Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..@red, Chonde chonde kama hukubaliani na jambo flani sio lazima utumie lugha isiyo ya kistaarabu kuwasilisha fikra zako binafsi hapa jamvini. Kama hukubaliani nae na hiko kipindi basi tuma maoni yako kwake moja kwa moja.salama ajipange kwakweli kipindi chake ni ushuzi mtupu mimi hata sijaelewa alikuwa anaelezea nini, kapo kapo tu , simchukii ila namuambia ukweli kaanza vibaya
salama ajipange kwakweli kipindi chake ni ushuzi mtupu mimi hata sijaelewa alikuwa anaelezea nini, kapo kapo tu , simchukii ila namuambia ukweli kaanza vibaya