The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Aisee!!!!!!kazi ipo, kumbe ndio inachowapa kichwa cha kufanya maovu huko nje? hapo ujue tayari familia imeingia dosari kubwa, mama nae akiwa na roho ndogo ataishilia kutafuta wa kumpooza machungu, tit 4 tat...mijanaume inapenda matatizo kweli...mxsii
Umalaya wote utakuisha! tukiwaambia mutulie kwenye ndoa zenu hamsikii sasa hapo akili mu kichwa
www.chinga2010.blogspot.com
Aseme ni mkojo wake yeye mwenyewe:lol::lol:, hivi ukiangalia mkojo kwa macho utajua huu ni wa mwanamke au huu ni wa mwanaume???
Amwambie mrs wake kuwa, ameokota chini alidhani ni madini
nature imewafanya wanaume wawe watu rahisi kulikoroga na nature hiyo hiyo ikabalance kwa kumfanya mwanamke awe rahisi kusamehe. hii ni katiba ya Mungu na nazani katiba ya Mungu haina marekebisho. ingawa lijamaa naliona careless kwa kutembea na ma mikojo kwenye mifuko ya suti, mwanaume utabebaje ujauzito kwenye mifuko ya suruali bana? ujauzito unakaa tumboni sio surualini.kazi ipo, kumbe ndio inachowapa kichwa cha kufanya maovu huko nje? hapo ujue tayari familia imeingia dosari kubwa, mama nae akiwa na roho ndogo ataishilia kutafuta wa kumpooza machungu, tit 4 tat...mijanaume inapenda matatizo kweli...mxsii
nature imewafanya wanaume wawe watu rahisi kulikoroga na nature hiyo hiyo ikabalance kwa kumfanya mwanamke awe rahisi kusamehe. hii ni katiba ya Mungu na nazani katiba ya Mungu haina marekebisho. ingawa lijamaa naliona careless kwa kutembea na ma mikojo kwenye mifuko ya suti, mwanaume utabebaje ujauzito kwenye mifuko ya suruali bana? ujauzito unakaa tumboni sio surualini.
nimesahau kukusalimia, haujambo nyamayao?
haijakutengeni bana, nyinyi tu mnakuwa wabishi, si mnapewa mifano hata kupitia majogoo na mitetea lakini mumeweka tinted na beijing yenu. hivi hebu fikiria nyamayao, wewe unaweza ukaona janaume liko uchi na hata usishtuke na badili yake ukakimbia, lakini sisi tukiona hata mbuzi anajisaidia tu jiografia ya suruali yote inabadilika. mie naona mmependelewa nyinyi banayaani unanipaga raha wewe bac tu hujuagi....hiyo katiba ya Myngu bac imetutenga kweli wanawake....cjambo kabisa kabisa mpenzi....
Kyabu haoni tatizo hapo ... The Creator alituagiza "..zaeni mkaongezeke.." Wanawake wa "kisasa" wanataka kuzaa watoto kwa "mahesabu" na hayo ndiyo matokeo yake. Hana haja ya kuomba msamaha bali ni kumwambia mkewe kuwa tunatarajia kupata mtoto mwingine muda mfupi ujao ... Mwanamke lazima aheshimu maamuzi ya Mwanamume!
Aisee!!!!!!
Lizzy,
Ninavyojua jamaa kusema ukweli au kukubali kosa ni ngumu, maana mkewe ni full kimeo...Ni mkorofi mbaya kabisa, na anaweza kusababisha tukio la mwaka akigundua jamaa ana mahusiano ya nje kikweli!
Ni njiapanda ya mwaka hii!
Aseme ni mkojo wake yeye mwenyewe:lol::lol:, hivi ukiangalia mkojo kwa macho utajua huu ni wa mwanamke au huu ni wa mwanaume???
Mhhh! Hii kali! hata mtoa ushauri unaweza kupata kigugumizi kwa kutojua uanzie wapi!
Sasa best labda ueleze, hapa atakana kwa msingi upi, maana amekutwa live na kipimo mfukoni, na yeye si daktari wala mfamasia...je akane kwamba suruwali si yake, au kuwa hafahamu kipimo kilifikaje mfukoni?
Kwakweli hakuna marefu yasiyo na ncha.