Mkataba wa Simba na T. P. Mazembe kumhusu Mbwana Samata ukoje?

Mkataba wa Simba na T. P. Mazembe kumhusu Mbwana Samata ukoje?

Mkataba ulikuwa ni Simba na Mazembe, Samatta akiuzwa kwenda timu nyingine Simba atapata 20% ya bei ta mauzo. Ndicho kilichofanyika na Simba wakamaliza jumla jumla na Samatta. Sasa sijui Mazembe na Genk walikuwa na makataba wa aina gani!!!

Kiufupi hii safari ya Aston Villa, Simba hahusiani nayo zaidi ya kuombea dua afanikiwe kwani ni kijana wao na aliwalipia kodi ya nyasi bandia
Duuuh hii ya nyasi bandia ndo naiskia leo aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom