Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

"Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo"
[emoji120][emoji120][emoji24]
Yaani Baba nimekaa namsikilizia hio nyimbo machozi yakanitoka,ila ndo mipango ya Allah S.W.
 
Acha tu mwanzo nilikuwa naona kama uwongo ila kadri siku zinavyo kwenda naona ni kweli.kila nafsi itaonja umauti na marejeo ni kwake Mola.
Natamani iwe uongo...walau ht kwa 24hrs [emoji24]
 
Jamaa mwandishi mzur tu wa story hata ukimfatilia kwenye post zake,na hii pia ni story amejitahd
 
Bonus portion: Mpakani mwa ujana na uzee.

Education

Watoto wa Violet na wa Rosemary wote wamepata elinu yao nchini Finland.

{Elisa na Elise walichukuliwa wakiwa wadogo 2005, baadae mdogo wao Edson Jr2 aliungana nao}.

Violet alifanya mpanga wa kuwatafuta uraia ili wanufaike na elimu ya bure, na faida zingine.

Walipata uraia kabla ya kuanza shule {Miaka 6-7} .

*****
Edson JR1 Sept 28, 1999 (Mtoto wa Violet)

2006(7 yrs old)-2014(16 yrs old)
Comprehensive school education {Primary & Secondary} . {9 yrs}

2014 - 2017, 3 yrs,credit 180.

Bachelor degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

2017-2019, 2 yrs, credit 120

Masters degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

*****

Eila Edson. Sept 28, 1999 (Mtoto wa Violet)

2006(7yrs - 2014.

Comprehensive school education (Primary & Secondary ). (9 yrs)

2014-2017, 3 yrs,credit 180

Bachelor of Business Administration in International Business.

Lapland University of Applied Science.

2017-2019, 2 yrs, credit 120

Masters of Business Administration in International Business.

Lapland University of Applied Science

*****
Elisa Edson. Jan 2 2000 (Mtoto wa Rosemary )
2007 (7 yrs) - 2015.

Comprehensive school education (Primary & Secondary ). (9 yrs)

2015 - 2018, 3 yrs, credit 180. Bachelor Programme in Strategic Finance and Analytics.

LUT University.

2018-2020, 2 yrs, credit 120

Master's Programme in Strategic Finance and Analytics.

LUT University. ...

*****

Elise Edson. June 12, 2003 (Mtoto wa Rosemary )

2010 (7 yrs) - 2018.

Comprehensive school education (Primary & Secondary ). (9 yrs)

2018 - 2021, 3 yrs, credit 180. 'Bachelor of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design.

Häme University of Applied Sciences

2021-2023, 2 yrs, credit 120

'Masters of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design.

Häme University of Applied Sciences

*****

Edson Jr2 April 22 2005 (Mtoto wa Rosemary )

2012 (7 yrs) - 2020.

Comprehensive school education (Primary & Secondary ). (9 yrs)

2021 - on going

Bachelor in Finance.

University of Oulu

**********

Edson Jr3 August 8,2009 (Mtoto wa Isabella )
2016 (6 yrs) - 2023.

Comprehensive school education (Primary & Secondary ). (9 yrs) anamaliza secondary mwaka huu Munichen, Germany.

****

Electronics company

MD: Edson Jr1

Finance: Edson Jr2

Elise (huyu anataka kufanya mambo ya kijamii)

***

Beef company

MD : Elisa

Finance: Eila

**********

Wapendwa wasomaji wa mkasa huu.

Napenda kuwashukuru sana toka moyoni, kwa kuwa nami hapa kila siku. Nathamini uwepo wenu sana. [emoji120]

Niwaombe radhi, nalazimika kukatisha huu mkasa, kutokana na likizo yangu kubakiza siki 4 tu. Nilianza kusimulia march 15, nikadhani nitamaliza kabla ya April 15. Ila imeshindikana. Pamoja ma kuweka episodes ndefu, nimefikia 52% /100%. Nilitoa angalizo wakati naanza kuwa ni mkasa mrefu, ila nitajitahidi kumaliza kwa wakati, kwa kweli imekuwa vigumu kumaliza kwa wakati. [emoji120]

Tukitunukiwa uzima na muumba wetu, tunaweza kupata nafasi ya kuumalizia huu mkasa kwa hizi 48% zikizobaki. Hapa sitaki kuahidi maana siijui kesho yangu nisiwe muongo. [emoji120]

Nawashukuru sana memba wote mlio like na ku comment kwenye huu mkasa. Nathamini sana upendo na mchango wenu. [emoji120]

Nawashukuru sana memba wote mlio nifata PM kwa mambo mbali mbali, mazuri na mabaya, chanzo ni huu mkasa. Nathamini sana mawazo yenu. Tulichokubaliana nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kitimie, ila kisipotimia basi haikuwa bahati yetu. [emoji120]

Nawashukuru sana memba wote mlio nifata PM kwa shida mbali mbali baada ya kuusoma huu mkasa, mkaamini naweza kufanya jambo kwenu. Nathamini sana imani yenu kwangu, sikuweza kufanya kila mmoja alichotamani, ila hata mawazo niliyowapa ni msaada pia. [emoji120]

Wanashukuru sana memba wote mlioona fursa na kunifata PM kwa matumaini ya kuwa mtafanikiwa kutimiza matamanio yenu. Niwahakikishie kuwa nilichowajibu ndicho nilichomaanisha. Nathamini sana imani yenu kwangu ila sijakubaliana na mawazo yenu. [emoji35]

Ushauri wa bure kwa baadhi ya wanawake wa jamii forum, na wanaume wenye personality ya kike hapa jamii forum.

Andiko hili liwe hekima kwa wenye hekima, nuru kwa walio vipofu na liwe ukungu kwa wapumbavu, watu wasiojua umuhimu wao wenyewe.

"Usije ukampa Mtu tupu yako kwa tamaa ya moyo, usije jiongezea uchungu katika siku zako za mwisho.

Heri mtu yule aitunzaye nyeti yake isipulizwe na kila upepo wa nje, isipokuwa wa nyumbani kwake.

Basi nanipumzike kwa maana hainifai kuendelea ikiwa elimu ni nyingi duniani lakini watu wamechagua ujinga.

Muwe na wakati mwema. [emoji120]
#Mpakani mwa ujana na uzee
#Akili za kizee.
[emoji120]
 
Daaah, samahanini wanajukwaa....ila nimesoma kisa alichokua anaandika nimekuja kukutana na habari za umauti wake. Naomba nitoe maoni yangu, na kama yuko atakayekwazika anisamehe. Kifo kinauma sana tena sana wala hakijawahi kuzoeleka. Ila....hakuna aliyefariki hapa...my guts tells me so. Narudia tena....naamini hajafariki.
 
wewe kaa pembeni, huna kichwa cha kuchambua mambo kwa dakika 5 mbele.

Huna akili hiyo, Hata niingeelezea hapa kila details ya kwanini nasema hii ni staged huwez kunielewa

Umenielewa bwana mdogo?
Ndugu yangu pole kwa matusi ya hapa. Sijui kwanini members wengi hapa wako so naive. Mimi naungana na wewe katika hili..sijui kwanini watu wanashindwa kutuliza kichwa na ku connect dots. Anyway.kila mtu ana maoni yake
 
Daaah, samahanini wanajukwaa....ila nimesoma kisa alichokua anaandika nimekuja kukutana na habari za umauti wake. Naomba nitoe maoni yangu, na kama yuko atakayekwazika anisamehe. Kifo kinauma sana tena sana wala hakijawahi kuzoeleka. Ila....hakuna aliyefariki hapa...my guts tells me so. Narudia tena....naamini hajafariki.

pole kwa msongo wa mawazo..
so tar ya kuaga iliyotolewa pia ni magumashi..
nakuelewa hata sisi tuliopata neema ya kuwasiliana muhusika kabla ya umauti wake.
tunataman iwe ndoto..
maana kila mmoja kwa sehemu yake
tunamuhitaji mno.
 
