Habari! napenda kujua wanasheria kuhusu mkataba wa kazi, hivi kunasheria inasema kama mwajiri wako ajakupa mkataba mpya na bado unafanya kazi na anakutambua na anakulipa mshahara kila mwisho wa mwezi.
Je, inamaanisha kuwa umerenew nae mkataba automatic baada ya mwezi mmoja kupita wa kukupa mkataba mpya?
Je, inamaanisha kuwa umerenew nae mkataba automatic baada ya mwezi mmoja kupita wa kukupa mkataba mpya?