Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Hao wanaokabidhi hiyo ripoti wao hawakuona hayo madudu mapema?Matatizo yote hayo yanaendelea kukomaa kwasababu BUNGE ndio linachangia kulipua kwa kutotaka maazimio ya kamati teule za bunge yanapopelekwa kwao kuwa na mtazamo wa itikadi za tofauti za vyama.Laiti kama BUNGE lingekua moja matatizo yasingezidi kumea,kukua na kukomaa.Wabunge acheni kudharau mawazo mazuri kutoka kwa wengine hatakama mnazo itikadi tofauti.Raisi ninashauri aendelee kutumbua hayo MABUSHA bila kuangalia mtu usoni yeye ninani,nimtoto au mjukuu wa nani au baba wa watoto na wajukuu wangapi.Kwabunge tulilonalo haliwezi kutimiza ndoto zetu kwa kua watuhumiwa wapo ndani mle.Pia kwakua wanalinda unga wao(wabunge)JPM piga kazi hawezi kufikia hatua ya kukinzana na wewe hata kiasi cha uchaguzi kuitishwa upya ninao uhakika hawana uthubutu.Pia wakithubutu wanyonge walio wengi kuliko hayo majizi watakupigia kura