Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuingia mkataba mrefu wa miaka 10 na Taasisi moja tena Taasisi yenyewe kama TBC, ambayo siku yoyote yaweza kukatisha matangazo ya soka kwa vile kuna kiongozi anazindua vyoo vya Stendi lazima tuchunguze, hawa TBC hawako huru kiasi cha kuingia mkataba na mtu yeyote.
Kwanza walishindanishwa na nani, ushahidi uko wapi, hiyo hela iliyotolewa iko wapi, ni nani anajua wametoa, wamepata wapi pesa yote hiyo, Je ni njama tu ya kuwabeba?
Haya yote yachunguzwe, hatutaki ubabaishaji.
Kwanza walishindanishwa na nani, ushahidi uko wapi, hiyo hela iliyotolewa iko wapi, ni nani anajua wametoa, wamepata wapi pesa yote hiyo, Je ni njama tu ya kuwabeba?
Haya yote yachunguzwe, hatutaki ubabaishaji.