Mkataba na DP World siyo miaka 100, bali ni MILELE

Mkataba na DP World siyo miaka 100, bali ni MILELE

Kama mmeamua kuuza bandari fresh semeni ni shilingi ngapi tugawane wote kwa usawa mambo yaende
 
Tanganyika Law Society (TLS) mko wapi kupinga MoU hiyo mahakamani au Viongozi wenu nao wameahidiwa mshiko kama Wabunge kuupitisha. Je, kama Mkataba utapitushwa kwa jinsi ulivyo kwenye MoU Kifungu cha 23(4), hamwoni nchi inakuwa siyo salama kabisa?

Kifungu hicho kinasema mkataba ukishasainiwa, pande mbili za mkataba (serikali ya TZ na serikali ya Dubai) hakuna upande utakaoruhusiwa kukosoa (denounce), kujitoa (withdraw), kuzuia (suspend) au kuvunja mkataba (terminate) kwa sababu yoyote ile.

Wana TLS wawekeni viongozi wenu kitimoto mjadili kwa undani hiyo MoU na kuishauri Serikali kwa maslahi mapana ya Taifa
TLS wamechukua hatua. Hongera, japo naamini hao Wajumbe wa Tume na uongozi wa TLS hawatakataa dau la Mwarabu waseme Mkataba huo (HGA) uko sawa kisheria. Wasipofanya hivyo, kwa Uzalendo, washauri Bunge kutokuuridhia kama inavyotaka Ibara ya 25(3).
 

Attachments

  • IMG-20230609-WA0000.jpg
    IMG-20230609-WA0000.jpg
    124.2 KB · Views: 6
KAMPUNI YA DP WORLD WANA RECORD MBAYA AFRICA:

Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:

1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Kenya.
2. DP World v. Ethiopia (2022). The ICSID is also currently hearing a case brought by DP World against Ethiopia. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Ethiopia.
3. DP World v. Djibouti (2021). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Djibouti. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Djibouti.
4. DP World v. Pakistan (2020). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Pakistan. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Pakistan.
5. DP World v. India (2019). The ICSID dismissed a case brought by DP World against India. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by India.
6. DP World v. Argentina (2018). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Argentina. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Argentina.
7. DP World v. Chile (2017). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Chile. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Chile.
8. DP World v. Uruguay (2016). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Uruguay. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Uruguay.
9. DP World v. Peru (2015). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Peru. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Peru.
10. DP World v. Brazil (2014). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Brazil. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Brazil.

It is important to note that these are just a few of the many cases that DP World has been involved in. DP World is a major player in the global port industry, and it has been involved in a number of disputes with governments around the world. These disputes have often been complex and have involved significant financial stakes.

The cases listed above are still ongoing, and it is not yet clear how they will be resolved. However, they provide a glimpse into the challenges that DP World faces as it operates in a number of different countries.
 
Hivi hii awamu ya 6 inatuonaje Watanganyika ??
 
Hapa kuna orodha ya kesi 20 za hivi punde dhidi ya DP World katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi:

1. DP World v. Kenya (2022). Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Mizozo ya Uwekezaji (ICSID) kwa sasa kinasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Kenya. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Kenya.

2. DP World v. Ethiopia (2022). ICSID pia kwa sasa inasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Ethiopia. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Ethiopia.

3. DP World v. Djibouti (2021). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Djibouti. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Djibouti.

4. DP World dhidi ya Pakistan (2020). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Pakistan. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Pakistan.

5. DP World v. India (2019). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya India. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na India.

6. DP World v. Argentina (2018). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Argentina. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Argentina.

7. DP World v. Chile (2017). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Chile. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya ardhi na Chile.

8. DP World v. Uruguay (2016). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Uruguay. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Uruguay.

9. DP World v. Peru (2015). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Peru. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya mali na Peru.

10. DP World v. Brazili (2014). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Brazil. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Brazili.

Ni muhimu kutambua kwamba hizi ni baadhi tu ya kesi nyingi ambazo DP World imehusika nazo. DP World ni mhusika mkuu katika sekta ya bandari ya kimataifa, na imehusika katika migogoro kadhaa na serikali duniani kote. . Mizozo hii mara nyingi imekuwa ngumu na imehusisha wadau muhimu wa kifedha.

Kesi zilizoorodheshwa hapo juu bado zinaendelea, na bado haijabainika jinsi zitakavyotatuliwa. Hata hivyo, yanatoa mwanga wa changamoto ambazo DP World inakabiliana nayo inapofanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanganyika Law Society (TLS) mko wapi kupinga MoU hiyo mahakamani au Viongozi wenu nao wameahidiwa mshiko kama Wabunge kuupitisha. Je, kama Mkataba utapitushwa kwa jinsi ulivyo kwenye MoU Kifungu cha 23(4), hamwoni nchi inakuwa siyo salama kabisa?

Kifungu hicho kinasema mkataba ukishasainiwa, pande mbili za mkataba (serikali ya TZ na serikali ya Dubai) hakuna upande utakaoruhusiwa kukosoa (denounce), kujitoa (withdraw), kuzuia (suspend) au kuvunja mkataba (terminate) kwa sababu yoyote ile.

Wana TLS wawekeni viongozi wenu kitimoto mjadili kwa undani hiyo MoU na kuishauri Serikali kwa maslahi mapana ya Taifa
Inatakiwa watanzania wapige kelele na kuonyesha kwa ishara kama wafanyabiashara wa Kariakoo. Manen ya mtandaoni haya maana wanayapuuza.
 
