Mkataba wa ujenzi wa Bwawa kuzalisha umeme a 'Stieglers Gorge' kusainiwa kesho tarehe 12/12/2018

Mkataba wa ujenzi wa Bwawa kuzalisha umeme a 'Stieglers Gorge' kusainiwa kesho tarehe 12/12/2018

Trump2

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
1,553
Reaction score
2,609
images.jpeg

Kesho historia inaandikwa. Serikali ya Tanzania itatiliana saini Mkataba na Kampuni ya ujenzi kutoka nchini Misri ambayo ilishinda Kandarasi ya ujenzi Wa Bwawa la kuzalisha Umeme la 'Stieglers Gorge'.

Bwawa la 'Stieglers' litakuwa na uwezo wa kuzalisha Megawatts 2100 za umeme, kiwango ambacho kitakuwa ni zaidi ya mahitaji ya nchi na hivyo kuiwezesha Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.
 
Tatizo liko wapi?!

Husemwa

Wachina,ni waizi wakubwa!!!

Wazungu,ni wanyonyaji!!!

Mwafrika,Ni sawa na chemba!!!

Hatuna zaidi
tutawatukana mpaka Mama zetu na kuwakashifu tusipokuwa makini

Jamani....wewe una shida sio bure. Umeelewa nini kuhusu Arab Contractors? A company from Egypt?
 
View attachment 964505
Kesho historia inaandikwa. Serikali ya Tanzania itatiliana saini Mkataba na Kampuni ya ujenzi kutoka nchini Misri ambayo ilishinda Kandarasi ya ujenzi Wa Bwawa la kuzalisha Umeme la 'Stieglers Gorge'. Bwawa la 'Stieglers' litakuwa na uwezo wa kuzalisha Mega Wati 2100 za umeme, kiwango ambacho kitakuwa ni zaidi ya mahitaji ya nchi na hivyo kuiwezesha Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.
Kama wapi kwa mfano tutauza huo umeme mkuu
 
View attachment 964505
Kesho historia inaandikwa. Serikali ya Tanzania itatiliana saini Mkataba na Kampuni ya ujenzi kutoka nchini Misri ambayo ilishinda Kandarasi ya ujenzi Wa Bwawa la kuzalisha Umeme la 'Stieglers Gorge'. Bwawa la 'Stieglers' litakuwa na uwezo wa kuzalisha Mega Wati 2100 za umeme, kiwango ambacho kitakuwa ni zaidi ya mahitaji ya nchi na hivyo kuiwezesha Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.

Nafurahi tuna miradi mizuri sana ila tatizo langu sioni workable and tangible Business plans za kuhakikisha returns on investment pamoja na faida vinapatikana. Tunaweza kubishana kwa hilo lakini mifano hapo chini inaakisi mashaka yangu;-
- Mradi wa Bomba la gesi huge (36") hadi sasa linatumika kwa asilimia 10% tuna mtambo mmoja wa kisasa kabisa wakuchakata gesi kwa sasa ni white elephanti (Hauzalishi) pale Songo Songo huu ni kama mwaka wa tatu sasa kama sikosei
- ATCL sasa tuna ndege za kutosha na nyingine zaja mwezi huu, lakini hadi sasa hivi sijaona Dreamliner (long rage aircraft) ikifanya commercial trip kama ilivyokusudiwa.
- TAZARA kila mtu anajua habari zake
Investments lazima ziendane na masoko ili fedha zetu zitupe faida iliyo kusudiwa.
Natamani sana Rais awachukulie hatua stahiki watendaji husika hasa mawaziri na MDs.
 
Hahaha kila siku tunaambiwa umeme itakua historia, huwa sielewi historia kivipi?! Huu wa Dr. kalemani historia yake ni kukatika kila siku saa 12 alfajiri una rudi saa 5 usiku. Mara gesi ikifika kinyerezi umeme utaandika historia mpya, gesi ikafika yale yale, Sijui huu wa huyo Stiglers gorge utaandika historia ipi?!
 
Back
Top Bottom