Part Fourteen A: Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

[emoji253]As you know, all flowers depend upon bees to pollinate.

Sweden 2012 - 2015

Flashback

Ikiwa imebaki miezi miwili visa yangu iishe, nikiwa nafanya taratibu wa kurudi Tanzania nikasimamie biashara zangu. Yakatoka majina ya watu wanaohamishwa, na langu likawepo.

Pale kwetu yalitoka majina mawili, wote tukahamishiwa Sweden, kuna watu walitoka Sweden wakaja Ujerumani. Tulibadilishwa tu vituo vya kazi.

Niliamua nirudi kwanza Tanzania, kuangalia biashara inaendeleaje. Muda wote huo Rose alikuwaa anakuja kila baada ya miezi mitatu. Sikutaka kurudi, nilitaka na yeye apate nafasi ya kusafiri mara kwa mara.

Flashforward.

* **
Nilihakikisha baada ya kusoma barua ya Isabella, nikazichukua hizo chupi zake, nikaziflash chooni, baada ya kunusa harufu yake kama alivyotamani. Ile ya jana yake hakuwa ameifua, ilikuwa na harufu ya uchi wake kabisa.

Nilichukua ile barua nikai scan, kisha nikaiweka kwenye email yangu, ile karasasi nikaflash. Lengo hapa nilitaka kujiepusha na cha ukorofi Violet, yeye akija anakagua mpaka mifuko ya nguo zilizokabatini. Ana wivu wa ajabu sana dada wa watu.

** **
Nilikuja kujua sababu ya mimi na mwenzangu wa kike kuhamishwa siku ya kutuaga. Aliekuwa boss wetu ni mwanamke, alikuwa anatembea na supervisor wetu. Huyu mwanamke ameolewa na supervisor kaoa pia. Nilikua nakutana nao mara kwa mara Sehemu za starehe, mume wa yule boss alikuwa anafanya kazi ya serikali mji mwingine, muda mwingi mkewe yuko peke yake.

Baada ya mimi kujua ni wapenzi, walianza kujishtukia maana hawakutaka watu wajue pale ofisini, kumbe supervisor anamla receptionist wa boss pamoja na boss mwenyewe. Katika harakati zao, yule receptionist akafuma awasiliano ya supervisor na boss, akakiwasha kwa supervisor.

Boss akakuta ugonvi, akamuita supervisor kujieleza, supervisor akasema kuna habari za uongo zimesambaa ofisini kuwa anatoka na boss. Mleta habari hajulikani, ikabidi moja kwa moja wajue ni mimi, kwa vile nafahamu na nimewakuta mara nyingi.

Boss akaona bora niondoke chini yake (hana uwezo wa kunifukuza, lazima atoe sababu na ushahidi kwa wakubwa wake.) Akaona bora atuombee kubadili kituo cha kazi kwa sababu anazojua yeye. Hatiame tukahama, akabaki na supervisor wake, na siri yao.


** ** ** **

Nilipofika Tanzania,nilikuta biashara inaendelea vizuri, Rosemary alikuwa msimamizi mzuri sana. Aliwamudu watu wake. Niliamua kuwapa shemaji zangu ajira ya kudumu, yule wa tours akaenda Mweka kuongeza ujuzi upande huo, akawa boss kamili akichukua nafasi yangu.

Nilinunua land cruiser nne kwa ajili ya wageni, na min bus moja. Bishara ilikuwa imechangamka, nikaamua kuiongezea thamani, Violet alinunua mbili na mimi mbili na min bus.

Yule wa biashara ya maduka, akawa msimamizi wa maduka yote na ule mgahawa, baadhi ya maamuzi anafanya yeye, akishindwa ndio anamjulisha dada yake.

Nilimweleza Rosemary kuwa nina mkataba mwingine wa kwenda kufanya kazi Sweden. Mikaomba ruhusa yake kama anaridhi. Hakuwa na neno, nae alishanogewa na safari.

Rosemary: "Nakuruhusu nenda mume wangu, huu ndio wakati wa kuiandalia familia yako maisha mazuri kabla hujazeeka."

Edson: "Asante sana mke wangu, ndio maana nakupenda sana, ni mwelewa."

Baada ya mapumziko ya mwisho wa mwaka, nilianza mipango ya safari ya kwenda kusaka pesa. Nilitakiwa kwenda mji wa malmo uko kusini mwa sweden.

Nikatafuta hotel nzuri hapo malmo, nikapata Elite hotel, Ilikuwa jirani na ofisi nitakayofanyia kazi.

Baada ya kukamilisha taratibu zote, hatimae nilienda kigamboni kumuaga kaka na familia yake.

Edwin: "Karibu sana baba mfini."

Edson: "Duuu mmenibatiza jina jipya sio baba mngoni tena."

Edwin: "Ha ha haaaa, hulipendi?"

Edson: "Mimi ni nani hata nichukie jina la kupewa na kaka."

Edwin: "Yule mzungu ni hatari sana, shemeji yangu akilegeza kamba atanyang'anywa."

Edson: "Haitawezekana bro, Rosemary ndie mmiliki halali, Mfini ni mpangaji tu."

Edith: "Karibu shemeji langu, roho yangu."

Edson: "Mmmmmh usiniponze huyu jamaa hakosi bastola."

Tukacheka wote, brother akainuka kutaka kwenda chumbani huku anacheka

Edson: "Si unaona sasa, ameshapata wivu tayari"

Edith: "Acha asuse, niko na baba Purple hapa, tutaenda zetu ufin, abaki na hiyo bastola yake."

Edwin: "Kwa hiyo penzi limehamia kwa baba mfini ha ha haaaaa, nitaleta mjapana hapa."

Kaka aliongea na kufunga mlango

Edson "Shikamoo shemeji yangu, nimekumisi sana."

Edith: "Marahaba mume, tena usiku tulikuongelea na kaka yako, kumbe na wewe umeamua kuja."

Edson: "kumbe niliongelewa, basi nina maisha marefu sana."

Edith: " hakika,ulee wajukuu kwanza."

Tulipiga soga, kaka akajiunga pia, mchana tukala chakula pamoja, kisha nikaawaga ili nikajiandae na safari.

Edson: Nilisikia Catherine yuko Namibia, kuna siku alinitafuta."

Edith: " alipata nafasi ya kuajiliwa huko, lengo letu maishani ni pesa ili zitusaidie kuendesha maisha yetu. Walimpa ofa nzuri kuliko hapa, akachagua huko. "

Edson:" visuri, kikubwa ni kupambana tukiwa bado na nguvu.

Edith: " Mwanao Careen yeye alipenda gwanda za baba yake, yuko hapo ngome.

Edson:" Sasa itabidi Charles aende ujerumani, nina rafiki yangu kule, nilimuomba anitafutie nafasi kwa ajili yake. Amepata nafasi kwenye kampuni ya vipodozi, ila malipo ni mazuri sana kwa vile ni kampuni kubwa na huyo rafiki yangu ana cheo pale."

Edith : " Asante sana mume, mwanao atafurahi sana, toka amemaliza chuo anafanya tu na NGO's ila hataki kubaki hapa nchini. "

Edson:" Caressa naondoka nae, Violet amemtafutia nafasi, atakuwa chini ya uangalizi wake kwa kuwa ni binti mdogo bado."

* *

Malmo is a seaside town of southern Sweden. It is located at the east end of the Oresund Bridge, along highway and rail bridge that leads to Copenhagen, Denmark..

Then I booked the hotel, it is called Elite Hotel Savoy, this hotel is situated in a historic building, directly opposite Malmö Central Station and the airport bus stop. Free Wi-Fi, a sauna and a buffet breakfast are provided.

