Mkataba wa ajira

Mkataba wa ajira

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Jamani Mkataba wa ajira unatakiwa kuwa na nakala ngapi original maana kuna mtu kaniuliza muajiri wake kampa nakala moja tu asaini na alipouliza nakala yake akaambiwa labda atoe fotokopi
 
Back
Top Bottom