Mkataba kati ya Tanzania na DP World ya Dubai na Uchaguzi 2025

Mkataba kati ya Tanzania na DP World ya Dubai na Uchaguzi 2025

Ulimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
3,768
Reaction score
4,038
Heshima kwenu wana JF.

Nimekuwa natafakari sana kwa muda sasa juu ya huu mkataba, kuna pande kama tatu hivi zinazozingana.

1: Kuna upande unaodai kuwa huu mkataba una madhaifu fulani hivyo hautakuwa na manufaa kwa taifa, na wameonesha baadhi ya vifungu vyenye makosa.

2: Kuna upande ambao haujui kama huu mkataba una faida au hasara.

3: Kuna upande unatetea kwa nguvu kubwa sana kuwa huu mkataba hauna dosari yeyote, ila wameshindwa kujibu pasi na shaka hoja zinazotolewa na upande unaosema mkataba unashida.

Baada ya kangalia sana, wanaoukubali huu mkataba na kuutetea kwa nguvu zote ni viongozi wa serikali na viongozi wa ccm wa ngazi mbalimbali.

Hili jambo limenipa kufikiri kuwa kuna fungu lilitolewa na wawekezaji, na wakapewa ccm ili waukubali huo mkataba, na hizo fedha zitumike kwenye uchaguzi 2025. (HAYA NI MAWAZO YANGU TU)

Je, wewe unafikiri kama mimi?
 
Bila shaka ndivyo ilivyo..

Haiwezekani mtu amekomaa kutaka kula kinyesi tu huku akiambiwa kuwa huo ni uchafu, acha...!

CCM wameng'ang'ana na hii kitu bila kujali lolote huku wakujua fika kuwa wanataka kutulisha kinyesi..

Hongo imetembea. Tena ushahidi wa kimazingira unaonesha kuwa kiongozi mkuu wa nchi (Rais Samia Suluhu Hassan) ndiye kahongwa ili kuuza sovereignty ya taifa hili kwa nchi nyingine!!!.

Huu ni UHANI at its highest level dhidi ya nchi na wananchi wa Tanganyika..!

Na hii kitu sooner and not later, ita - unfold na kuwa wazi na kila mtu ataelewa au ataona nyeti za kuku this time..!
 
Watanzania tunatakiwa kukamatia hapo hapo, hakuna kuachia hadi uchaguzi upite. nakuambia hata wakiiba hili la bandari litaleta faida kubwa sana kwa upinzani. kwa mwanadamu huwa ni ngumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
 
Watanzania tunatakiwa kukamatia hapo hapo, hakuna kuachia hadi uchaguzi upite. nakuambia hata wakiiba hili la bandari litaleta faida kubwa sana kwa upinzani. kwa mwanadamu huwa ni ngumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.

Amen, na iwe hivyo.
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimekuwa natafakari sana kwa muda sasa juu ya huu mkataba, kuna pande kama tatu hivi zinazozingana.

1: Kuna upande unaodai kuwa huu mkataba una madhaifu fulani hivyo hautakuwa na manufaa kwa taifa, na wameonesha baadhi ya vifungu vyenye makosa.

2: Kuna upande ambao haujui kama huu mkataba una faida au hasara.

3: Kuna upande unatetea kwa nguvu kubwa sana kuwa huu mkataba hauna dosari yeyote, ila wameshindwa kujibu pasi na shaka hoja zinazotolewa na upande unaosema mkataba unashida.

Baada ya kangalia sana, wanaoukubali huu mkataba na kuutetea kwa nguvu zote ni viongozi wa serikali na viongozi wa ccm wa ngazi mbalimbali.

Hili jambo limenipa kufikiri kuwa kuna fungu lilitolewa na wawekezaji, na wakapewa ccm ili waukubali huo mkataba, na hizo fedha zitumike kwenye uchaguzi 2025. (HAYA NI MAWAZO YANGU TU)

Je, wewe unafikiri kama mimi?
Yule Mbunge wa CHADEMA je? Na Mbunge Musukuma bilonea alisema hahitaji rushwa? Kuna Mufti Zuberi, naye kahongwa? Halafu usisahau silent majority, 99%, hawaoni haja ya kulumbana?
 
Bila shaka ndivyo ilivyo..

Haiwezekani mtu amekomaa kutaka kula kinyesi tu huku akiambiwa kuwa huo ni uchafu, acha...!

CCM wameng'ang'ana na hii kitu bila kujali lolote huku wakujua fika kuwa wanataka kutulisha kinyesi..

Hongo imetembea. Tena ushahidi wa kimazingira unaonesha kuwa kiongozi mkuu wa nchi (Rais Samia Suluhu Hassan) ndiye kahongwa ili kuuza sovereignty ya taifa hili kwa nchi nyingine!!!.

Huu ni UHANI at its highest level dhidi ya nchi na wananchi wa Tanganyika..!

Na hii kitu sooner and not later, ita - unfold na kuwa wazi na kila mtu ataelewa au ataona nyeti za kuku this time..!

Patachimbika this time, hili halitopita
 
Si lazima wote walumbane, ndiyo maana nchi ina watu karibu milioni 70, lakini Rais ni mmoja, pia kuna wabunge wasiozidi 400 ambao wanawakilisha hao watu.
Sasa ukitaka kila mmoja alumbane, nikitu ambacho hakitawezekana.
Kuna watu wachache waliopata hii fursa ya kulumbana ndiyo maana inatupasa tunapo lumbana, tusilumbane tu ili kuona ni nani anajua kuongea, bali tutoe mawazo mbadala ya kuwasasidia wananchi, hasa wale ambao hawajui kinachoendelea.
 
fungu lilitolewa na wawekezaji, na wakapewa ccm ili waukubali huo mkataba, na hizo fedha zitumike kwenye uchaguzi 2025. (HAYA NI MAWAZO YANGU TU)
Kwani haujasikia kuwa wabunge wameshaongezewe posho kwa kupitisha mkataba bila ya kuujadili??
 
Kwa jinsi ambavyo viongozi wa ccm wanaupambania huu mkataba wa DPWORLD, NI WAZI KABISA KUWA WANANUFAIKA NAO.
UTASIKIA MARA MKUU WA MKOA, MARA KATIBU MKUU, MARA MAKAMU MWENYEKITI, MARA WABUNGE N.K. WANAJITOKEZA NA KUTOA MAELEZO AMBAYO HAYAJATOA KIU KWA WANANCHI.
 
Back
Top Bottom