Nilichagua Superior Double Room, kutoka kwenye category zao, kilijumuisha ukubwa wa 15 m², a large double bed, City view, Inner courtyard view, Ensuite bathroom, Flat-screen TV, Tea/Coffee maker, Electric kettle, Iron Free and WiFi.

Maisha ya Sweden hayakua ya uhuru sana kwangu kama ilivyokuwa ujerumani, Violet alitumia vyema nafasi ya kuwa karibu nae, ni mwendo wa masaa 7 tu kutoka Rovaniemi mpaka Malmo. Akawa anakuja mara kwa mara, Ijumaa anaondoka jumatatu, weekend yote ananifungia room nisiwaone wa Swedish.

{The distance between Malmo and Rovaniemi is 1385 km, the best way to get from Rovaniemi to Malmo is to fly which takes 7h 8m.}

Pia na mimi nilitumia huo Ukaribu kutengeneza bond na vijana wangu, tukawa tunapeana zamu na Purple, anakuja Malmo na mimi naende Rovaniemi kuongea na vijana.

** ** **
Hapo kazini nilikutana na binti mmoja mzuri sana, alikuwa ni receptionist wa boss wetu, alikuwa mcheshi sana.

{Kila mwanamke ni mzuri, lakini wapo wazuri zaidi, kasoro pekee unayoweza mtoa labda ni tabia na mengineyo ya sirini, lakini mwonekano, unaweza kumeza mate mpaka ushibe. }

Tukawa na mazoea ya kawaida tu, ile kama co-workers, alikuwa na tabia ya kuniangalia sana kwa kuibia sehemu ya tango harafu ana tabasamu yanaisha, nilianza kumsoma ila sikutaka kuendekeza uhuni, isitoshe kwa uzuri wake lazima ana mtu, nisije pata matatizo bure nikiwa bado mgeni wa mji.

Baada ya kugundua najua kuwa anainiangalia tango, na hakuona kama kuna reaction yoyote kutoka kwangu, siku moja akanipa note tukiwa tunatoka.

** **
Hello handsome.

Why don't you appreciate the town's flowers?
As you know, all flowers depend upon bees to pollinate.

Have a wonderful time.

Livia

** **

Nilisoma ule ujumbe, nikajua ni uchokozi unaanza, maana mimi sikuwa napatikana weekends kwa vile nafungiwa room na Purple. Nikaamua kujifanya mshamba, asie na makuu wala maajabu, kumbe Livia amevutiwa na mwinuko wa cadet maeneo ya zipu.

{ Sijui wadada wana enjoy nini kuangali eneo la zipu, ila na sisi macho ni kwenye chuchu na kalio, acha kila mmoja ashinde mechi zake. }

I always like to wear a classic look while I'm at the office. More precisely, in an office, a business meeting, or in any official presentation, I prefer to wear a classic style. Examples include simple trousers, and shirts.

I also like the laid-back style when I'm in the street. In fact, when I wear something that has no specific design, but is cosy to wear even for long hours, it is known as "casual style for me. Since then, it doesn't have a specific combination, design, or colour; therefore, I prefer wearing at home, walking, shopping, or while doing this unofficial job,

Nilikuwa mpenzi wa perfumes, napenda kunukia, napenda kuwa smart, chaguo langu la kwanza ni Acqua di Gio Pour Homme for men. Longevity is also strong with it lasting about 6 hours. Hapa Purple hataki kusikia harufu nyingine, mpaka aipende yeye ndipo niruhusiwe kutumia.

Chaguo la pili nikiichoka hiyo ya kwanza, aliniruhusu Bleu de Chanel. is described as a woody aromatic fragrance, which is identified by the combination of "aromatic herbs" and an "opulent center and base."

Pia Aventus Creed Eau De Parfum Spray iko poa sana. .

Kwa kweli nilipokuwa Sweden, nilijitambua zaidi, niliamua kufanya anachopenda Rosemary na Purple ili nisiwakwaze, nimeshakula raha sana sasa napunguza ili niangalie familia na wapendwa wangu. Pi sababu ya pili ni watoto wamekuwa wakubwa, hawatakiwi kuona ugonvi na mama zao, wala tabia mbaya. Ni wakati wa kujichunga zaidi.

Sikuwa hata na muda wa kununua nguo, Violet alihakikisha kila akiona nguo nimeivaa sana, ana replace, hataki mpaka ianze kupauka. Alikuwa anapenda sana cheni, ila zikanishinda, sio mpenzi wa mapambo. I am simple, intelligent, my jewels are watch, belt, ring and spectacles..

Katika mazingira hayo, Livia akanizimikia sana, ila sikumpa nafasi ya mazoea hayo. Mara kadhaa alinialika club na kwenye live bands, stand up comedy nk, sikuwa natokea, nilimwambia weekends nakuwa Finland akajua namtania tu.

Akazidisha mitego, kiasi flani nilishawazoea wanawake warembo , lakini nikashindwa kumzoea Livia, alikuwa mzuri sana yule dada. Hatimae baada ya mitego mingi, akagundua uzaifu wangu, akautumia vizuri. Nilipenda sana kuangalia chuchu zake zilizochomoza juu ya Blauzi anazovaa, sikuwahi muona na bra.

Akaanza kuniongelesha kwa madeko, kama vile binti anajifunza kutamka maneno, akazidi nitesa, akagundua akifanya hivyo huwa naondoka haraka, maana mzee anashtuka na nimechomekea, nikaanza kumkwepa huku namwangalia kwa kuibia.

Akajiongeza akaomba awe ananipa lift tukitoka kazini mpaka hotel, kwa kuwa nilipata distinction masomo ya Cuba, nikamkubalia ila akawa ananishusha hotel tofauti na ninayokaa, akiondoka nachukua taxi kwenda hotelin kwangu.

Nilifanikiwa kumaliza miezi saba, bila kuingia mtegoni mwake, akanza ku lose confidence kwangu, nikaanza mtesa kihisia. Siku moja Ijumaa, akaniomba kama sitasafiri, anipe lunch, tupate na muda wa kufahamiana. Nikakubali, tukakutana Jumamosi.

Edson: "Are you married?"

Livia: "No, I'm single."

Edson: "Who are you staying with?"

Livia: "I'm staying with my parents, I'm not leaving before I get married.

Edson:" How old are you. "

Livia: "Stop asking too much, a woman doesn't like to be asked how old she is."

Edson: "Really, but why."

Livia: "There are men who love young women and there are others who love older women. Better not bother asking for a woman's age, you will only be deceived."

Edson: "Thanks for the advice, I didn't know this before.

Livia: "What country do you belong to?"

Edson: "Tanzanian, you know it, or have heard about it."

Livia: "No, I don't know, but one of my friends went to Serengeti, Kenya, and she said there were tall people there and they were wearing sheets."

Edson: "Ha ha hahahaaa, the Serengeti is not in Kenya, it is a park in Tanzania, and these people who wear linens are Masai."

Livia: "Really?"

Edson: "Indeed."

Edson: "But I do remember her telling me the Serengeti is in Kenya."

Edson: "Ask her for your benefit, but the truth is that in the land of Tanzania there is a park bordering the areas of Mara and Arusha called Serengeti. There are masai living with wildlife in Ngorongoro. If you don't believe me, get me a present and I'll take you on vacation.

Livia: "Ha ha ha, which present is suitable for you now pretty boy, I really want to see for myself because my friend says it is very nice. Are you a masai?."

Edson: "Right, or because I'm not wearing sheets like you heard?"

Livia: "She told me that the Maasai are black and tall, you have fair skin, that you are unlike them."

Edson: "You'll believe one day, prepare a gift for me and I'll fulfill the promise.

Livia:" Now, tell me what gift you want, otherwise I'll bring you a very nice flower, let it feel in your room all the time."

Edson: "Ha ha, so the bees come for pollination."

Livia: "By the way, you understood my mystery in that note, why haven't you responded to me yet?"

Hapa akabadili sauti, akawa anadeka, nikajua ameshaijua hiyo zawadi ninayoomba.

{ Kawaida yangu situmiagi nguvu kutongoza, nacheza na hisia na mazingira husika, maana sio mkali wa rhymes wakati wa kutongoza. Natongoza kama natania hivi, sijawahi kuwa serious kama vile naomba kazi}

Kutokama na vimazoe na mitego ya muda mrefu, nikampenda kweli huyu binti, hakuna majaribio katika kupenda, ukiuzoesha moyo utapenda tu.

Edson: "Look, Livia, I'm not staying at this hotel, I'm still lying to you, I live elsewhere, I did it because my wife is very rude."

Livia: "Do you have a wife? The woman is Swedish or Masai."

Edson: "Yes, I'm married, my wife is Finn, which is why I always go there."

Livia: "She's pretty, isn't she? Don't worry, I won't let her know me."

Edson: "Pretty as yourself."

Livia: "pick one."

Edson: "She's my wife, you're my friend, you're my pretty."

Akatabasamu, akanywa wine yake, nikawa nimemaliza kazi. Alianza kulimezea mate tango langu, na leo nimekubali aniletee ua ili nyuki wafanye uchavushaji, asali ipatikae.

Edson: "When will you give me this Livia flower?"

Livia : "When do you need it?"

Edson: "Even now, I am very interested in the perfume of the flower."

Livia: "Ha ha haaa, maybe tomorrow night, now I haven't bought yet."

Edson: "Okay, but tomorrow I have an appointment someplace, please, let's formalize this next Saturday, okay, Livia"

Livia: "Don't worry, keep your word, you have to take me to the Serengeti."

Tualiagana, na mrembo yule. Nikachukua taxi kurudi hotelini kwangu, akaenda kwa wazazi wake.

Kuanzia juamatatu mpaka ijumaa ya wiki ya ahadi, Livia alikuwa na furaha sana, akazidi kuliangalia tango langu, akawa anaacha sehemu kubwa ya kifua wazi akiniona, nikaendelea kumkwepa tukiwa kazini, alisababisha tango lisikae kwa kutulia, na huku tumechomekea.

Nilihakikisha namfanya Violet asisafiri, ilikuwa zamu yangu kwenda, nikamjulisha usiku wa ijumaa kuwa sitaenda nina dharura kazini, akaelewa. Lengo langu nipate wakati mtulivu na Livia


** ** **
Jumamosi mapema nikaenda kuchukua hotel mtaa wa tatu, sikutaka ajue ninakaa wapi, sikutaka akutane na Purple.

Kabla ya muda wa lunch, Livia akanitafuta, nikampa location, akashtuka na kuikataa, akasema niende hotel nyingine akanitajia. Sikujua sababu ya yeye kushtuka na kuikataa hiyo, nikaona sio kesi, kama nilipoteza hela za wiki nzima ujerumani na sikukaa hapo hotelini, sembuse huyu ni siku moja. Nikaondoka.

Nilipofika kwenye hiyo hotel, nikakuta ujumbe wangu mapokezi, niende chumba flani. Kufika nikamkuta Livia ananisubiri, tukasalimiana na kukumbatiana, kisha chakula kikaletwa tukala, maongezi yakaanza huku tunakunywa wine isiyo na kilevi.

Edson: "What made you reject the hotel?"

Livia: "I don't love it, they lack good service."

Edson: "You slept in it before."

Livia: "No, I was getting a room for my friend, they were giving him a hard time, I hated it."

Edson: "Sorry. I thought it was an excellent hotel."

Livia: "Thank you, what you said to your wife till she gave you permission."

Edson: "She's not here today, she went to Finland last morning to take care of the kids."

Livia: "Today we're enjoying ourselves."

Edson: "Indeed."

** **


View attachment 2595979View attachment 2595980View attachment 2595983View attachment 2595981View attachment 2595982
[emoji120]
 
Daaah, samahanini wanajukwaa....ila nimesoma kisa alichokua anaandika nimekuja kukutana na habari za umauti wake. Naomba nitoe maoni yangu, na kama yuko atakayekwazika anisamehe. Kifo kinauma sana tena sana wala hakijawahi kuzoeleka. Ila....hakuna aliyefariki hapa...my guts tells me so. Narudia tena....naamini hajafariki.
Nini kinakufanya uamini hivyo? sisi pia tunatamani iwe hivyo ila haiwezekani tena.
 
Part Fourteen C : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

[emoji15]You deserve to know your mistake before you die."

Flashback.
Edson: "Don't worry, you'll enjoy tonight."
Livia: "I want to fulfil my promise, you have provided the colour of my underwear I am wearing."
Nikaona huyu wine imeanza kazi, maana alikuja ameshaonja tayari.
Nikambeba nikatupa kitandani, kilichofata hapo, alinena kwa lugha zote anazojua, alilia vilio vyote, tulilala aliposema mwenyewe ametosheka.
* **
Flashforward.
Penzi na Livia likawa sio siri tena, akashindwa kujificha kazini, kila saa anataka anione,breakfast tupate wote, lunch tule wote, kila mara anataka tango, weekend hanipati. Anachofanya ni tukitoka kazini ananipeleka hotelini anakula tango anaenda kwao.

Kiwanja cha kwanza cha starehe mrembo wangu Livia alichonipeleka, ni club maarufu inaitwa Etage. Ni club ya kwanza kuona ina masharti na bado inakuwa full house, moja ya masharti yao ni dress Code [No strict dress code but please, no shorts or sandals.] hapa wanamaanisha kabisa. Wanawajali sana wateja wao unakutana na tangazo hapo parking.

[Please don't drink and drive, you will find a line of taxis in front of Etage.]

Hii club iko mtaa wa Stortorget 6, Malmo,Sweden• Hapa tulikuta kuna live band siku hiyo, tuka furahia music muzuri.

Baada ya miezi mitatu ya penzi zito, akaomba tukapime tuache condom, nikaona huyu anataka mambo ya Isabella, nikakataa kabisa. Tukapima ila sitaki bila condom. Hakupenda maana alisema mafuta ya kondom yanamletea muwasho, mwishoe nikamkubalia nyama kwa nyama ila nahakikisha namwaga nje siku zote na rapid test kila wiki. .

Penzi likazidi kuchanua, visingizio kwa Violet ili tusionane vikaongezeka, ili nipate nafasi ya ku enjoy na mrembo Livia. Alikuwa anapenda sana stand up comedy, akanionyesha kiwanja kingine chenye hiyo starehe.

Livia alinipeleka ukumbi unaitwa Babel, siku hiyo kulikuwa na stand up comedy show. Ukumbi huu upo mtaa wa

Spangatan 38, Malmo, Sweden. The club hosts stand-up comedy performances along with DJ sets to keep the party going all night long .

* *

Siku moja, tumetoka kazini, tukajiiba kama kawaida, kisha akarudi kwao. Kesho yake hakuja kazini, nikatafuta simu yake haiko hewani. Sikujua amepatwa na nini.

Nilikaa siku tatu hapatikani kazini wala kwenye simu , nikaingia hofu, labda alipata ajari siku nimeacha nae, lakini sina uhakika na kwao sipajui.

Baada ya siku tatu bila kumuona, siku moja nikaona ujumbe, ilikuwa jioni, alitaka tuonane park inaitwa Kungsparken, Malmo. Tuliwahi kwenda hapo wote. Nikataka kujua kwa nini hakuwa hewani, haji kazini na anataka tuonane jioni hiyo.

Meseji yangu ikafika, haikuijibu, nikapiga simu imezimwa. Nikajishauri sana, nikaona ngoja niende huenda amepata matatizo. Nikachukua gari mpaka hapo Kungsparken, sikumuona. Nikiwa nimekaa nashanga shamgaa

Ikaingia sms yenye herufi nne tu, namba ngeni Dc, Rn. Hii code nikaijua: "dont come, run"

Kwa nini na huyu ni nani? Nimefanya nini mpaka nikimbie, ila nywele zikasisimu, nikaona acha niondoke eneo hilo.

Nikarudi bara barani haraka, nikaona taxi nikaingia na kumtaka dereva anipeleke mjini. Akawasha gari, baada ya kama dakika moja nikaona gari nyuma yetu, ni lile lilikuwa limeegeshwa pale park. Nikamwambia dereva,

Nahisi maisha yangu yako hatarini, naomba nipeleke kituo chochote cha polisi haraka.

Taxi driver : "Okay, what makes you feel this way?

Edson: "There's that car behind us, it was in the park, I think they're trailing us."

Taxi driver: "Okay, let me cut to the chase."

Akaingia barabara za mtaani, hatukuiona ile gari ya nyuma yetu, alipofika mtaa flani haujachangamka, movement ya watu sio kubwa, akasimama.

Edson: "Why are we being pulled over?

Taxi driver: "I'm sorry, I have no more fuel, let me find my partner to bring it to me, I won't keep you waiting.

Sikuwa na option, mimi mgeni, sijui huu mtaa unaitwaje, barabara kuu iko mbali. Ila nikapata amani, ile gari niliyoihisi haikuonekana.

Yule dereva akapiga simu akaongea na mwenzake kwa ki Swedish, baada ya muda kidogo ile gari ya Park ikatufikia. Akashuka mtu mmoja, dereva akabaki, akaja upande nilipokaa. Akapandisha shati lake, ili nione kiunoni, alikuwa na bastola.

Stranger: "Be gentle, come down and follow me if you don't want to get hurt."

Nikashuka, dereva hana muda na mimi, nikauliza

Edson: "Hello fella, is there anything wrong with me?"

Hakunijibu, akaonyesha kidole kwenye ile gari.

Stranger: "There is a conversation we will do in that car, don't do anything stupid, follow me."

Nikamfata mpaka kwenye hiyo gari, mlango wa nyuma ulipofunguliwa, nikashangaa kumuona Livia ameiva sura kwa kulia. Kumbe toka nafika pale park, walikuwa wananiona, wakaamua kunichanganya na zile sms ili nijae hofu niondoke, walishaiandaa taxi wakijua lazima nitumie taxi, maana waliniona nilivyokuja.

Sikutaka ubishi, nilishajua kinachoendelea, na bastola nimeiona, mimi mgeni. Nikapanda mlango ukafungwa. Nyuma nikawa mimi na Livia

na mbele dereva na yule mwenye bastola.

Dereva hakunisemesha kabisa

Livia: "Ludvig pls don't do this to him, it's me who did you wrong, please let him go, he knows nothing.

Hapa nikashtuka kusikia sijui lolote, mimi nilizani tumetekwa wote, kumbe Livia anawajua, nikakumbuka siku ile ananiambia mme wake hajawahi mfanyia ninachomfanyia. Nikahisi huyu mwenye bastola ndie mumewe.

Alishika barabara ya norra vallgatan kisha kashika norden skioldsgatan kisha barabara ya Stora Varvsgatan, hatimae tukafika.

Muda wote hakuna alie jibu wala kuongea, tulitembea kama nusu saa, gari ikaingia kwenye geti moja la Serviced Apartments Malmo.

Tukashushwa, Livia hakuacha kulia, na hakuna aliemjari, ikabidi nimshike kumsaidia kuinuka, akanipa push ya maana nikajikuta chini bila kutegemea.

Yule mwenye bastola, akamsemesha kwa ki Swedish, akaimuka, wakatuongoza kuzunguka jengo, tukaingi ndani.

Driver: "How are you? , the driver questioned me."

Edson: "good"

Driver: "Do you know her?"

Livia akatikisa kichwa akimaanisha nikatae, yule dereva akacheka kwa sauti

Edson: "Yes i know her."

Naanzaje kumkana binti mrembo kama yule. Nilipokubali tu Livia hakuniangalia tena.

Driver: "Who is she to you?

Edson: "I demand to know who you are, so far I'm not aware of my mistake."

Yule mwenye bastola akataka aniwashe teke la mbavu, dereva akamkataza.

Driver: " Yes, you deserve to know your mistake before you die."

Nikakodoa macho, kufa tena? Nimefanya nini, nikajiuliza.

Driver: "This woman is my wife, you're screwing her, even though she told me the truth. I want to hear what you have to say.

Livia akanikazia macho nisiseme ukweli, mpaka hapo sikuwa najua amewaeleza nini na mimi natakiwa nieleze nini.

Edson: "OK, I'll speak the truth."

Driver:" who is she to you.?"

Edson:" She is my lover, she never told me if she is married."

Driver: "It's true, how often did you sleep with her?

Edson: "Only three times."

Niliamua angalau nisidanganye sana, maana sijui kafungukaje kwao. Ingawa ukweli ni kwamba mpaka mara ya mwisho tunaachana, alikuwa na container la magoli.

Driver: "You have been honest, he lied that you did not bang her"

Livia: "Ludvig my husband, this man doesn't know what he is answering, he just fears for his life."

Hapo nikajua kumbe yule dereva ndie mume wake, anaitwa Ludvig.

Akanigeukia

"Man, when did I sleep with you, you seduced me, but I didn't answer you, why are you lying. "

Mume wake alikuwa mtulivu sana, hakutaka kumpiga wala kumkemea, alikuwa anamuacha aongee, kisha anampuza.

Livia: "Truly, my husband, can you believe it? Why should I sleep with that man, what do I miss to you? , please, let him go so we can talk?

Ludvig: " Your name? ."

Edson: " I'm Edson"

Ludvig: "Edson, you have been very kind and have given your cooperation without interruption. This woman is my married wife, you have slept with her three times. Even if she hasn't told you the truth, you can't avoid the mistake.

I forgive you on three conditions, one you have no obligation to give this information to anyone, the day you raise your mouth, I'll kill you myself, the second you pay for the damage you caused and the third that obeys me, I shall give you life. "

Aliongea akiiweka mezani bastola yake, ilikuw bado mafichoni.

Edson:" Thank you very much Ludvig, I will tell no one, how much damage should I pay, and how do you want me to be biddable to you?

Ludvig:" Damage is screwing my wife, and the amount is all the money you have in your account. Obey me also, if you agree that I give you life, you will have money, you will know it if you obey my orders."

Edson:" All right, but I don't have a lot of money, we can go to the bank and give it to you."

Livia:" My husband, don't you think he is sane? You can't see that he simply answers with fear. "

Hakuna aliemjibu, nilikubali haraka ili nipate nafasi ya kutoka pale, huenda ningepata msaada.

Ludvig:" We're not going to a bank, we're using that computer to transfer money."

Niitumia account ya pale pale Sweden, haikuwa na pesa nyingi, ilikuwa mishahara ya miezi 9. Nikawepa password wakaangalia salio.

Ludvig: "That money isn't even worth the price of my wife's underwear, so I see you're joking.

Huyu jamaa mshenzi sana, nimesota miezi tisa kukusanaya hiyo pesa, eti haitoshi kununua chupi ya mkewe. Nikapoteza tumaini,

Edson: "No, please call my wife and she will send me more money.

Simu ikaletwa, nikampigia Rosemary

Ludvig: " only English can be spoken."

Hapa walihofia isijekuwa naongea na mtu mwingine, ili kumpa taarifa ya nilipo.

