Mkataba wa ujenzi wa Bwawa kuzalisha umeme a 'Stieglers Gorge' kusainiwa kesho tarehe 12/12/2018

pole

angalia nchi zinazotuzunguka zina demand ya umeme kiasi gani

na zina zalisha kiasi gani

kama haujui hata informatiob gani utafute, sikusaidii

Ahsante sana mkuu ila na wewe hujui maana ungelijua ungeleta jamvini ili wengine kama mimi tuelimike au kuhoji kama hatuafiki na data zako. Mimi nasema hakuna power demand ya kihivyo, nilitegemea wewe unionyeshe hiyo demad ili uni proof wrong.
Anyway ndiyo raha ya JF hiyo mkuu.
 

ushaspin tayari
 
Mkuu samahani,lakini Stieglier chanzo chake sio ziwa Victoria!
Na Katika Ujenzi Watanzania watahusika Mkuu!
Huo Uhujumu Sijui ni wa Namna Gani?
Katika Kuficha Technology kila Nchi huficha,Ila Wakimaliza Lazima Kuwe na Grace period,yaani Pre-Commissioning,Commissioning na Hope tutakuwa na Wataalam wetu ambao watakuwa Wamesomeshwa,kuanzia Sasa Serikali Inabidi isomeshe watu deeply kwenye Masuala ya Hydro electric Power na Mambo ya Commissioning ili wakati wa Ku test tunakuwa Vema,Though tayari tunayo mabwawa madogo kama Kidatu,Mtera nk,
 
Bravo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…