Mkataba wa ujenzi wa Bwawa kuzalisha umeme a 'Stieglers Gorge' kusainiwa kesho tarehe 12/12/2018

Mkataba wa ujenzi wa Bwawa kuzalisha umeme a 'Stieglers Gorge' kusainiwa kesho tarehe 12/12/2018

pole

angalia nchi zinazotuzunguka zina demand ya umeme kiasi gani

na zina zalisha kiasi gani

kama haujui hata informatiob gani utafute, sikusaidii

Ahsante sana mkuu ila na wewe hujui maana ungelijua ungeleta jamvini ili wengine kama mimi tuelimike au kuhoji kama hatuafiki na data zako. Mimi nasema hakuna power demand ya kihivyo, nilitegemea wewe unionyeshe hiyo demad ili uni proof wrong.
Anyway ndiyo raha ya JF hiyo mkuu.
 
Ahsante sana mkuu ila na wewe hujui maana ungelijua ungeleta jamvini ili wengine kama mimi tuelimike au kuhoji kama hatuafiki na data zako. Mimi nasema hakuna power demand ya kihivyo, nilitegemea wewe unionyeshe hiyo demad ili uni proof wrong.
Anyway ndiyo raha ya JF hiyo mkuu.

ushaspin tayari
 
Kampuni ya Misri? aisee TISS imeshakufa,uwezo wa TISS upo kwenye kuteka,kuua,kupoteza na kuvuruga upinzani zaidi ya hapo TISS ya sasa ni uharo mtupu and I don't stand to be corrected...
Misri ni adui mkubwa wa siri wa Tanzania na mataifa yote yenye ziwa Victoria kwa Sababu ya mto Nile,ambao ndo mungu wa Misri,Misri haitaki mataifa hayo yatumie maji ya ziwa Victoria kwa gharama yoyote,na kuna baadhi ya mawaziri wa mataifa hayo wapo kwenye payroll ya siri ya Misri ili waweze kuhujumu miradi yoyote ya umwagiliaji,Misri inahofia mataifa hayo yakitumia maji ya ziwa Victoria kwa shughuli za kilimo,maji hayo yatapunguza kasi ya kumwaga kwenye mto Nile ambao chanzo chake ni ziwa Victoria.
Bila mto Nile hakuna Misri,kwa hiyo Misri lazima wahujumu mradi wa stigler hawawezi kufanya kiufanisi ni lazima watuhujumu tu kwa mbinu wanazojua.
Ni sawa na Leo wapewe tenda Ethiopia ni lazima watalipiza kisasi baada ya Ethiopia kuutumia mto Nile kujenga bwawa kubwa la umeme.
Misri hujiona ina haki sana na maji ya ziwa Victoria na ina haki sana na mto Nile kuliko mataifa yote.
CCM TOKENI SASA YATOSHA...
Mkuu samahani,lakini Stieglier chanzo chake sio ziwa Victoria!
Na Katika Ujenzi Watanzania watahusika Mkuu!
Huo Uhujumu Sijui ni wa Namna Gani?
Katika Kuficha Technology kila Nchi huficha,Ila Wakimaliza Lazima Kuwe na Grace period,yaani Pre-Commissioning,Commissioning na Hope tutakuwa na Wataalam wetu ambao watakuwa Wamesomeshwa,kuanzia Sasa Serikali Inabidi isomeshe watu deeply kwenye Masuala ya Hydro electric Power na Mambo ya Commissioning ili wakati wa Ku test tunakuwa Vema,Though tayari tunayo mabwawa madogo kama Kidatu,Mtera nk,
 
Mkuu samahani,lakini Stieglier chanzo chake sio ziwa Victoria!
Na Katika Ujenzi Watanzania watahusika Mkuu!
Huo Uhujumu Sijui ni wa Namna Gani?
Katika Kuficha Technology kila Nchi huficha,Ila Wakimaliza Lazima Kuwe na Grace period,yaani Pre-Commissioning,Commissioning na Hope tutakuwa na Wataalam wetu ambao watakuwa Wamesomeshwa,kuanzia Sasa Serikali Inabidi isomeshe watu deeply kwenye Masuala ya Hydro electric Power na Mambo ya Commissioning ili wakati wa Ku test tunakuwa Vema,Though tayari tunayo mabwawa madogo kama Kidatu,Mtera nk,
Bravo..
 
Back
Top Bottom