Mkataba wa Simba na Sportpesa ulikuwa dhaifu

Mkataba wa Simba na Sportpesa ulikuwa dhaifu

LUS0MYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
866
Reaction score
1,109
Pamoja na sportpesa kuwa ni taasisi kubwa ya kimataifa inafanya mikataba mibovu na washirika wake. Imenishangaza sana kujitoa kwa Simba kwenye udhamini imekuwa kama jambo la ghafla.

Nilitegemea taarifa za Simba kuondoka Sportpesa zijulikane miaka miwili kabla ya mkataba kuisha na pande zote zipate fursa nzuri ya kupanga kumaliza mkataba
 
Tarimba anakubaliana na simba kwamba watapata hela nyingi kuliko yanga halafu akifika jangwani anabadilisha kibao anawapa yanga dau kubwa kuliko simba kwasababu ya ushabiki wakati simba anawakilisha kimataifa simba walikuwa wavunje mkataba ila wakasubiria mpaka uishe ila alichofanya tarimba kwa simba ni ujinga wawape yanga hzo hela tuone watafika wapi CAF champion's league.
 
Tarimba anakubaliana na simba kwamba watapata hela nyingi kuliko yanga halafu akifika jangwani anabadilisha kibao anawapa yanga dau kubwa kuliko simba kwasababu ya ushabiki wakati simba anawakilisha kimataifa simba walikuwa wavunje mkataba ila wakasubiria mpaka uishe ila alichofanya tarimba kwa simba ni ujinga wawape yanga hzo hela tuone watafika wapi CAF champion's league.
Majungu Majungu Majungu na fitina vitakuua kijana
 
Nadhani mleta Uzi utakuwa sio mfatiliaji wa issue hii nikukumbushe tu wakani Mo akiwa ndio ameingia tu ukasainiwa mkataba wa wa sportpesa na Mo akapinga hadharani huo mkataba ulikuwa hauendani na thamani ya Simba kifupi Simba ilipigwa na hata mwaka jana wakati wa mkutano hili swala liliongelewa lakini katoka negativity hivyo ilionyesha kabisa Simba hawataendelea na sportpesa sema mashabiki wengi hatukutegemea kama tungeangukia Mbet
 
Tarimba anakubaliana na simba kwamba watapata hela nyingi kuliko yanga halafu akifika jangwani anabadilisha kibao anawapa yanga dau kubwa kuliko simba kwasababu ya ushabiki wakati simba anawakilisha kimataifa simba walikuwa wavunje mkataba ila wakasubiria mpaka uishe ila alichofanya tarimba kwa simba ni ujinga wawape yanga hzo hela tuone watafika wapi CAF champion's league.
Mwanaune unaishi kwa majungu
 
Pamoja na sportpesa kuwa ni tasisi kubwa ya kimataifa inafanya mikataba mibovu na washirika wake...imenishamgaza sana kujitoa kwa simba kwenye udhamini imekuwa kama jambo la ghafla.

Nilitegemea taarifa za simba kuondoka sportpesa zijulikane miaka miwili kabla ya mkataba kuisha.na pande zote zipate fursa nzuri ya kupanga kumali za. Mkataba
Labda wewe ulikuwa ufahamu lakini wengi tulikuwa tunajua kwamba msimu huu ni mwisho wa mkataba
 
M-Bet ni kampuni ya kichovu tu, chuki za MO ni kama mwanamke hivi, yaani yeye ugomvi personal anauingiza kwenye Biashara.

YANGA wenzao wana wadhamini
1. TAIFA GAS
2. MAJI YA AFYA
3. GSM
4. AZAM MEDIA
5. SPORTPESA

Afu bado watapata udhamini mpya hivi karibuni.

MO aachane na biashara za chuki kwa wenzake ana ajikite katika maboresho ya bidhaa zake.
 
M-Bet ni kampuni ya kichovu tu, chuki za MO ni kama mwanamke hivi, yaan yy ugomvi personal anauingiza kwenye Biashara.

YANGA wenzao wana wadhamini
1. TAIFA GAS
2. MAJI YA AFYA
3. GSM
4. AZAM MEDIA
5. SPORTPESA

Afu bado watapata udhamini mpya hivi karibuni.

