, wakati wa maandalizi anafika kilelenimara ya kwanza, nikiingiza kitu ndani, nahakikisha anafika mara mbili, ndipo na mimi najiachia nifike mara ya kwanza., Hapa inabidi uwe vizuri kiafya na uwe na utulivu, ni ngumu ku-control usifike kileleni, ila ni rahisi ujijizoesha. Unapata raha sana ukifanya kwa muda mrefu bila kufika, ila isiwe marathon.}

*******

Next

Part Thirteen B: I know how to keep a man alive.

[emoji180]Don't quit me, even if you're married.

View attachment 2578667View attachment 2578668View attachment 2578670View attachment 2578672
[emoji120]
 
we mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina
Ooh sina sina sina sina
Nafasi nyingine
Ya kuwa na wewe
Nasikitika mi naumia
Lakini nina nina nina nina
Shukrani moyoni
Yakuwa miongoni
Mwa walo nienzi mi
Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina A... A .Amina
Amina Amina
Aah aah aah aah
Aah aah aah aah
 

Attachments

Angekuwepo rafiki nisingewaza, rafiki kipenzi ninaempenda hayupo tena duniani swahiba nilompenda kwangu moyoni.
Nakumbuka maneno yake busara zake alikuwa mtu wa watu huyu mtu, nuru haina mwanga mbele kiza rafiki nilompenda amenitoka nilikuwa na marafiki sikatai rafiki wa kweli bye bye,hakufa kwa ngoma loo salalee,siku yake ilishafika pema alale, huzuni isokwisha moyoni nashika tama sioni.machungu nilonayo hayasimuliki.
Swahiba amezimika kama mshumaa hainuki wala kukaa, kila mmoja ana uchungu kazi ya Mola imebidi,wengi tulikupenda tunalia hatujilizi makusudi, lakini Mungu alikupenda zaidi, swahiba umelala kama masikhara umerudi zako kwa Mola nenda swahiba mimi nipo kwenye msafara Mungu akipenda nitakuona kesho akhera swahiba. Hiki ni kilio chetu wote Wana.yeye mbele sisi nyuma, swahiba amenitoka bado kijana.
 

Attachments

Back
Top Bottom