Habari!
Naomba kujua hivi kuna mkataba wa kujitolea?
Yaani mkataba unakuwa na maneno"mkataba huu wa kujitolea umesainiwa...
Je kama upo nini maana ya neno kujitolea na kama mana yake ni uhiari je uhiari unadhibitiwa kisheria?
Nini maana ya neno probabation period?. Je nani mnufaika kati ya mwajir na wajiriwa?
Ahsanteni njooni mnipe shule tafadhali!
Naomba kujua hivi kuna mkataba wa kujitolea?
Yaani mkataba unakuwa na maneno"mkataba huu wa kujitolea umesainiwa...
Je kama upo nini maana ya neno kujitolea na kama mana yake ni uhiari je uhiari unadhibitiwa kisheria?
Nini maana ya neno probabation period?. Je nani mnufaika kati ya mwajir na wajiriwa?
Ahsanteni njooni mnipe shule tafadhali!