mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
[emoji56][emoji15][emoji12][emoji125]Mm ni mtanganyika pure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji56][emoji15][emoji12][emoji125]Mm ni mtanganyika pure
Mtandao wa wezi ni mkubwa. Mama kaona ampe mwarabu asiyemjua Farao. MtakomaKwani sheria ya kudhibiti wizi ndivyo isemavyo??
View attachment 2666299
Baadhi ya wapiga debe wa DP world wakiwa Dubai...
Rais Samia namuonea huruma sana, kazungukwa na watu wenye malengo yao maovu na hapindui kwao.
Ni wanasiasa wasiotaka kuzeeka na kukubali kuwa muda wao umeshakwisha, ni matajiri wanaoendelea kutajirika kwa migongo ya wafanyabiashara vijana.
Hawa ni sehemu ya maadui zake wa sasa. Anatimiza tu mradi ulioanzishwa na hayati JPM miaka ile alipoingia ikulu.
Lakini hao wapigaji wamekuja na tafsiri zao potofu humu jukwaani wakijaribu kuaminisha umma kuwa nchi inakwenda kuuzwa tena kwa waarabu, wamemchonganisha SSH na wazanzibari wengine ili mradi tu status quo pale bandarini iendelee kuwa kama ilivyo sasa.
Ndani ya miezi sita atakuwa anasoma kinachoendelea pale TPA akiwa amekaa ikulu. Ni vita lakini lazima aishinde.
Ni aibu kwa wastaafu anaowaamini, ni aibu kwao kwamba hawataki kukubali kuishi wao kama wao na sio kuishi wao wakiwa na kundi kubwa la wapigaji linalowategemea.
ondoa uzenji hapa, tanahangaikia Tanganyika yetu, akagawe kwaoMtanda wa wezi ni mkubwa. Mama kaona ampe mwarabu asiyemjua Farao. Mtakoma
Uwezo wa SSH kukaa kimya kama hakuna linaloendelea ni silaha tosha sana kwa Rais.ondoa uzenji hapa, tanahangaikia Tanganyika yetu, akagawe kwao
Teh teh 😂😂 hapo wameingiza posho zao nzuri tu.View attachment 2666299
Baadhi ya wapiga debe wa DP world wakiwa Dubai...
Sio kosa lake Bali ni elimu aliyonayoMama ni mvivuu hakusoma chochote ye alisaini tu hivyo naye kwa sasa anashangaa kama tunavyoshangaa sie wananchi.
"Hili nalo muende mkalitazame" haya sasa ndio matunda yake!!.
Una uhakika?Uwezo wa SSH kukaa kimya kama hakuna linaloendelea ni silaha tosha sana kwa Rais.
Atawajua maadui zake halisi kadri muda unavyokwenda.