Ndugu Watanzania kwa mara Nyingine Tena Tunaona Serekali yetu ina vyo tufanyia Usanii.
Mimi ninaomba kumuuliza Huyo Pinda na Bot , mkopo huo umetoka kwenye fungu gani au Bank Ipi? na nini ni Dhamana ya Huo Mkopo?
Pili hizo Fedha zilizo letwa na Muwekezaji ili kupata 51% share zipo wapi?
Ndio yananza yale yale ya ATC na SA, ambapo serekali iliingia mkataba wa namna hii , mwisho wa siku tukawa tunatoa fedha za uendeshaji.
Mimi ninaomba kumuuliza Huyo Pinda na Bot , mkopo huo umetoka kwenye fungu gani au Bank Ipi? na nini ni Dhamana ya Huo Mkopo?
Pili hizo Fedha zilizo letwa na Muwekezaji ili kupata 51% share zipo wapi?
Ndio yananza yale yale ya ATC na SA, ambapo serekali iliingia mkataba wa namna hii , mwisho wa siku tukawa tunatoa fedha za uendeshaji.