Wakati mwingine najiuliza; hivi hawa viongozi wetu pamoja na sisi Watanzania kwa ujumla tuna matatizo gani kwenye Ubongo wetu? Inawezekanaje mtu timamu kusaini Mkataba kama ule? Nimaswali ambayo huniumiza sana, kwasababu Mkataba umeonesha namna gani Taifa lina watu wajinga kupindukia.Nahuko tuendako ile kauli ya yule Mwendawazimu wa Kongwa itatimia.
 
Inatakiwa watanzania wapige kelele na kuonyesha kwa ishara kama wafanyabiashara wa Kariakoo. Manen ya mtandaoni haya maana wanayapuuza.

Unaongelea watanzania wapi? Hawa ambao rahisi kuwa distracted na vitu vidogo na kusahau serious issue kwenye nchi?

Nampa pole anaewapigania watanzania waamke kipindi hiki, ana kibarua kigumu mno
 
View attachment 2649374

Swali ambalo limeulizwa sana mkataba huu ni wa muda gani? Wapi palipoandikwa miaka 100? Au wapi palipoandikwa miezi 12 ambayo TPA wamesema? Jibu lipo kwenye kufungu cha 23(4) cha mkataba.

Kifungu hicho kinasema mkataba ukishasainiwa, pande mbili za mkataba (serikali ya TZ na serikali ya Dubai) hakuna upande utakaoruhusiwa kukosoa (denounce), kujitoa (withdraw), kuzuia (suspend) au kuvunja mkataba (terminate) kwa sababu yoyote ile.

Kifungu hicho kinasema hata ikitokea upande mmoja ukashindwa kutekeleza masharti ya mkataba, bado hairuhusiwi kuvunja, wala kujitoa kwenye mkataba huo. Maana yake ni kwamba, Mwarabu akisema atapanua bandari ya Dar iwe kubwa zaidi, halafu akashindwa kufanya hivyo, haturuhusiwi kuvunja mkataba. Sijui unaelewa?

Hawakuishia hapo, kifungu hichohicho kinaeleza kwamba hata tukiingia kwenye mgogoro wa kidiplomasia na Dubai, bado haturuhusiwi kuvunja mkataba (we can not terminate the agreement even in severance of diplomatic relation). Yani hata ikitokea sisi na UAE tumevunja uhusiano wa kibalozi, tukamfurusha balozi wao, bado wataendelea kuendesha bandari yetu. Hata ikitokea tukapigana vita, bado haivunji mkataba. Waaarabu wataendelea kuendesha bandari yetu, penda tusipende.

Kwa lugha rahisi huu mkataba ni wa MILELE. Kwahiyo wale waliokua wanauliza kifungu gani kinachoeleza muda wa mkataba? Ni kifungu cha 23(4). Kinasema mkataba huo ni wa MILELE na MILELE mpaka Kristo atakaporudi kulichukua Kanisa.

Hii ni zaidi ya ndoa ya Kikristo ambayo ukishaapa kanisani, hata kama ana matege, ni wako huyo mpaka kifo kiwatenganishe. Na huu mkataba kifungu cha 23(4) kinasema ukishasaini tu, ngoma ni MILELE. Hakuna namna ya kutoka. Bahati mbaya tumeshasaini tangu October 2022.

Halafu "mjinga" mmoja aliyekua ripota wa TBC huko Namtumbo leo kawa Msemaji wa serikali, amekaa kwenye V8 anatuona Watanzania wote wajinga. Anatuambia eti ni mkataba wa miezi 12. Shame.!

Mnataka kuharibu urithi wa vizazi vyetu sababu ya matumbo? Hivi Nyerere angechumia tumbo tungepata uhuru? Endeleeni kutetea matumbo yenu, sisi tunatetea watoto na wajukuu zenu. Lakini ipo siku mtajibu. Kama si hapa, basi hata mbinguni.

MALISA GJ
Unawajaza ujinga wajinga wenzako, hiyo ni IGA ambayo ni tofauti kabisa na miradi ya biashara itakavyokuwa.

Kutofautisha IGA na Project contracts ndipo mahali ambapo panatuacha uchi kabisa vichwani mwetu.
 
Wakati mwingine najiuliza; hivi hawa viongozi wetu pamoja na sisi Watanzania kwa ujumla tuna matatizo gani kwenye Ubongo wetu? Inawezekanaje mtu timamu kusaini Mkataba kama ule? Nimaswali ambayo huniumiza sana, kwasababu Mkataba umeonesha namna gani Taifa lina watu wajinga kupindukia.Nahuko tuendako ile kauli ya yule Mwendawazimu wa Kongwa itatimia.
Wewe ambaye hujaelewa huo mkataba ndio mjinga mwenyewe, waliousaini huo mkataba sio wa kwanza wala wa mwisho kwao kusaini.

Ujinga ni kudhani unafahamu kila kitu halafu ukakataa kuelimishwa wakati unastahili kuelimishwa.
 
Ivi watu wote sisi wa bara tunakubalije kutawaliwa na watu wa Zanzibar ? Kwamba sisi tumekua Koloni la wazenji mpaka imefikia hatua ya kuuza mali zetu kwa ndugu zao waarabu kwa faida yao ama ? Kwamba sisi ni Bongo lala sana ama ?

Inafikirisha sana hii.

!!!??????
Udogo wako kiumri ndio unakupa hoja ya kuongea ulivyoongea. Mwinyi alitawala nchi hii 1985-1995 pengine haukuwepo duniani kipindi hicho.
 
Aisee tumechoka. Hata uwe mpaka mwisho wa dunia
As long maendeleo yanakuja. Tunalala sana
Wenzetu wana resources ila wanafikiria 100 years to go.
 
We ndugu yake MWABU weka article 20 ya huo unaoita mkataba.
 
Back
Top Bottom