MO aachane na biashara za chuki kwa wenzake ana ajikite katika maboresho ya bidhaa zake.
Last time I checked Simba wana:
1. VunjaBei
2. Mo29
3. Mo Extra
4. ATCL
5. Emirates Aluminium
6. Africarriers
7. Azam Media
8. M-Bet

Kama hawa wameletwa kwa "chuki za Mo", basi kumbe hizo ni Chuki zenye manufaa
 
Last time I checked Simba wana:
1. VunjaBei
2. Mo29
3. Mo Extra
4. ATCL
5. Emirates Aluminium
6. Africarriers
7. Azam Media
8. M-Bet

Kama hawa wameletwa kwa "chuki za Mo", basi kumbe hizo ni Chuki zenye manufaa
Azam media hana mkataba na Simba

Mo extra na Mo29 ni kampuni ya mtu mmoja, na ndio kusema Yanga watangaze, MAX, GSM FORM ambazo zote ni GSM

Mikataba yao mingi ni ya kifamilia ya Dewji, yaan Mlango wa mbele na Nyumba lkn nyumba ni hiyo hiyo.

Hii inapelekea timu kutegemea zaidi pesa za kutoka mfukoni kwa mtu.
 
Tarimba anakubaliana na simba kwamba watapata hela nyingi kuliko yanga halafu akifika jangwani anabadilisha kibao anawapa yanga dau kubwa kuliko simba kwasababu ya ushabiki wakati simba anawakilisha kimataifa simba walikuwa wavunje mkataba ila wakasubiria mpaka uishe ila alichofanya tarimba kwa simba ni ujinga wawape yanga hzo hela tuone watafika wapi CAF champion's league.
Hapo kabla ulikuwa umeolewa! Baadaye ukaanza kumlalamikia mumeo hafai! Anakupa fedha kidogo tu ya matumizi!

Hivyo ukaona bora uombe talaka! Ukapewa. Ndani ya muda mfupi tu, ukapata mwanaume mwingine wa ndoto yako! Ukaolewa naye ili maisha yaendelee! Lakini cha kushangaza baada ya kuolewa, kila siku ni kumlalamikia tu yule mume wako wa zamani mbele za watu, huku ukiwa tayari katika ndoa na mwanaume mwingine.

Samahani bosi pwilo, nimeona nitumie mfano huu ili maoni yangu yaeleweke kwa uzuri zaidi. Maneno mwanamke na mwanaume yametumika kufikisha tu ujumbe. Hayahusiani kabisa na wewe
 
Azam media hana mkataba na Simba

Mo extra na Mo29 ni kampuni ya mtu mmoja, na ndio kusema Yanga watangaze, MAX, GSM FORM ambazo zote ni GSM

Mikataba yao mingi ni ya kifamilia ya Dewji, yaan Mlango wa mbele na Nyumba lkn nyumba ni hiyo hiyo.

Hii inapelekea timu kutegemea zaidi pesa za kutoka mfukoni kwa mtu.

Majungu na unaa, nani aliekuambia kuwa Azam hawana mkataba na Simba? Kama haujui si unauliza tu.
 
Azam media hana mkataba na Simba

Mo extra na Mo29 ni kampuni ya mtu mmoja, na ndio kusema Yanga watangaze, MAX, GSM FORM ambazo zote ni GSM

Mikataba yao mingi ni ya kifamilia ya Dewji, yaan Mlango wa mbele na Nyumba lkn nyumba ni hiyo hiyo.

Hii inapelekea timu kutegemea zaidi pesa za kutoka mfukoni kwa mtu.
Azam hana mkataba na Simba ?
Mkuu, ndio umezaliwa leo nini ?

Mo Extra na Mo29 ni entity tofauti (hata kama mmiliki ni mmoja) na wana mikataba tofauti ya udhamini kwa klabu ya Simba.

Corporate World works different from the Streets

Angalia hapo chini "mkeka" ulivyokua unasoma kabla Sportpesa hajaondoka.

