TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Hata merekaniKama wapi kwa mfano tutauza huo umeme mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata merekaniKama wapi kwa mfano tutauza huo umeme mkuu
Sijui wako wapi locallyHawa Jamaa hivi ofisi zao ziko wapi
Huu nao ni upigaji mwingine wa awamu ya 5,View attachment 964505
Kesho historia inaandikwa. Serikali ya Tanzania itatiliana saini Mkataba na Kampuni ya ujenzi kutoka nchini Misri ambayo ilishinda Kandarasi ya ujenzi Wa Bwawa la kuzalisha Umeme la 'Stieglers Gorge'. Bwawa la 'Stieglers' litakuwa na uwezo wa kuzalisha Mega Wati 2100 za umeme, kiwango ambacho kitakuwa ni zaidi ya mahitaji ya nchi na hivyo kuiwezesha Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.
Tatizo wewe unawanukuu vibaya. Wanaposema tatizo la umeme litakuwa historia ndio kama hivyo, yaani ukatike katike mara nyingi zaidi ili uje upate historia ya kuwasimulia wajukuu zako huko mbeleni maana Tembo watakuwa hamna tena ila umeme watauona hata wa solar.Hahaha kila siku tunaambiwa umeme itakua historia, huwa sielewi historia kivipi?! Huu wa Dr. kalemani historia yake ni kukatika kila siku saa 12 alfajiri una rudi saa 5 usiku. Mara gesi ikifika kinyerezi umeme utaandika historia mpya, gesi ikafika yale yale, Sijui huu wa huyo Stiglers gorge utaandika historia ipi?!
Hahaha yani uko mbeleni ndio utakua hauwaki kabisa?! Tuliambiwa kinyerezi I&II zikipata gesi tu, historia itaandikwa. Sasa waliishapata gesi wakasahau kuandika historia wameanza kuongea Stiglers gorge tena.Tatizo wewe unawanukuu vibaya. Wanaposema tatizo la umeme litakuwa historia ndio kama hivyo, yaani ukatike katike mara nyingi zaidi ili uje upate historia ya kuwasimulia wajukuu zako huko mbeleni maana Tembo watakuwa hamna tena ila umeme watauona hata wa solar.
GESI IPO WAPI? MEMBE ATOSHA 2020View attachment 964505
Kesho historia inaandikwa. Serikali ya Tanzania itatiliana saini Mkataba na Kampuni ya ujenzi kutoka nchini Misri ambayo ilishinda Kandarasi ya ujenzi Wa Bwawa la kuzalisha Umeme la 'Stieglers Gorge'. Bwawa la 'Stieglers' litakuwa na uwezo wa kuzalisha Mega Wati 2100 za umeme, kiwango ambacho kitakuwa ni zaidi ya mahitaji ya nchi na hivyo kuiwezesha Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.
Hiki chama bila kung'olewa hapo kilipo tunaweza kuamini kweli maisha ya Mtanzania ndio yanapaswa kuwa hivi hivi siku zote.Hahaha yani uko mbeleni ndio utakua hauwaki kabisa?! Tuliambiwa kinyerezi I&II zikipata gesi tu, historia itaandikwa. Sasa waliishapata gesi wakasahau kuandika historia wameanza kuongea Stiglers gorge tena.
Hahaha acha wajifurahishe tuliisha zoea sisi. Hata faida za umeme hatuzijui sisi huku nanjilinjiHiki chama bila kung'olewa hapo kilipo tunaweza kuamini kweli maisha ya Mtanzania ndio yanapaswa kuwa hivi hivi siku zote.
Mpo kazini nyie watuJiandae ulipie jenereta kma unalo!
Ova
Muulize KikweteHivi ule wa mtwara umeishia wapi?
Roho mbaya haiwezi kuwaacha SalaamaNa gas ya Mtwara iliishia wapi au umeuzwa na wapiga dili wanaokwamisha juhudi za shetani aliyegeuka malaika?
Ama kweli nyie niwatanzania.Tatizo wewe unawanukuu vibaya. Wanaposema tatizo la umeme litakuwa historia ndio kama hivyo, yaani ukatike katike mara nyingi zaidi ili uje upate historia ya kuwasimulia wajukuu zako huko mbeleni maana Tembo watakuwa hamna tena ila umeme watauona hata wa solar.
Uoga peleka kwa wazazi wakoAmemalizana na unnesco kwanza au misifa tuu???
Otherwise hakuna Kampuni itakayo pewa ruksa kujenga ama bank yeyote duniaani Ku finance hiyoo project under UN restrictions laws hizo sio mie and signs by all UN membership including Tanzania
Misri,vipi unataka ukaombe kibarua?Hawa Jamaa hivi ofisi zao ziko wapi