Mkataba wa Bocco uvunjwe haraka kwa maslahi ya sisi mashabiki

Mkataba wa Bocco uvunjwe haraka kwa maslahi ya sisi mashabiki

Yoooooote Mliyosema hapa Kumhusu Bocco Sio 'Kweli'..!
Aidha Nyie Utopolo Au ni Watu Msiokuwa Fadhila.....!
Huyu Mwamba Kaifanyia Makubwa Sana Simba....na Kwa Sasa Ana Recover from injuries.msitake Miujiza Ya Kufikirika..
 
Ila mashabiki wa Tanzania tuna dunia yetu
Kanoute mlisema hafai
Sakho mlisema hafai
Na bwalya pia hafai
Ukitaka kujua ubora wa bwalya angalia kwenye caf champion's league.
 
Bocco anastahili kupewa heshima yake kaisaidia Sana Simba ,Ila heshima sio kulazimisha kumchezesha mchezaji ambae amechoka kimwil na kiakil.
Simba kweli wapo serious kumpa no Bocco kwa ushindani ulivyo kwa Sasa?

Bocco alipaswa awe technical bench iwe Kama Ni kumpa heshima yake lakin kulazimisha eti acheze tunakosea Sana na mnatukosea Wana Simba.
Yaan ukiangalia uchezaji wake wa Leo ndio Basi ,mchezaj hajui hata namna ya kujiposition yeye tu kila Mara yupo offside ,forward gan ya namna ile?
Anapata mpira kashut Kama kashindia uji ,.

Simba Kama wapo serious Kuna wachezaj hawapaswi kuwa pale nao Ni

Bocco
Mhilu
Wawa
Gadiel
Nyoni
Kagere
Kakolanya
.yaan Hawa Ni mzigo kwa timu ,Ila wanaobak angalau kidogo ,Simba sio timu ya kuwa na wachezaj wa waswas yaan unakua na wachezaj wa kuunga unga namna hiyo kweli alafu et una malengo ya kufika fainal za shirikisho Africa!!! Huu Ni utani kabisa Tena utani wa kipuuz ,
Kwenye dirisha dogo hili Simba ikiendelea kulea Lea ujinga Basi hata robo wasahau kufika ukitoa ubingwa maana mpka saiz sijaona mchezaj wa kuamua mechi ngumu kwenye timu yetu ya Simba .
Mchezaji wa kuamua mechi yupo Kibu Denis na Bernard Morison.
 
Ila mnyonge mnyongeni, Bocco bado anastahili heshima yake simba, sio mchezaji wa kumuacha kienyeji namna hiyo, anastahili kuwa kwenye techical bench hata la timu ya vijana au wasichana
Bocco anapita katika kipindi cha mpito lkn bado anastahili heshima yake.
 
Sihitaji kueleza stori ndeefu,mpira unachezwa hadharani.

Uwepo wake mpaka muda huu pengine kocha na uongozi wana maslahi naye.Ila kwa sisi mashabiki BIG NO.

Ni hivi,mashabiki kwa umoja wetu tunasema hili ni garasa. Najitahidi kuandika kwa staha.

Mkataba uvunjwe mara moja kwa maslahi ya sisi mashabiki,kama kocha anamtaka basi sisi hatumtaki. Kigezo cha mchezaji kubaki ni kuonyesha kiwango. Sasa huyu anabaki kwa kiwango kipi? Tofauti yake na wale walioachwa au kutolewa kwa mkopo wana tofauti gani na Boko. Charles Ilamfya ana tofauti gani na Boko?

Kama mtambakisha tunaanzisha kampeni ya kumkataa. Tutamzomea yeye na kocha anayempanga.
Form is temporary, Class is permanent
 
Sihitaji kueleza stori ndeefu,mpira unachezwa hadharani.

Uwepo wake mpaka muda huu pengine kocha na uongozi wana maslahi naye.Ila kwa sisi mashabiki BIG NO.

Ni hivi,mashabiki kwa umoja wetu tunasema hili ni garasa. Najitahidi kuandika kwa staha.

Mkataba uvunjwe mara moja kwa maslahi ya sisi mashabiki,kama kocha anamtaka basi sisi hatumtaki. Kigezo cha mchezaji kubaki ni kuonyesha kiwango. Sasa huyu anabaki kwa kiwango kipi? Tofauti yake na wale walioachwa au kutolewa kwa mkopo wana tofauti gani na Boko. Charles Ilamfya ana tofauti gani na Boko?

Kama mtambakisha tunaanzisha kampeni ya kumkataa. Tutamzomea yeye na kocha anayempanga.
Timu mlishamuuzia MO,yeye ndio anapanga kila kitu
 
Bocvo Katusaidia Sana ila niwakati wake wakupumzika
 
😁😂
Morrison aamue mechi 🤣🤣
Kibu nae et anaweza kuamua mechi. 😁
Basi dunia ina maajabu yake.
nani aliamua mechi ya Red Arrows,nani aliamua mechi ya KMC Tabora. mnakuja humu mnatukenulia meno tu,hata kama hater tumia akili basi
 
Back
Top Bottom