Mkataba DP World, Bandari ya Mangapwani, Daraja la Zanzibar: Miradi hii ina uhusiano?

Mkataba DP World, Bandari ya Mangapwani, Daraja la Zanzibar: Miradi hii ina uhusiano?

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Zanzibari wana mpango wa kujenga bandari kubwa kuliko zote Africa Mashariki. bandari hii haiwezekani kama Zanzibari haina mzigo wa kutosha. Mzigo wa Zanzibari peke yake hautoshi kujenga bandari kubwa Zanzibari.

Lakini Zanzibari ikiwa na uhakika wa kuhudumia mizigo ya Tanzania bara pamoja na nchi zinazohudumiwa na BaNdari za bara mradi wa Bandari ya Mangapwani unawezekana.

Wakati huo huo TPA na Tanzania ziko mbioni kuingia mkataba na DP ambao unaleta kelele nyingi unaoweza kusababisha ama bandari za bara kufanya vizuri lakini pia unaweza kuziparalize.

Wakati huo huo Tanzania iko mbioni kujenga daraja la kuunganisha Zanzibari na Tanzania bara.

Je, hii miradi una uhusiano?
 
Tuliza Chogo
Ushindani katika biashara ya "TRANSHIPMENT" baada ya DUBAI ... imagine vijibandari vya Pemba na Unguja vikuzwe na ukoo wa KISULTANI kuzishinda hizi Mombasa, Bagamoyo, Dar, na huko kwingine ... zinazoendeshwa kikafiri. Au?
 
Zanzibari wana mpango wa kujenga bandari kubwa kuliko zote Africa Mashariki. bandari hii haiwezekani kama Zanzibari haina mzigo wa kutosha. Mzigo wa Zanzibari peke yake hautoshi kujenga bandari kubwa Zanzibari.

Lakini Zanzibari ikiwa na uhakika wa kuhudumia mizigo ya Tanzania bara pamoja na nchi zinazohudumiwa na BaNdari za bara mradi wa Bandari ya Mangapwani unawezekana.

Wakati huo huo TPA na Tanzania ziko mbioni kuingia mkataba na DP ambao unaleta kelele nyingi unaoweza kusababisha ama bandari za bara kufanya vizuri lakini pia unaweza kuziparalize.

Wakati huo huo Tanzania iko mbioni kujenga daraja la kuunganisha Zanzibari na Tanzania bara.

Je, hii miradi una uhusiano?
nchi imeuzwa
 
Hawa DP world kama wanataka wachukue kila kitu.
 
Zanzibari wana mpango wa kujenga bandari kubwa kuliko zote Africa Mashariki. bandari hii haiwezekani kama Zanzibari haina mzigo wa kutosha. Mzigo wa Zanzibari peke yake hautoshi kujenga bandari kubwa Zanzibari.

Lakini Zanzibari ikiwa na uhakika wa kuhudumia mizigo ya Tanzania bara pamoja na nchi zinazohudumiwa na BaNdari za bara mradi wa Bandari ya Mangapwani unawezekana.

Wakati huo huo TPA na Tanzania ziko mbioni kuingia mkataba na DP ambao unaleta kelele nyingi unaoweza kusababisha ama bandari za bara kufanya vizuri lakini pia unaweza kuziparalize.

Wakati huo huo Tanzania iko mbioni kujenga daraja la kuunganisha Zanzibari na Tanzania bara.

Je, hii miradi una uhusiano?
Akya nani, sikutegemea kama huyu Bibi atakuja kuhiuza nchi yangu Kwa Arab 😂
 
Back
Top Bottom