.....baada ya kumpima huyo demu kwa kutumia kipimo cha mkojo, akaonyesha yuko positive(mjamzito)_ na kwa bahati mbaya nikakiweka kipimo kwenye suruwale yangu na kukisahau, na leo mke wang amekikuta...Anataka nimwambie nimempima nani, na kwanini nibaki na kitu kama hicho, na kwahiyo nina mwanamke mwengine nje!
Sikio la kufa ndugu yangu......halafu uzembe mwengine bana! hivi jamaa anatembea na mikojo hata halufu haskii? au jamaa anakoga weekend tu so pua lake halitafautishi mkojo na pafyum?
Dah, Ukweli utamweka huru!!!
Uongo utamgarimu zaidi!!!!
Wanaume tulieni na wake zenu!!!!
Mhh wake nao hawatulii :lol::lol::lol::lol:
Dah, Ukweli utamweka huru!!!
Uongo utamgarimu zaidi!!!!
Wanaume tulieni na wake zenu!!!!
Aseme ni mkojo wake yeye mwenyewe:lol::lol:, hivi ukiangalia mkojo kwa macho utajua huu ni wa mwanamke au huu ni wa mwanaume???
Wakuu, nimepata message toka kwa jamaa yangu tunayeheshimiana sana akieleza mkasa uliompata jioni ya leo...
.
Wonders will never end kwa kweli!
Jamani, nashindwa nianzie wapi kumshauri huyu broda cha kufanya!...ha ha haaa!
Hebu jameni pimeni situation hii, na kutoa ushauri kwa huyu raia!