Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

😂😂Umetisha sana Mangi,..
Kwaiyo ulikua ukipiga vyombo kinakuchomoka hatar😂😂
Nikipoga vyombo naweza via hata nguo
huu mwaka wa sita sijamyw pombe

ukwel ni kwamba naonja kvant kidogo wine kiasi. Ila sijanyw nikalewa😀
 
Nikipoga vyombo naweza via hata nguo
huu mwaka wa sita sijamyw pombe

ukwel ni kwamba naonja kvant kidogo wine kiasi. Ila sijanyw nikalewa😀
Safi sana mangi,ila hapo kwenye kvant kidogo bado ni kipengele,mm nimeachaga kila kitu kasoro gomba,ile kitu wameru wa kenya wanaijulia sana aisee,tamu hatar,kichwa kinakua kama kina paa😂
 
Mkuu mimi hilo lipicha la meza na kiti linanikera saNa HaLafu nyimbo za kizungu zinanitiA njaaa kuzisoma 😅
😂😂😂😂Umetisha sana mkuu,
Please kula chuma hicho...

Song: I Will Remember You
Artist: Sarah McLachlan
Album: Fumbling Towards Ecstasy
Released: 1993
Genres: Alternative/Indie, Pop, Folk
Awards: Grammy Award for Best Female Pop Vocal Performance
 
Yan hapo ni kama umenisema mm,with this 40+yrs but my mom still buying clothes for me even boxers 😅,im proud of my mum,hataki kisikia kitu kuwa nishakua baba,nimempatia na wajukuu watatu lkn bado hakubaliani na ukweli,nilishindwaga hadi kuhama mji nilokulia kwenda kutafuta maisha 7bu yake,alikua hataki nitoke kwenye mazingira mbali nae,kivumbi kwenye kuoa sasa,akataka niishi na mke kwenye nyumba ya nyumbani nae akiwepo kwa kisingizio kuwa nyumba ni kubwa,i refuse that.
unanikumbusha mbali sana😀 bi mkubwa alikuwa anatuambia oeni mkiwa na niaka 40 bado wadogo sana. Nimeoa nikiwa na 28 ila nimekaa nae uchumba mda mrefu sasa miaka 10

Nilikuwa natamani nikimbie mbali na nyumbani ila nilihama kwa akili sana ingawa sio mbali napoishi na home kwa wazazi😀
 
Yani ni mm tu ulinisahau swahiba jmn....dah... so 😭😭😭
Lol kipindi hiko Sijui ulijichimbia wapi swahiba napata notifications za likes zako na kusikitika kwani mtoa uzi alisharest in peace anaelekea 2 months sasa!!
Ila uzi mtam sana huu
 
Yan hapo ni kama umenisema mm,with this 40+yrs but my mom still buying clothes for me even boxers 😅,im proud of my mum,hataki kisikia kitu kuwa nishakua baba,nimempatia na wajukuu watatu lkn bado hakubaliani na ukweli,nilishindwaga hadi kuhama mji nilokulia kwenda kutafuta maisha 7bu yake,alikua hataki nitoke kwenye mazingira mbali nae,kivumbi kwenye kuoa sasa,akataka niishi na mke kwenye nyumba ya nyumbani nae akiwepo kwa kisingizio kuwa nyumba ni kubwa,i refuse that.
Bora ulikataa kuishi na wakwe nyumbani sometimes sio poa kabisaa!!
Bora umtafutie mtu wa kukaa nae tu na kwenda kumsalimia mara kwa mara ila sio kuishi hapo!
 
Ila alianza kuongelea habari za dawasa. Hakuwa amewahi pata dawasa, ikawa kama nambania nampa mfin.