Edson: "My wife, pick up the keys to the wardrobe, the middle drawer, open the safe, and its number is #6684"

Rosemary: "What's wrong, hubby? , why don't you calm down, not even a greeting?"

Edson: "Do as I said first. We don't have time for that."

Allifanya nilichosema,

Edson: "Umeiona hiyo bahasha nyeupe?"

Rosemary: "Ndio"

Edson: "Zingatia hayo maelekezo, maisha mema."

{Nilivyoanza kazi za kusafiri, nilinunua strong safe, nikaweka taarifa na documents zote muhimu, bank statements, hati za nyumba, kadi za magari, nk. Niliandika ili siku ikitokea nimefariki, familia yangu ichukue mali zangu na pesa zangu bank.}

Nilikata simu haraka, nikasikia maumivu kwenye mkono wa kushoto, risari ilipenya begani upande wa nyuma. Ikazama ndani, nikapata maumivu na mshtuko. .

Ludvig: " I warned you that you should only speak English"

Niliugulia maumivu huku damu zikichuluzika, Livia akawa mbogo, anataka amvae mume wake kwa uchungu, Mume wake akamhamisha chumba, akamfungia huko akarudi.

Ludvig: "Face the wall, kneel."

Nikatii

Ludvig: "I give you three minutes, reconsider the terms I've given you."

{Si kwamba sikuwa na pesa za kuwapa, zilikuwepo kwenye account mama, tatizo hawataji kiasi, inamana hawa hata niwape billion 1, watasema ndogo. Acha nife, mke wangu na watoto watazitumia.}

Edson:" It's not that I don't want to give the money, I'm poor, I've been working for 10 months now. I gave away all the money I saved, I don't even know how my kids will live. Pardon me, I asked your wife, she wasn't being honest with me."

Ludvig: "Since you don't have the money to pay for the mess you caused. You have only one option, be honest with me, I will protect you and pay you well, if you refuse, you will die right here."

Niliwaza nikaona bora nikubali kuwa mtiifu kwake, japo sijajua kivipi na hajataka nijue kabla sijakubali.

Edson: "I'm willing to be docile to you, if you tell me what you mean."


Ludvig: "Be quiet, you have no option, say whether you are ready or not.

Aliongea huku anaondoa usalama kwenye bastola yake.

Edson: I'll take your orders.

Ludvig:" Think of the day you break your oath is the day you become my number one enemy…

Edson: "I can't break it, just tell me what I'm up to, I'm ready."

Edson: "Come on, kneel, say your last prayer."

Nikatii, Nikanyamaza nikafumba macho, nikasubiri kusikia risasi ya kichwa.

Ludvig: "Turn around "

Nikageuka, akaweka bastola kwenye paji la uso wangu, machozi yakanitirika, ila sikubabaika nikamkazia macho ya huruma.

Ludvig: "This is the payment for fucking my wife."

Akavuta kirimi cha bastola, kikasikia taaa, kavuta tena taaa tena haraka haraka, kisha akasema.

Ludvig: "The day I see you again with my wife, or you give that information to someone, or you stop obeying my orders, these ten sounds you have heard today, you will no longer hear them in your life,

Akashusha bastola, kumbe alitoa risasi kwenye magazine.

{ Ndio ile Jcb alisema ukisikia poaaa jua imekukosa, alielenga hana shabaha, amefanya makosa}

Ludvig: "You'll contact me through Hugo, he knows where you are."

Edson:" Okay . "

Livia akaletwa

Ludvig: "As of today, if you approach Edson, know that you signed Edson's death. I won't feel sorry for you anymore. You should seal his wound and get out.

Livia hakujibu lolote wala kuniangalia

Alichukua taulo akanipangusa zile damu, akaniwekea pamba, akanifunga na bandeji.

Yule mpambe akamuita Ludvig pembeni, kisha Ludvig akamwambia Livia

Ludvig:" Remove the bandage, please. "

Akauchukua, unga alipewa na yule mpambe, akaninyunyizia kwenye kidonda. Nilipata maumivu sana, kisha Livia akanifunga, damu ziliacha kutoka.

Ilikuwa saa tano usiku yule Hugo akaniongoza kurudi kwenye gari, akanipeleka mpaka semehu kuna usafiri wa uma akaniacha hapo, akanionya nisiende hospital, jeraha litapona haraka, hawakuchukua chochote nilichokuwa nacho, walisafisha account pekee.

** ** **

Song: Whose Bed Have Your Boots Been Under?
Artist: Shania Twain
Released: 1995
Album: The Woman in Me
Genres: Pop, Country

Whose bed have your boots been under?

Whose bed have your boots been under?
And whose heart did you steal I wonder?
This time did it feel like thunder, baby?
Whose bed have your boots been under?

Don't look so lonely, don't act so blue
I know I'm not the only girl you run to
I know about Lolita, your little Spanish flame
I've seen you around with Rita, the redhead down the lane
Whose bed have your boots been under?

And whose heart did you steal I wonder?
This time did it feel like thunder, baby?
And who did you run to?
And whose lips have you been kissin'?
And whose ear did you make a wish in?
Is she the one that you've been missin', baby?
Well whose bed have your boots been under?

I heard you've been sneakin' around with Jill
And what about that weekend with Beverly Hill
And I've seen you walkin' with long legs Louise
And you weren't just talkin' last night with Denise

Whose bed have your boots been under?
And whose heart did you steal I wonder?
This time did it feel like thunder, baby?
And who did you run to?

And whose lips have you been kissin'?
And whose ear did you make a wish in?
Is she the one that you've been missin', baby?
Well whose bed have your boots been under?

Come on boots
Oh yeah
Bring it boys

So next time you're lonely don't call on me
Try the operator, maybe she'll be free

Whose bed have your boots been under?
And whose heart did you steal I wonder?
This time did it feel like thunder?
Whose bed have your boots been under?
And whose heart did you steal I wonder?
And this time did it feel like thunder, baby?
And who did you run to?
And whose lips have you been kissin'?

And whose ear did you make a wish in?
Is she the one that you've been missin', baby?
Well whose bed have your boots been under?

I wanna know whose bed, baby
Whose bed, whose bed
Oh oh baby (whose bed, whose bed)
Tell me, whose bed, I wanna know (whose bed, whose bed)
You better start talkin'
Or you better start walkin'

Next

Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

[emoji176]She cried as she slapped my lap.

View attachment 2597291View attachment 2597292
[emoji120]
 
Kwa kweli kila kitu kinawezekana, tumepata msiba huko Oman kafariki shangazi wa ukoo na baada ya masaa mawili tumepokea taarifa na mama yake pia amefariki kwa presha.
 
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.

Baada ya kusitisha uhusiano na Livia, na kwa kutambua kabisa nimesamehewa mara nyingi na Vio na Rose, nikaamua sitalala na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu Rosemary na mchepuko wangu Violet.

Kila nilipopata tamaa ya ngono na mwanamke mwingine, nilikumbuka kovu la risasi nikaacha kabisa. Nikaamua kumpa ruhusa Violet akae na mimi pake hotelini, na awe anaenda kwa watoto mara moja moja. Akikaa wiki kwangu, kwa wototo wiki mbili. Maana mam yake nae alianza kuzeeka.

** **
Mwaka 2013 July, nilikutana na Pastor Quinton katika mizunguko ya kikazi, alikuwa mcheshi sana, anapenda waafrika aliwahi kuishi Nigeria . Tukawa marafiki akanikaribisha kwake.

Nilifurahi kukutana na Pastor, nikaamini kuna sababu ya yeye kunipenda ndani ya muda mfupi, nikakubali mwaliko kanisani kwake. Ni kanisa dogo tu, lina waumini wengi waafrika kutoka Ghana na Nigeria, na mataifa mengine pia, wazungu hawakuwa wengi sana.

