Mkataba na Shetani ni kitu kipo?

Mkataba na Shetani ni kitu kipo?

1000022180.png
 
wewe unaamini kile kinachoonekana tu, kisichoonekana hukiamini kabisa.

Unajua tu mambo ya ulimwengu wa mwili, lakini ulimwengu wa roho hakuna ukijuacho kabisa..

Au upo hapa kupotosha tu kumbe wewe ndio kachawi kakubwa.
Watu kama hawa pengine ndio wapo kwenye hiyo mikataba! Achana naye atakuumiza kichwa! Huyu hataki watu wajue ukweli!
 
Kama mkataba na shetani unahusu kakabidhi roho Yako na KUFA mapema,

Mbona mzee chande (MKUU WA FREEMASON-EAST AFRICA) alikufa akiwa mzee sn.

Na amekua tajiri na maarufu Toka kitambo, na kwny freemason kahudumu miaka NENDA RUDI tangu enzi za Nyerere uko.
 
Kama mkataba na shetani unahusu kakabidhi roho Yako na KUFA mapema,

Mbona mzee chande (MKUU WA FREEMASON-EAST AFRICA) alikufa akiwa mzee sn.

Na amekua tajiri na maarufu Toka kitambo, na kwny freemason kahudumu miaka NENDA RUDI tangu enzi za Nyerere uko.
Labda mkataba wake hakuna kipengele cha kufa mapema
 
Mkataba na Shetani(Deal with the devil) inasemwa ni kitendo cha mtu kuingia mkataba na Shetani apewe umaarufu, pesa, mamlaka, afya njema nk, kisha yeye anampa Shetani nafsi yake(yaani anajitoa kuwa mali ya Shetani. . . ?)

Mfano mmoja ni kitendo cha Shetani kumshawishi Yesu amsujudie, na yeye Shetani kumuahidi kumpatia Yesu utajiri na mamlaka, akidai hivyo vyote ni vyake anaweza kumpa yeyote anpendaye.

Mifano mingine ni wasanii wengi maarufu. Kuna msanii kama Jimi Hendrix. Huyu anachukuliwa kama mpiga gitaa nguli wa muda wote. Lakini umaarufu wake uliibuka ghafla, ukadumu kwa miaka mitatu na akafariki hata miaka 30 hajafika. Wanasema aliuza roho yake kwa Shetani. Akapewa umaarufu na baada ya miaka mitatu Shetani akaja kuchukua malipo yake.

Msanii mwingine ni Leroy Johnson. Huyu naye aliibuka ghafla kuwa nguli wa gitaa. Kafa na miaka 27 tu. Zaidi ni kuwa aliimba sana nyimbo kuhusu mkataba wake na Shetani. Mmoja aliuita Me and The Devil. Akizungumzia Shetani kumtembelea na kumuambia kuwa muda wa kuondoka umefika.

Kuna ushahidi wowote wa kuonyesha kuwa mkataba na Shetani upo?
Ni ujinga tu Wa watu kutafuta sababu zisizokuwepo kwa kila tukio kwa mujibu Wa muono hafifu Wa kila mmoja. Hakuna mkataba na shetani wala nani. Kuwa maarufu na kufa muda mfupi ndio Uwe mkataba na shetani. Mbona mtoto anaweza kuzaliwa na kufa muda mfupi baadaye nao ni mkataba na shetani?. Upuuzi mtupu kuendekeza hizi fikra za kijinga
 
Back
Top Bottom