Aseme ni mkojo wake yeye mwenyewe:lol::lol:, hivi ukiangalia mkojo kwa macho utajua huu ni wa mwanamke au huu ni wa mwanaume???
Siku ya 40 ikifika imefika hata ufanyejeNdo yale yale ya kutembea na ganda la condom iliyo tumika.
Jamaa ako mzembe aliweka mfukoni ili iweje? alitaka aje akutambie kuwa mwenzio tayari nimepiga kitu?
Labda alikuwa anam-feel sana huyo mwanamke hadi akaamua kutembea na hicho kipimo halafu sijaelewa what was the purpose ya kutembea na hicho kipimo, ndio hivyo yameishamkutahahaha!aendeleze cheating siyo?ajabu nyingine alitembea na mkojo wa nini!:nono:
Wanaume tulieni na wake zenu!!!!
sio mkojo bali kipimo cha mimba na ubaya kinaonesha positive.Mimi naona asiseme ukweli adanganye kuwa kategeshewa na mbaya wake kumharibia.Mtoto akizaliwa na kuwa na 5 years hapo aweke ukweli hadharani.Labda alikuwa anam-feel sana huyo mwanamke hadi akaamua kutembea na mkojo wake halafu sijaelewa what was the purpose ya kutembea na huo mkojo ndio hivyo yameishamkuta
Unaweza ukala ugali wa muhogo na maharagwe kila siku pasipo kubadilisha radha weye?
Siku ya 40 ikifika imefika hata ufanyeje
Mmmmmh mi unadhani nawabishia siku hizi?
Namtafuta Luthu katika ya Sodoma na Gomora tu sasa hivi Fidel sijui atapatikana lini?
huyu jamaa inabidi afanye kitu cha SHAGGY 'it was'nt me' otherwise ataambiwa kama unanipenda kaitoe harakaHehehehe duh mazee hii noma kweli
Jamaa kumbe ana mke alafu anamimba mpango wanje duh
Mama mkwe "MSAADA HAUNA RISITI" ila kwa huyu risiti inabidi ziwepo tena zile zenye amount ya EUROSiku zote za mwizi 40,hivi watu hamkumbuki protection ???:embarassed2:
kina Asprin msaidieni huyu Infiii...
Jesus Christ
Lizzy,Alivyotungisha mimba nje alikua anategemea nini?Wakati anatoka nje ya ndoa aliomba ushauri?Nashindwa kuelewa watu wengine wanaoa ili iweje?Kama hawajatosheka na mambo ya dunia si wahangaike mpaka watakapoona imetosha?Nwyz nakasirishwa sana na watu wanaingia kwenye ndoa wakijua fika utulivu hawana!Aseme ukweli tu maana kama mtoto atazaliwa hawezi kumficha milele.Alafu kwanzia sasa hivi muwe mnaomba ushauri kabla ya kucheat sio mpaka kigeuke ndo muanze kutoa machozi ya mamba!
Labda alikuwa anam-feel sana huyo mwanamke hadi akaamua kutembea na hicho kipimo halafu sijaelewa what was the purpose ya kutembea na hicho kipimo, ndio hivyo yameishamkuta
Sasa best labda ueleze, hapa atakana kwa msingi upi, maana amekutwa live na kipimo mfukoni, na yeye si daktari wala mfamasia...je akane kwamba suruwali si yake, au kuwa hafahamu kipimo kilifikaje mfukoni?Daahh
Eehh huyo
Kapatikana kweli
Mie naona atoke clean
hapo akidanganya itambidi
Awe anadanganya kila siku ku
cover it up..(plan A)
Au anaweza achukue
plan B ambayo ni kukana
mpka kifo duuuuhhh..
halafu hapondo ndo
Wajuku wakutan e kwenye mazishi lol
Both plans comes
With extra package
my opinion take
Plan A
Siku zote za mwizi 40,hivi watu hamkumbuki protection ???:embarassed2:
kina Asprin msaidieni huyu Infiii...
Jesus Christ
huyu jamaa inabidi afanye kitu cha SHAGGY 'it was'nt me' otherwise ataambiwa kama unanipenda kaitoe haraka
PJ... Huyo jamaa nampa pole kwa kutokua mwangalifu.. lakini sisiw anaume lazima tuwe smart na kama yamemkuta hayo, ushauri wangu ni kwamba muachie ayamalize mwenyeweWakuu, nimepata message toka kwa jamaa yangu tunayeheshimiana sana akieleza mkasa uliompata jioni ya leo...
.
Wonders will never end kwa kweli!
Jamani, nashindwa nianzie wapi kumshauri huyu broda cha kufanya!...ha ha haaa!
Hebu jameni pimeni situation hii, na kutoa ushauri kwa huyu raia!
Ni mtumishi wa sirikali kwenye shirika fulani la hifadhi za jamii(Idara ya Rasilimali -Watu)...Hahaha...angefuata zile sheria mama za infii yasingemkuta
Labda jinsi ya kumsaidia ni mpaka PJ aniambie huyu bwana profesheni yake ni nini? Ana mabinti? Ana hausigelo.....kama ni daktai/nesi...kesi kwisha. kama ana mabinti/hausigelo....kuna ubaya gani wa baba kupima kama bintiye/hausigelo kujua kama ana mimba? Na atapimaje bila kuwa na kipimio.
Will be right back!
Wakuu, nimepata message toka kwa jamaa yangu tunayeheshimiana sana akieleza mkasa uliompata jioni ya leo...
.
Wonders will never end kwa kweli!
Jamani, nashindwa nianzie wapi kumshauri huyu broda cha kufanya!...ha ha haaa!
Hebu jameni pimeni situation hii, na kutoa ushauri kwa huyu raia!