Wiki iliyofata nikaanza rasmi harakati za kumtafutia usajili wa dawasa, hatimae akapata usajili rasmi, tena yeye ni ile ya kung'oa koki. Alifurahi sana, nikasamehewa ujinga wangu wote.
😂😂😂😂Kudadeki
 
unanikumbusha mbali sana😀 bi mkubwa alikuwa anatuambia oeni mkiwa na niaka 40 bado wadogo sana. Nimeoa nikiwa na 28 ila nimekaa nae uchumba mda mrefu sasa miaka 10

Nilikuwa natamani nikimbie mbali na nyumbani ila nilihama kwa akili sana ingawa sio mbali napoishi na home kwa wazazi😀
Hatari sana,maza ukielewana nae vzr mkazoeana,kuna mziki utakuja baadae,ila all in all wamama wanatupenda sana vijana wao na hawapo tyr kukaa wiki hawajatutia machoni.
 
Lol kipindi hiko Sijui ulijichimbia wapi swahiba napata notifications za likes zako na kusikitika kwani mtoa uzi alisharest in peace anaelekea 2 months sasa!!
Ila uzi mtam sana huu
Acha kabisa,huu uzi nilikuaga nauona nikaupotezea,ss hadi kuuanza kupita nao ww ndo 7bu,kuna mahali nikakusikia😂 i mean ukaandika jamaa leadermoe hatupo nae ndo nikapata nguvu ya kuanza upya huu uzi maana ule wa kuwaokoa wafin niliusomaga pia,.. so sad aisee😭😭
 
Dawasa si mchezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu sasa ndyo mchepuko, unachepuka nje ya nchi, kwenye hotel nzuri yenye balcony sio unachepukia chumba cha jirani hapa dawasa utaionea bombani tu
😂😂😂Kudadeki wabongo mmeshindikana
 
Mimi huwa nasaidia kutoka moyoni ila sitegemei chochote akinipa sikatai. Ila napenda mashangazi kweli yani😀 t
Ewaaaa....ww tunaendana kwenye mishangazi,ila hapo kwenye msaada hapo🤔 ni kipengele kidogo,mm sitoi kitu kama na yy hatoi mangi,unless basi awe muhitaji kweli kweli.ila kwenye mishangazi hapo dah.....aiseee.. ..😋😋jmn wapi Apostle Analyse ,kule tanga Apostle anapakumbuka vzr,na dar mwamba akanunuliwa hadi PS😂
 
Usipofukuzwa nataka kuwa shamba boy kama Amiri😀

Kwa taarifa fupi tu dada zangu huwa hawalii kabisa
Hv amiri alikujaga kuishia wapi jmn?,maana cjuagi jina la ule uzi tena😂,,amiri sii kwamba alikua anato*ba kuku kule kwenye banda kweli?😂,
 
Ukipewa zawadi unakataa? Nakubali nikipewa mzigo 😀 huwa natoka udenda kabisa nina uroho ndo maana siwezi kuwapa dawasa hawa wadada 🤣🤣🤣
Ila mangi huo uroho usikupeleke kwenye PA! PA! PA! PA! ..mara WAAAAA💨💨💨💨🙊🙊
 
Hv amiri alikujaga kuishia wapi jmn?,maana cjuagi jina la ule uzi tena😂,,amiri sii kwamba alikua anato*ba kuku kule kwenye banda kweli?😂,
Stevemollel mzinguaji kinyama hakuendeleza hii story kabisa
 
Huwa nafanya romance na hela namkuna na wekundu wa msimbazi kama zote yan sitoki jasho anamwaga mpaka akili😀
Hapo kwenye ubongo hapo,mm kuna mmoja alinifyonza weeee....saa hiyo mm nimesimama na miguu nimepanua kidogo😋,akafyonza akafyanza akafyonza weeeeee,sijakaa sawa si akabonyea kwa chini kidogo akatumbukiza ke*de moja mdomoni huku anaendelea kuzugua tango kwa mkono,,,aloo ule utamu cjui ulitokea wapi ghafla nilishusha mzigo wa laana,utasema cjawah kojoleshwa kwa miaka kadhaa,mara kidogo macho yakataka kupoteza uwezo wa kuona nikasema leo ntakua nimekojoa hadi ule ute wa kwenye macho kudadeki😂
 
Back
Top Bottom