Mkataba wa Umeme 600 MW Tayari


Hata hili jambo jema la kusainiwa mkataba wa kufuwa umeme wa uhakika hujalipenda? Kwa kuwa tu, kalifanya Jakaya?
 
good news to those who believe...
Je ya richmond hayatajirudia?
mkataba huu haufanani na wa TRL?
vipi jamaa watabeba kila kitu kama AFGEM na wachimba madini?
vipi kuhusu miundombinu stengthening, imo ndani?
kenya wanatengeneza wenyewe... sisi tunaomba mwekezaji, ni sawa?

Zomba, thanks for the info, nasubiria daraja la kigamboni
 
Nani kabla yake alisaini mkataba wa umeme wa 600 MW?
nailinganisha hii kauli na mtu anayeuliza nani kabla ya 1973 aliendesha VXV8? kila jambo na wakati.... wakati kenya wanapiga zaidi ya 900MW tena kwa kutengeneza wenyewe na hawana gesi wala makaa ya mawe... wewe unasifia foreigners kuja kuchoma mkaa wetu wenyewe kwenye ardhi yetu wenyewe
 
Ukipenda hizo habari pokea hukupenda ziache kama zilivyo. Si kazi yangu kubandika mikataba JF, mwenyekazi hiyo ni yule kizabizabina wa JF mkjj.

Kweli wewe ni SALVA....unalipenda sana hili neno....
 
Sina imani yoyote namikataba inayosainiwa chini ya serikali ya JK. ana record mbaya sana hebu tuangalie hii mikataba mibovu ambayo imevunja record ya dunia
RICHMOOND
TRL
ATC
TICTS

Mikataba hii yote ni Ufisadi mputu sasa huu aliokuja kuupamba hapa huyu Zomba nao utakuwa na usafi gani? Leo hii wenzetu wanafanya bulding capacities ya watu wao kuendesha wenyewe miradi kama hii sisi na tunashangilia mwekezaji tena wa kichina.
 

Watu tunasubiria Kigamboni City wewe bado unasubiri kidaraja kimoja tu?
 

Si ya Nkapa hiyo, au mmesahau?
 
Mmeshanibore hapa, mkataba ndio huo, bisheni mpaka mchoke.

Ngoja niende kule walikogunduwa kuwa wachungaji wa Roma (wakatoliki) 98% ni mashoga. Duhh.
 
mimi sioni jipya lolote.......tatizo mnasahau kuwa tatizo letu siyo vyanzo wala mipango kama hii ...mchawi ni utekelezaji wake ndiyo ishu...nani anayejua hawa wachina wamepataje hiyo tenda?????....mnajua gharama za pembeni walizotakiwa kulipa kwa kupata tenda hii???.....kila kitu tunacho maji, gesi,uranium ,upepo etc lakini tupo wapi sasa??...hebu amkeni!! Tujadili mengine!!!!
 
tunahitaji umeme sio tu mikataba mikataba kila siku harafu ikianza kazi inakuwa mimba tena sasa isije kuwa richmond nyungine sasa we aseme umeme umeanza kuzalishwa hiyo ndo kiu yetu sisi mgao umenichosha kila siku natumia generator
 
Watu tunasubiria Kigamboni City wewe bado unasubiri kidaraja kimoja tu?
a journey of a thousand miles begins with a single step... if you cant even lift your leg how on earth do you expect to walk

when zomba thinks zombie
 

Wandugu, truly this is positive and good news.
Tusiwe doubting Thomases, tunachotakiwa ni kusubiri na kuiona hii juhudi.
Please read todays "Guardian"
"Chinese investor scoops Liganga,Mchuchuma Bid
A Chinese firm has won the tender into invest in the Mchuchuma and Liganga mining projects in southern Tanzania and is expected to pump in 3bn/=.
The investor Sichuan Hongda won the competative tender in a bidding that attracted 48 international companies."

Mwenyekiti wa NDC Board C Mzindakaya ameeleza:

"Mchuchuma will produce 600MW of electricity which will also be used to supplement the current hydro sources"

Source Guardian January 18 2011. page 1.

This is definately good news,congratulations JK for going in the right direction.
 

Utekelezaji unakuwa mbovu tukiyafanya wenyewe, ndio legacy ya Nyerere hiyo. Hiyo iko chini ya wawekezaji, sie tukiajiriwa ni manamba tu, tunaweza zaidi ya hilo?
 
Liganga hatimaye imapata deal mawe yote ya kusagia ulezi tutayauza sana nina ghala la mawe hayo home Njombe lakini italiwa na wachina kwa kudai eti wanapeleka mawe nje wakafanyie utafiti kama bunzwagi tuwe macho watz la sivyo chuma yetu yote tutainunua wenyewe baada ya kuibiwa na hao jamaa wa bodaboda
 
Thanks poster. E bwana if you have more details kama vile ni wapi mradi huo utawekwa, infrastructure issues,apart from producing power, what are the other economical benefits to society?? do you have a doc inayoonyesha more details to give a full picture?? i will appreciate ukiirusha humu. Labda tunaweza ona some oppurtunities.
Unajua, kwa khali ilivyo sasa, production ya 600 megawatt si ya kubezwa hata kidogo. i can tell you is a step forward ili mradi ifanyike in a clean ways na si kama dowans.
Kiwira ilikuwa iendelezwe na watanzania wenzetu, no matter walijiuzia bei gani. tumepiga kelele na sasa watakuja tena foreigners kuendeleza. Tusiwashangae wakenya, hata sisi we have the capacity, lkn tumezoweana mno mpaka tunataka tuendelee kufanana tu. mtu akibadilika tunamjungu.
 
Ukipenda hizo habari pokea hukupenda ziache kama zilivyo. Si kazi yangu kubandika mikataba JF, mwenyekazi hiyo ni yule kizabizabina wa JF mkjj.

Binafsi nilikuwa siamini kwamba kuna watu wanatumiwa na mafisadi hapa JF. Lakini kwa maneno yao wamejiweka hadharani na ZOMBA ni mmoja wao. Ona kauli za kinyonge unazotoa, eti mara kizabizabina mara kiriba cha roho.

Sasa kwa taarifa yako, mikataba yote feki na mafisadi wote tunawajua na pia tuna uthibitisho wa kila mmoja na tuhuma aliyo nayo na kama unabisha si uliiona ile barua ya mwizi Masha kwenda kwa PM Pinda. Siku zao zinahesabika. Maana sasa sisi Watanzania hatulali ng'ooo!!!!!!!! Mpaka tujue mbivu na mbichi.

ZOMBA na mwenzako MARALIA SUGU bora mjiondoe JF maana dozi mnazopata kwa wana jf wapinga wizi wa mali za watanzania ni adhabu tosha. Na hatuta waacha kamwe, tutawapiga vita mpaka tuhakikishe tumewamaliza.

Tukija kwenye maada yenyewe, UMEME NI KITU KIZURI NA TUNAUHITAJI MNO. LAKINI TUNAOMBA MKATABA UWE NA MANUFAA KWA WANANCHI NA SI MZIGO KWA WANANCHI KAMA ILIVYO KWA IPTL NA DOWANS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…