Liko mtaa wa Vastra Hindbyvagen 18, Malmo, Sweden, ni umbali wa kilometa 5.5 kutoka Elite hotel sio zaidi ya dakika 20 kwa gari.

The Redeemed Christian Church of God, Restoration Assembly (Pentecostal church in Malmo)

{No Matter What You’re Good Enough
We believe life is not meant to be walked alone, but in a community where we look after one another.

We believe in Jesus. To live out his message means we care about the people and place where we live. We encourage each other to follow Jesus’ teachings and work together to make a positive difference in our city.
We’d love to have you join us.

Huyu pastor alitoka Sydney, Australia akaja Malmo kufungua hilo kanisa 2007 akiwa na mke wake na watoto wao wa nne.

Nilipokelewa kwa furaha sana na kanisa zima, nikashangaa maana sikuwa nafahamika ila wao hawakujali hilo, walinionyesha upendo wa ajabu mpaka machozi yakanitoka.

Niliongozwa Sala ya toba na Pastor Quinton mwenyewe , mpaka leo nayakumbuka yale maneno. Nikapewa karatasi ime- pritiwa hiyo sala, sio mchungaji anasema namfatisha.

Kanisa lote liko kimya, niko mbele ya kanisa zaidi ya watu 100. Nikaweka mkono wa kuume kwenye moyo na mkono wa kushoto nikainua juu, nikasogezewa mike nikiwa nimepiga magoti.

** **
Bwana Yesu,

Ninakiri kwamba mimi ni mwenye dhambi. Nimefanya mambo mengi ambayo hayakupendezi. Nimeishi maisha yangu kwa ajili yangu tu. Samahani, na ninatubu. Naomba unisamehe. Ninaamini kwamba ulikufa msalabani kwa ajili yangu, ili kuniokoa.

Ulifanya kile ambacho sikuweza kufanya kwa ajili yangu mwenyewe. Ninakuja kwako sasa na kukuomba uyatawale maisha yangu, nakupa wewe. Kuanzia leo na kuendelea, nisaidie kuishi kila siku kwa ajili yako na kwa njia inayokupendeza.

Yesu, ninaamini wewe ni Mwana wa Mungu, kwamba ulikufa msalabani ili kuniokoa kutoka kwa dhambi na kifo na kunirudisha kwa Baba.

Ninachagua sasa kugeuka kutoka kwa dhambi zangu, ubinafsi wangu, na kila sehemu ya maisha yangu ambayo haikupendezi wewe.

Nakuchagua wewe, ninajitoa kwako.

Ninapokea msamaha wako na kukuomba uchukue nafasi yako sahihi katika maisha yangu kama Mwokozi na kiongozi wangu. Njoo utawale moyoni mwangu, nijaze na upendo wako na maisha yako, na unisaidie kuwa mtu ambaye ana upendo wa kweli, mtu kama wewe.

Ninakupenda, baba, na ninakushukuru kwamba nitakaa nawe milele yote. Unirudishie furaha moyoni mwangu, Yesu. Ishi ndani yangu. Tenda kupitia mimi.

Asante Mungu, katika jina la Yesu ninaomba. Amina.

** ** **
Nikatambulishwa kwa heshima, karibia nusu ya kanisa walikuja kuni kumbatia na mabusu ya mashavuni . Kwa mara ya kwanza nikaona mwanga mpya maishani mwangu. Tango likatii, likaacha kushtuka kila likiona mwanamke mzuri.

Nilipata wasaa wa kuongea na mchungaji na mke wake baada ya ibada, kisha nikakaribishwa chakula kwake, akanitambulisha kwa familia yake.

Nikaomba appointment ili nimsimulie mapito yangu, aone namna ya kunisaidia.
Tulikubaliana atanipa nafasi baada ya ibada ya wiki ijayo.

July 21, 2013. Nilipata wasaa wa kumweleza mapito yangu yote bila kuacha hata nukta. Nakumbuka nilitumia masaa manne kujieleza, akawa ananirekodi, na kuna mengine anaandika kwa mkono kwenye diary yake.

Baada ya maongezi aliniombea, akaniomba nimpe muda wa maombi kisha atanijulisha tukutane anipe majibu. Moyo wangu ulijawa na furaha sana baada ya kuelezea history yangu.

Song: Our God.
Artist: Chris Tomlin
Album: And If Our God Is for Us...
Released: 2010
Genre: Christian

Water You turned into wine
Opened the eyes of the blind
There's no one like you
None like you

Into the darkness You shine
Out of the ashes we rise
There's No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Into the darkness you shining
Out of the ashes we Rise
No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who can ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?
Then what can stand against?

** ** **

Baada ya wiki nzima, mchungaji alinijulisha nikaonane nae,

Pastor: "Bwana Yesu asifiwe ndugu Edson."
Edson: "Amina pastor."
Pastor: "Karibu sana."
Edson: "Asante sana pastor."
Pastor: "Kuanzia siku ile nimekuongoza sala ya toba, wewe umezaliwa upya, umesamehewa dhambi zote, haya tunayoongea leo ni kama hadithi tu."

Edson: "Amina pastor."

Pastor: " Familia yako iko wapi, umesema una wake wawili?"

Edson : "Ni kweli pastor, nina mke wa ndoa yuko Tanzanian, huyu tulifunga ndoa kanisani, mwingine ni mfin, hatujafunga ndoa, ila nilizaa nae kabla sijaona, nilishindwa kuachana nae, hatimae wakaelewana na mke wangu, ninaishi nao wote."

Pastor : "Ndoa ya pili inaweza kuonekana kama tendo la dhambi na wengine, lakini mtazamo huu haukubaliki kwa ulimwengu wote. Hata Biblia haikatai waziwazi kuoa tena; watu wengi hupata furaha katika ndoa zao za pili. Mungu atabariki ndoa ya pili ikiwa itafungwa kwa heshima, upendo, na uaminifu kwa kila mmoja."

Edson : " Nahitaji kujua nafanyaje maana najua maandiko yanasema usimuache mke wa ujana wako, huyu nimekuwa nae toka ujana wangu, nimepata mwanga mpya maishani nikiwa na umri huu, na tayari tuna watoto, natakiwa nifanyeje?. "

Pastor: "Mungu hakukusudia watu wasiofunga ndoa waishi pamoja kabla ya ndoa. Hii ni pamoja na kulala au kushiriki kitanda kimoja pamoja, kuishi pamoja wakiwa wamechumbiwa, au kuishi pamoja lakini bila kulala pamoja. Kwa sababu tu unapanga kufunga ndoa au ikiwa hamlali pamoja haimaanishi kuwa ni sawa.

Lakini jambo lako ni gumu, linahitaji hekima, ni ngumu kufuta kumbukumbu hiyo ili hali mna watoto, wale watoto ni uzao wa uzinzi sasa je itakuwaje, tunahitaji hekima na utu. Lakini kwa Yesu anayo majibu yote. "

Kutoka 21:10-11 "Mwanamume akioa mke wa pili, ni lazima aendelee kumpa mke wake wa kwanza kiasi kile kile cha chakula na mavazi na haki aliyokuwa nayo hapo awali." Hizi ni sheria za Musa kwa wana wa Israel. Na Yesu hakuja kutengua sheria zilizokuwepo, bali alizitimiliza.

1 Wakorintho 7 : Lakini kwa kuwa kuna uzinzi mwingi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke kwa mumewe. Mwili wa mke si wake peke yake bali ni wa mumewe pia.

Waefeso 5:25 inasema, “Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake.

