Mkataba wa Bandari: Ni kweli Rais wa hajui alichosaini au ni mpango mkakati uliojificha?


Mtanda wa wezi ni mkubwa. Mama kaona ampe mwarabu asiyemjua Farao. Mtakoma
ondoa uzenji hapa, tanahangaikia Tanganyika yetu, akagawe kwao
 
Ili suala limeonyesha sura ya vibaraka
 
Mama ni mvivuu hakusoma chochote ye alisaini tu hivyo naye kwa sasa anashangaa kama tunavyoshangaa sie wananchi.
"Hili nalo muende mkalitazame" haya sasa ndio matunda yake!!.
Sio kosa lake Bali ni elimu aliyonayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…