Jamani Mkataba wa ajira unatakiwa kuwa na nakala ngapi original maana kuna mtu kaniuliza muajiri wake kampa nakala moja tu asaini na alipouliza nakala yake akaambiwa labda atoe fotokopi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.