Kumkubali kwako mke wako bila masharti hakutegemei utendaji wake, bali ni thamani yake kama zawadi ya Mungu kwako. Ikiwa unataka kumpenda mke wako bila masharti, daima hakikisha kuwa tanki lake la hisia limejaa

Ushauri wangu kwako, tafuta uso wa Yesu, hakuna analoshindwa, huyu ni mke wa ujana ambae sio mkeo wa ndoa. Huwezi waua watoto wako ili kuisahau dhambi hiyo, kama utabaki na watoto, huna haki kibinadamu kumfukuza mama yao, ila kibiblia anapaswa kuachana nae. Tutafanya maombi, na wewe uwe na ratiba ya maombi kutafuta amani ya moyo ili ikuongoze kuachana na huyu violet.

Kwa kweli, hapa nilipewa mistari mingi sana, lakini tatizo likawa ni kumfukuza yule mwanamke na damu yangu. Nitakuwa nimetenda dhambi pia. Niliamua nitaendelea kuomba, na pastor aniombee, kama nikipata amani ya kumuacha nitafanya hivyo, ila kama sijapata amani moyoni niwatunze.

Pastor hakuchoka kuniombea, niliwapeleka familia yangu yote kwake (Rosemary, Violet, Edson Jr1, Eila, Elise, Elisa na Edson Jr2), wote wliokoka , wakabatizwa , tukaanza maisha ya furaha kama familia moja.

* *
Nilitumia kipindi hicho kuhudhuria kanisani, asubuhi naenda morning glory ndipo niende kazini. Pia nilitumia ujuzi wangu niliojifunza Ujerumani wa kupiga Kinanda, maana mpigaji waliekuwa nae alikuwa ni mwajiliwa mara Kadhaa husafiri.

[Nilisoma music najua kupiga vyombo mbali mbali vya musiki kwa ustadi wa hali ya juu kama vile, violin, drums, solo guitar , base guitar, keyboard nk.]

** * *
Ni katika kipindi hiki nilipata uwezo wa kufunga (fasting), nikagundua raha nyingine kiroho. Ukifunga unakuwa na uwezo wa kutiisha mwili, unajawa na amani, huruma, upendo nk.

Nilianza siku moja, hatimae tatu kavu, ikaja saba, tatu kavu na nne za kawaida, nikahamia 14, tatu kavu na 11 za kawaida.

Fasting yangu ya muda mrefu ni siku 21, tatu kavu 19 kawaida juice ya matunda na mboga na maji pekee kila saa 1 jioni mpaka kesho yake tena. Nilipata nguvu zaidi kiroho, nikayachukia maisha yaliyopita, nikachukia ngono. Hii sijaiacha kila mwaka lazima nifanye mara moja.

Song: Amadeo (Still My God)
Artist: Ryan Stevenson
Album: Wildest Dreams
Released: 2020
Genre: Christian

Songwriters: Bryan Fowler / Micah Darrel Kuiper / Ryan Stevenson

Life can take our breath away
Tragedy can leave a wake
A broken heart won't ever beat the same
Pain can stop us in our tracks
Losing what we can't get back
Shaking the foundations of our faith

No matter what's in my way
No matter the battles I face

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God
You're still my God

The questions keep us in the fight
The answer's never black or white
We may not know until the other side
But even in this in-between
We fix our eyes on what's unseen
The shadows never overcome the light

No matter what's in my way
I know that You won't ever change

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need (You're still my God)
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe (You're still my God)

You're still my God

* **
Next

Part Fifteen A : I hate to see you suffer from my bad behavior.

[emoji176]Your heart needs a pacemaker.
View attachment 2599521View attachment 2599522
[emoji120]
 
Kwa kweli kila kitu kinawezekana, tumepata msiba huko Oman kafariki shangazi wa ukoo na baada ya masaa mawili tumepokea taarifa na mama yake pia amefariki kwa presha.
Duh hii wiki ngumu sana, إنا لله وإنا إليه راجعون tunamuomba allah awarehemu na awasamehe ndugu zetu hao na ajaalie firdaws kuwa ni makazi yao.

Na nyinyi muwe na subra mkuu na mtarajie malipo.
 
Daaah, samahanini wanajukwaa....ila nimesoma kisa alichokua anaandika nimekuja kukutana na habari za umauti wake. Naomba nitoe maoni yangu, na kama yuko atakayekwazika anisamehe. Kifo kinauma sana tena sana wala hakijawahi kuzoeleka. Ila....hakuna aliyefariki hapa...my guts tells me so. Narudia tena....naamini hajafariki.
Natamani pia ningekuwa na Imani kama yako kuona hajafariki,lakini amefariki kweli hakuna sababu ya watoto kuzusha kifo chake au yeye mwenyewe kujizulia kwa mtu ambae hakuwa na ukaribu au mawasiliano na Gibson lazima aone ni mchezo mwanzo nilikuwa siamini ila kadri siku zinavyo kwenda sioni ujumbe wake wowote naamini kweli hayupo katika Ulimwengu huu aendelee kupumzika kwa amani.
 
Daaah, samahanini wanajukwaa....ila nimesoma kisa alichokua anaandika nimekuja kukutana na habari za umauti wake. Naomba nitoe maoni yangu, na kama yuko atakayekwazika anisamehe. Kifo kinauma sana tena sana wala hakijawahi kuzoeleka. Ila....hakuna aliyefariki hapa...my guts tells me so. Narudia tena....naamini hajafariki.
Pambana na guts zako za ovyooo...
 
I heard from Edson.

"Asante sana wote mlioguswa na kuniombea. Nimemaliza ratiba ya hospital, nimepewa bed resting. Naendelea vizuri. Muwe na wakati mwema, Asanteni kwa maombi." [emoji120]
Upumzike kwa Amani mkuu.
 
Ndugu zangu msitokwe na imani, marehemu alikupa ahadi ya kukusaidia basi kuwa na subra madhali watoto mtoto wake akiambiwa na baba yake basi atatimiza nadhiri ya baba yake na hata asipotimiza basi haikuwa ridhiki mtasaidiwa kwa mtu/watu wengine,watoto wamepoteza Baba yao na mama pia hata kuzika hawajazika kweli wakae wanawaza kusaidia watu waloahidiwa na baba yao?!! Msiba mtu akifa kusafirisha ni process hapo aende Finland waage haya wasafishe kuja Tz haya wafike napo wazike ndo maana wakasema ndani ya siku 21 na mtoto mwenyewe alisema atawatafuta ana details alizopewa na baba yake akipata utulivu wa akili,kwahio lazima wazike wakishazika Sasa ndo wakae kama family waongee kama ilivyo familia zote wakimaliza kuzika matanga au 40 wataka kama family kuongea kumbuka huyu ni mtoto lakini ana wakubwa wake eti kwakua mmeahidiwa basi hajazika wazazi wake msaidiwe nyie kuweni na utu basi au kwakua msiba sio wenu??!! mnatokwa na Imani ridhiki haiwaniwi kama yako yako tu utaipata,mie sikuwahi kumuomba msaada Gibson tulikuwa marafiki tunapiga story akaniahidi mwenyewe nifanye biashara iingize pesa zaidi kuliko nilonayo tena kabla hajaenda hospital lakini nilikataa namwambia no nenda katibiwe kwanza mpaka aniambia pesa za mwingine unaonea ubahili lakini hata siwazii sizifikirii kabisa nipate nisapate Alihamdulillah 🤲na hata kauli yake mlicho ahidiana atajitahidi kutimiza asipotimiza basi haikuwa ridhiki tutulizane tuwe na subra mambo mazuri hutokea kwa wale wenye kusubiri,Kila mwenye kusubiri yuko pamoja na Mungu haraka ni ya shetani.
 

Attachments

  • Screenshot_20230505-092956.jpg
    Screenshot_20230505-092956.jpg
    238.5 KB · Views: 29
Our friend Mr leadermoe left us [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji24]
 
Back
Top Bottom