Screenshot_20220720-082924_Instagram.jpg
 
Tarimba anakubaliana na simba kwamba watapata hela nyingi kuliko yanga halafu akifika jangwani anabadilisha kibao anawapa yanga dau kubwa kuliko simba kwasababu ya ushabiki wakati simba anawakilisha kimataifa simba walikuwa wavunje mkataba ila wakasubiria mpaka uishe ila alichofanya tarimba kwa simba ni ujinga wawape yanga hzo hela tuone watafika wapi CAF champion's league.
Mkataba wa sportpesa na vilabu vya kariakoo havivuki boarder. Kama una picha yeyote ya jezi ya Simba ikiwa na maandishi ya sportpesa katika michezo ya klabu bingwa au shirikisho naomba utupie. Sportpesa wanaishia huku bongo ila mashindano ya kimataifa hawapo.
 
Tarimba anakubaliana na simba kwamba watapata hela nyingi kuliko yanga halafu akifika jangwani anabadilisha kibao anawapa yanga dau kubwa kuliko simba kwasababu ya ushabiki wakati simba anawakilisha kimataifa simba walikuwa wavunje mkataba ila wakasubiria mpaka uishe ila alichofanya tarimba kwa simba ni ujinga wawape yanga hzo hela tuone watafika wapi CAF champion's league.
Nembo ya SportPesa haivaliwi kimataifa. Zingatia hilo!
 
Mkataba wa sportpesa na vilabu vya kariakoo havivuki boarder. Kama una picha yeyote ya jezi ya Simba ikiwa na maandishi ya sportpesa katika michezo ya klabu bingwa au shirikisho naomba utupie. Sportpesa wanaishia huku bongo ila mashindano ya kimataifa hawapo.
Kwenye hatua ya awali na hatua ya kwanza zinavaliwa. Katazo ni kuanzia hatua ya makundi kuendelea mbele.

Hapa chini ni sportpesa "wakiuza sura" kwenye "viuga mbalimbali barani Afrika"

Screenshot_20220720-092702_Instagram.jpg
Screenshot_20220720-092154_Instagram.jpg
 
Azam media hana mkataba na Simba

Mo extra na Mo29 ni kampuni ya mtu mmoja, na ndio kusema Yanga watangaze, MAX, GSM FORM ambazo zote ni GSM

Mikataba yao mingi ni ya kifamilia ya Dewji, yaan Mlango wa mbele na Nyumba lkn nyumba ni hiyo hiyo.

Hii inapelekea timu kutegemea zaidi pesa za kutoka mfukoni kwa mtu.
Kwahiyo simba TV pale azam media haina mkataba??? Nyie wabongo mnafeli wapi?? Vitu vidogo kama hivi unahitaji kwenda udsm
 
Kwahiyo simba TV pale Azam Media haina mkataba? Nyie wabongo mnafeli wapi? Vitu vidogo kama hivi unahitaji kwenda udsm
Liverpool TV pale Azam wana mkataba na Azam tv?

Yanga wana mkataba na Azam media kwenye haki za matangazo yao yote.

Au huelewi mikataba inayazungumzwa hapo?? Afu mtu anasema angalia chini hapo uone wadhamini aishiiiiiiiiiii hao Azam wana mkataba na TFF kwenye kuonesha ligi kuu, hivyo lazima tangazo lao liwepo kwenye kila page ya timu ya ligi kuu.
 
M-Bet ni kampuni ya kichovu tu, chuki za MO ni kama mwanamke hivi, yaan yy ugomvi personal anauingiza kwenye Biashara.

YANGA wenzao wana wadhamini
1. TAIFA GAS
2. MAJI YA AFYA
3. GSM
4. AZAM MEDIA
5. SPORTPESA

Afu bado watapata udhamini mpya hivi karibuni.

MO aachane na biashara za chuki kwa wenzake ana ajikite katika maboresho ya bidhaa zake.
Mbona we ndo una chuki za kike?
 
Mbona we ndo una chuki za kike?
MO chupli ananyooshwa sasa anaanza kujipendekeza kwa Rais, mara Mh Rais kafanya hivi mara Vile, watu wamemshtukia wanakula nae sahani moja.
 
Back
Top Bottom